julaibibi JF-Expert Member Joined Jun 16, 2020 Posts 3,081 Reaction score 4,224 Nov 1, 2020 #141 dikteta2020 said: Kwa upumbavu iliyofanya tume na polisi hakuna watu kujitafutia kipato. Awamu hii mtaelewa kuwa watanzania wamebadilika. Click to expand... umebadilika wewe labda ambaye una maslahi na hili. Tamko: mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa wa kipato cha wastani nitakua ndani nikisubiri ugali wangu dona na bamia langu nikisubiri wewe ukaandamane kama mwakilish wangu.SIANDAMANI
dikteta2020 said: Kwa upumbavu iliyofanya tume na polisi hakuna watu kujitafutia kipato. Awamu hii mtaelewa kuwa watanzania wamebadilika. Click to expand... umebadilika wewe labda ambaye una maslahi na hili. Tamko: mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa wa kipato cha wastani nitakua ndani nikisubiri ugali wangu dona na bamia langu nikisubiri wewe ukaandamane kama mwakilish wangu.SIANDAMANI
Chagu wa Malunde JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 8,734 Reaction score 5,750 Nov 1, 2020 #142 Erythrocyte said: Wewe kapuku hujui kitu , nyamaza Click to expand... Ahaaaa,naona hasira zinaanza kuwatoka taratibu. Polepole mtazoea.
Erythrocyte said: Wewe kapuku hujui kitu , nyamaza Click to expand... Ahaaaa,naona hasira zinaanza kuwatoka taratibu. Polepole mtazoea.