Kesho Jumamosi viongozi wakuu wa CHADEMA, ACT Wazalendo kuzungumza na Waandishi wa Habari-Makao Makuu ya CHADEMA

Kwa upumbavu iliyofanya tume na polisi hakuna watu kujitafutia kipato. Awamu hii mtaelewa kuwa watanzania wamebadilika.
umebadilika wewe labda ambaye una maslahi na hili.
Tamko: mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa wa kipato cha wastani nitakua ndani nikisubiri ugali wangu dona na bamia langu nikisubiri wewe ukaandamane kama mwakilish wangu.SIANDAMANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…