Pre GE2025 Kesho Lissu akiwa Rais unadhani ni kipi cha kwanza atafanya kuhusu Muungano?

Pre GE2025 Kesho Lissu akiwa Rais unadhani ni kipi cha kwanza atafanya kuhusu Muungano?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Tuseme kesho Tundu Lissu ameamka kaupata Urais, ni kipi ataanza nacho kuhusu Muungano?

Akiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi alidai Tanganyika tunaiibia Zanzibar sasa hivi msimamo wa gwiji hili la sheria umebadilika kutokana na elimu ya siasa ambayo amekuwa akiitoa kwenye mikutano ya CHADEMA.

Anadai Wazanzibar wanatunyonya vilivyo kwenye Muungano.

Napata wasiwasi Lissu atafanya nini kuhusu muungano hapo mwaka 2025.

PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?
 
Kumuelewa mwanasiasa inaweza kuwa kazi ngumu Sana

Ila nachokiona interest ndo huwa zinawaongoza wanasiasa wengi na sio logic

Baada ya lissu kuwa rais anaweza kuwa rais mzuri wa kuhakikisha kazi mbele kwanza.
 
Tuseme kesho Tundu Lissu ameamka kaupata urais, ni kipi ataanza nacho kuhusu Muungano?
Akiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi alidai Tanganyika tunaiibia Zanzibar sasa hivi msimamo wa gwiji hili la sheria umebadilika kutokana na elimu ya siasa ambayo amekuwa akiitoa kwenye mikutano ya Chadema. Anadai Wazanzibar wanatunyonya vilivyo kwenye muungano.
Napata wasiwasi Lissu atafanya nini kuhusu muungano hapo mwaka 2025.
Unasaga Sumu 😀 😀 😀
 
Tuseme kesho Tundu Lissu ameamka kaupata urais, ni kipi ataanza nacho kuhusu Muungano?
Akiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi alidai Tanganyika tunaiibia Zanzibar sasa hivi msimamo wa gwiji hili la sheria umebadilika kutokana na elimu ya siasa ambayo amekuwa akiitoa kwenye mikutano ya Chadema. Anadai Wazanzibar wanatunyonya vilivyo kwenye muungano.
Napata wasiwasi Lissu atafanya nini kuhusu muungano hapo mwaka 2025.
Atarejesha serekali ya Tanganyika na kama ni lazima kuwepo na muungano, basi yatafanyika marekebisho makubwa na huu muungano utakuwa Bora zaidi ya hivi ulivyo.
 
Atashirikisha wenye nchi waamue aina ya Muungano wanaoutaka
 
Salama, usiwe unapenda kukumbuka kimoja fatilia kwa undani alichosema kwenye kipndi chako cha mikasi kipindi kile kikoje na sasa nikoje....tumia macho yote mbili
 
Huo uraisi wa muungano ataupatia mlango upi wakati anapinga muungano

Mgombea uraisi wa muungano Cha kwanza anatakiwa kuukubali Sasa mtu halitaki nani ampe huo uraisi wa muungano? Hayupo wawe wapiga kura,time ya uchaguzi au yeyote

Hata akihombea ubunge bunge la muungano hatapata sababu mgombea lazima akubali kwanza muungano hatashinda wananchi hawatampa kura na Tume ya uchaguzi haitakubali

Vyama vya siasa viwe makini 2025 kuweka wagombea vyeo vya muungano iwe ubunge au uraisi .Kutokuw makini kutaletelea kushindwa mchana kweupe jua linawaka

Mpinga muungano wa Nini huyo tapeli wa kisiasa . Muungano huutaki halafu unagombea Cheo Cha muungano ubunge au uraisi.Hakuna kushinda hapo
 
Tuseme kesho Tundu Lissu ameamka kaupata Urais, ni kipi ataanza nacho kuhusu Muungano?

Akiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi alidai Tanganyika tunaiibia Zanzibar sasa hivi msimamo wa gwiji hili la sheria umebadilika kutokana na elimu ya siasa ambayo amekuwa akiitoa kwenye mikutano ya CHADEMA.

Anadai Wazanzibar wanatunyonya vilivyo kwenye Muungano.

Napata wasiwasi Lissu atafanya nini kuhusu muungano hapo mwaka 2025.
Siku ya Kwanza atamualika Thomas Sankara kuja Tanganyika.
 
Atawafukuza wazanzibari wote wanaoishi bara
 
Atawafukuza wazanzibari wote wanaoishi bara
Kwani shida yake ni kuwafukuza au kuwa na haki sawa bila ubaguzi?
1. Kuna Mtanganyika amewahi kuwa raisi wa Zanzibar?kwanini Mzanzibar anakuwa rais kule alafu anakuja anakuwa rais huku Bara?

2. Kwanini matajiri wamiliki wa timu za mpira na tv wanamiliki mahoteli zanzibar ila wabara wananyimwa kumiliki huko na ndio maana wanabaki kugombania na wazanzibar huku bara?
 
Suala la Muungano ndio siasa za Zanzibar Sasa naona imehamia Tanganyika pia. Lakini bado sana Kwa Tanganyika kutumia sera ya Muungano Ili kupata kura. Tundu lissu atafute sera, Muungano siyo issue kwa watanganyika. Mkumbuke mch mtikila aliishia wapi na hiyo sera!
 
Tuseme kesho Tundu Lissu ameamka kaupata Urais, ni kipi ataanza nacho kuhusu Muungano?

Akiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi alidai Tanganyika tunaiibia Zanzibar sasa hivi msimamo wa gwiji hili la sheria umebadilika kutokana na elimu ya siasa ambayo amekuwa akiitoa kwenye mikutano ya CHADEMA.

Anadai Wazanzibar wanatunyonya vilivyo kwenye Muungano.

Napata wasiwasi Lissu atafanya nini kuhusu muungano hapo mwaka 2025.
LISU HANA SHIDA NA MUUNGANO YATIZO TANGANYIKA NDO HAIPO UNAPASWA KUWA MUUNGANO WA SERIKALI TATU AU LA UWE WA SERIKALI MOJA ZANZIBAR NAYO IFE KM TANGANYIKA
 
Tuseme kesho Tundu Lissu ameamka kaupata Urais, ni kipi ataanza nacho kuhusu Muungano?

Akiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi alidai Tanganyika tunaiibia Zanzibar sasa hivi msimamo wa gwiji hili la sheria umebadilika kutokana na elimu ya siasa ambayo amekuwa akiitoa kwenye mikutano ya CHADEMA.

Anadai Wazanzibar wanatunyonya vilivyo kwenye Muungano.

Napata wasiwasi Lissu atafanya nini kuhusu muungano hapo mwaka 2025.
Kwanza atahakikisha tunapata Katiba Bora na Muungamo wenye Tija.
Pia atatuletea utawa bora na wenye kuzingatia haki na sheri, kisha maendeleo kede kede
 
Chama chochote cha siasa kitachosimamisha mgombea kwenye uchaguzi bila uwepo wa Tume Huru Ya Uchaguzi nitakiweka kwenye kundi la wachumia tumbo.
 
Back
Top Bottom