Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Aliongea na nani ?! Bila shaka kwenye majukwaa ya mikutano ya hadharaNI shujaa was Afrika . hakuogopa kuongea ukweli
Hakukubalu kupiga magoti mbele ya mabeberu
Odhis *
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliongea na nani ?! Bila shaka kwenye majukwaa ya mikutano ya hadharaNI shujaa was Afrika . hakuogopa kuongea ukweli
Hakukubalu kupiga magoti mbele ya mabeberu
Ndio maana nimesema sio mdahalo hasa, cha muhimu Lissu ajitahidi kutokuongea uongoHuna lolote MSAGA SUMU . Plo Lumumba Mzee wa vocabulary hawezi kuelezea uhalisia wa mambo ya Tz kuliko Lissu . Kwa sababu Lissu anayaishi wakati Lumumba siyo.
Pili ule si mdahalo bali mjadala .
Odhis *
Sasa siku ile Masilingi alitoa point ipi zaidi ya kuonyesha amekasirika !!.hukuwa umezaliwa au hukuwa na smartphone mkuu??
ile siku ndio nilijua wasomi wa ccm wakiweka siasa chini sio watu wa mchezo mchezo.nikagundua kitu pia,kwamba kumbe lissu huwa anatoa povu sio hoja.
sasa kesho ajipange,na sijui kama hataokba udhuru.
Huyo Lissu unamuona ni wa kukosa hoja !!. Huko hakuna bundukindio maana nimesema sio mdahalo hasa, cha muhimu Lissu ajitahidi kutokuongea uongo
Kama JPM ni Shujaa wa Africa hata Jean -Bédel Bokasa nae ni shujaa vile vile..
Unamaanisha yuke Masilingi aliyetaka kurusha ngumi studio baada ya kushindwa kujibu hoja za Lissu?Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane...
HahahaaaUna maanisha yuke Masilingi aliyetaka kurusha ngumi studio baada ya kushindwa kujibu hoja za Lissu?
Hakupiga magoti kivipi.NI shujaa was Afrika . hakuogopa kuongea ukweli
Hakukubalu kupiga magoti mbele ya mabeberu
Acha uongo ile walienda sawa mbonahukuwa umezaliwa au hukuwa na smartphone mkuu??
ile siku ndio nilijua wasomi wa ccm wakiweka siasa chini sio watu wa mchezo mchezo.nikagundua kitu pia,kwamba kumbe lissu huwa anatoa povu sio hoja.
sasa kesho ajipange,na sijui kama hataokba udhuru.
Huyo mgonjwa anatia huruma ....acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapambio.
kuna muda usiwajibu hawa mazwazwa unawapa kichwa,hivi wanajua maana ya shujaa wa Africa?Ni utaahira kumpa mtu ambae hana uwezo wowote wa kihoja mbele za wasomi ushujaa wa Afrika.
Kwa kigezo kipi yaani Magu anaweza kuwa shujaa?