Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazanzibari watamuunga Sana mkono Lissu maana hata wao huu muungano wa mchongo hawautakiTuseme kesho Tundu Lissu ameamka kaupata Urais, ni kipi ataanza nacho kuhusu Muungano?
Akiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi alidai Tanganyika tunaiibia Zanzibar sasa hivi msimamo wa gwiji hili la sheria umebadilika kutokana na elimu ya siasa ambayo amekuwa akiitoa kwenye mikutano ya CHADEMA.
Anadai Wazanzibar wanatunyonya vilivyo kwenye Muungano.
Napata wasiwasi Lissu atafanya nini kuhusu muungano hapo mwaka 2025.
wewe ndio umesema ukweli😂😂😂 hawa ni wale wale tu.Hatofanya chochote atauacha na kuulinda
Wapeni ikulu ndio mtajua Shekhe ni yuleyule tofauti ni kanzu
Hatari! Sankara anaweza kumuomba magufuli amsindikize. Unajua alipo Sankara?Siku ya Kwanza atamualika Thomas Sankara kuja Tanganyika.
Ma legend wa AfrikaHatari! Sankara anaweza kumuomba magufuli amsindikize. Unakua alipo Sankara?
Bado hawajaamka na siasa hawaHatofanya chochote atauacha na kuulinda
Wapeni ikulu ndio mtajua Shekhe ni yuleyule tofauti ni kanzu
Ina maana watam J KennedyHatari! Sankara anaweza kumuomba magufuli amsindikize. Unakua alipo Sankara?
Bado hawajaamka na siasa hawa
Laiti wangejua
Awe Rais wa nini? Au rais wa vitu gan?Tuseme kesho Tundu Lissu ameamka kaupata Urais, ni kipi ataanza nacho kuhusu Muungano?
Akiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi alidai Tanganyika tunaiibia Zanzibar sasa hivi msimamo wa gwiji hili la sheria umebadilika kutokana na elimu ya siasa ambayo amekuwa akiitoa kwenye mikutano ya CHADEMA.
Anadai Wazanzibar wanatunyonya vilivyo kwenye Muungano.
Napata wasiwasi Lissu atafanya nini kuhusu muungano hapo mwaka 2025.
Group lao halifiki hata laki 5 ila wanagawana sio ruzuku bali wanakwapua mpaka walizozipangia bajeti uchwaraSisi ndio hatuwaelewii! Wapo hapo kula ruzuku tu
Subira tunaomba herufi ndogo tafadhaliLISU HANA SHIDA NA MUUNGANO YATIZO TANGANYIKA NDO HAIPO UNAPASWA KUWA MUUNGANO WA SERIKALI TATU AU LA UWE WA SERIKALI MOJA ZANZIBAR NAYO IFE KM TANGANYIKA
kwanza kabisa hiyo haitakuja kuwahi kutokea Tanzania. Itoshe tu ile ya bahati mbaya pale TLS 🐒Tuseme kesho Tundu Lissu ameamka kaupata Urais, ni kipi ataanza nacho kuhusu Muungano?
Akiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi alidai Tanganyika tunaiibia Zanzibar sasa hivi msimamo wa gwiji hili la sheria umebadilika kutokana na elimu ya siasa ambayo amekuwa akiitoa kwenye mikutano ya CHADEMA.
Anadai Wazanzibar wanatunyonya vilivyo kwenye Muungano.
Napata wasiwasi Lissu atafanya nini kuhusu muungano hapo mwaka 2025.