Pre GE2025 Kesho Lissu akiwa Rais unadhani ni kipi cha kwanza atafanya kuhusu Muungano?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wazanzibari watamuunga Sana mkono Lissu maana hata wao huu muungano wa mchongo hawautaki
 
Awe Rais wa nini? Au rais wa vitu gan?
 
kwanza kabisa hiyo haitakuja kuwahi kutokea Tanzania. Itoshe tu ile ya bahati mbaya pale TLS 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…