Kesho Lissu asipotulia tena yatamkuta yale yaliomkuta 2019 mbele ya Masilingi

Kesho Lissu asipotulia tena yatamkuta yale yaliomkuta 2019 mbele ya Masilingi

hukuwa umezaliwa au hukuwa na smartphone mkuu??

ile siku ndio nilijua wasomi wa ccm wakiweka siasa chini sio watu wa mchezo mchezo.nikagundua kitu pia,kwamba kumbe lissu huwa anatoa povu sio hoja.

sasa kesho ajipange,na sijui kama hataokba udhuru.
Masilingi alikuwa hana hoja, ni kupiga kelele, kuingilia wakati Lissu anaongea, na pia moderator hakutimiza wajibu wake kumlinda msemaji. Masilingi hakuwa na njia nyingine. Kama angetuliza ball kila mtu ajenge hoja, asingefika popote. Kumtetea Magu ni kibarua kigumu.
 
Kama JPM ni Shujaa wa Africa hata Jean -Bédel Bokasa nae ni shujaa vile vile..

Shujaa gani aliyekua anakwepa midahalo?

Bora hata Mkapa alikwepa hadi alipokutana na Tim Sebastian Kwenye HardTalk hadi akawa na gadhabu!
Na ndicho alichofanya Masilingi
 
Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062
Yaani wewe unajiita Msaga sumu, kweli unatuletea utumbo hapa kwenye mtandao. Munatafuta kila njia ya kuuwa demokrasia nchini kwa visingizio. Kweli ujinga una ndugu zake.Hivi munafikiria kumuua Tundu Lissu kwa matamshi yake na hoka zake dhidi ya ufashisti uliopo nchini. Ana haki kama raia wa taifa hili kutoa maonai yake tena ni haki ya kikatiba. Na Tanzania kama memba wa UN, AU na SADCC lazima waheshimu haki za wananchi na haki za kibanaadmu. kama munaona hamuwezi kumhoji Tundu Lissu kwa hoja zake, bora mujitie kamba. Vitisho hatima yake tumeiona. Mumetisha, mumeua, mumetesa, mwisho wake na nyinyi muna kufa tu. kwa hiyo ukitaka kufa jifanye wewe ndio Mungu wakutoa watu roho, UTAKUFA. wacha kutisha watu. Hakuna anatishika na upumbavu wenu.
 
Huyo mgonjwa anatia huruma ....acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapambio.
Huyo uliyemuona ni mzima na kumuabudu yuko wapi?

Wacha hakiba ya maneno Mungu hazikahikiwi si Huyo jiwe mkiliona kama halikufa na kumuona ni mzima kumbe likitembea na kifaa cha usaidizi wa kuongeza maisha mbele leo liko wapi?
 
Masilingi aliyepandisha kisukari kwa nondo za Lissu au Masilingi yupi ?
Masilingi alikuwa ana mhandle Lissu diplomatically kwa vile yeye ni balozi, wakati Lissu alikuwa analeta siasa za CHADEMA za kubisha kila kitu.
 
Time saver tu hilo jamaa halina lolote. Akiwa na Kenyatta anacheza ngoma ya Kenyatta. Kwenye kesi ya Raila dhidi ya Kenyatta kupinga uchaguzi, PLO alikuwa lead counsel kwa Kenyatta.

PLO akiwa na jiwe anaimba nyimbo za jiwe.

Akiwa na Kagame anaimba nyimbo za huko.

Vivyo hivyo akiwa na Mungu au Shetani.
Sasa tunasubiri akiwa na Lissu!
 
Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062
Lissu hana ubavu wa kuwezana a lumumba kwa hoja. Atagaragazwa vipande vipande, kwanza nashauri abebe na kamusi kabisa maana anaweza asielewe hata english yenyewe
 
NI shujaa was Afrika . hakuogopa kuongea ukweli
Hakukubalu kupiga magoti mbele ya mabeberu
Kabudi kumbe alijipeleka kupiga magoti kwa beberu

img_1_1613761274522.jpg
 
Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062
Kwa uungwana kabisa, ni nani, au kikundi gani, taasisi gani au tafiti gani iliyompa Magufuli hadhi ya shujaa wa Africa?
 
Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062
Acha uongo wako Balozi Masilingi alizidiwa kete na Lissu. Uzuri wa system na deep state huwa wana namna yao ya kufunua mambo ya wajanjajanja dani ya serikali. Pia tunachokosea ni kupiga ngoma sana tena kwa nguvu nyingi sana. Mazuri hatuna haja kupamba yatajisemea yenyewe
 
Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062
Hilo la Masilingi kumuelemea Lissu... Video bado ipo YouTube. Kaangalie ujikumbushe kidogo.
 
Back
Top Bottom