The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huu mpambano ni sawa na Real madrid ya Spain vs Faru dume ya Temeke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa. Lumumba atakuwa anazungumzia 'Ideology', lisu atakuwa anashambulia na kutukana mtu, sasa hapo wapi na wapi?!PLO kumuweka na lissu ni kumdowngrade!
Masilingi alikuwa hana hoja, ni kupiga kelele, kuingilia wakati Lissu anaongea, na pia moderator hakutimiza wajibu wake kumlinda msemaji. Masilingi hakuwa na njia nyingine. Kama angetuliza ball kila mtu ajenge hoja, asingefika popote. Kumtetea Magu ni kibarua kigumu.hukuwa umezaliwa au hukuwa na smartphone mkuu??
ile siku ndio nilijua wasomi wa ccm wakiweka siasa chini sio watu wa mchezo mchezo.nikagundua kitu pia,kwamba kumbe lissu huwa anatoa povu sio hoja.
sasa kesho ajipange,na sijui kama hataokba udhuru.
Na ndicho alichofanya MasilingiKama JPM ni Shujaa wa Africa hata Jean -Bédel Bokasa nae ni shujaa vile vile..
Shujaa gani aliyekua anakwepa midahalo?
Bora hata Mkapa alikwepa hadi alipokutana na Tim Sebastian Kwenye HardTalk hadi akawa na gadhabu!
Kumpambanisha Lissu na PLO Lumumba ni kama kuua nzi kwa mzinga! Lumumba anaijuia Afrika yote, wakati Lissu anaijua Chadema nusu nusu tu!
Yaani wewe unajiita Msaga sumu, kweli unatuletea utumbo hapa kwenye mtandao. Munatafuta kila njia ya kuuwa demokrasia nchini kwa visingizio. Kweli ujinga una ndugu zake.Hivi munafikiria kumuua Tundu Lissu kwa matamshi yake na hoka zake dhidi ya ufashisti uliopo nchini. Ana haki kama raia wa taifa hili kutoa maonai yake tena ni haki ya kikatiba. Na Tanzania kama memba wa UN, AU na SADCC lazima waheshimu haki za wananchi na haki za kibanaadmu. kama munaona hamuwezi kumhoji Tundu Lissu kwa hoja zake, bora mujitie kamba. Vitisho hatima yake tumeiona. Mumetisha, mumeua, mumetesa, mwisho wake na nyinyi muna kufa tu. kwa hiyo ukitaka kufa jifanye wewe ndio Mungu wakutoa watu roho, UTAKUFA. wacha kutisha watu. Hakuna anatishika na upumbavu wenu.Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.
Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.
Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.
Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.
View attachment 1739062
Huyo uliyemuona ni mzima na kumuabudu yuko wapi?Huyo mgonjwa anatia huruma ....acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapambio.
Masilingi alikuwa ana mhandle Lissu diplomatically kwa vile yeye ni balozi, wakati Lissu alikuwa analeta siasa za CHADEMA za kubisha kila kitu.Masilingi aliyepandisha kisukari kwa nondo za Lissu au Masilingi yupi ?
Sasa tunasubiri akiwa na Lissu!Time saver tu hilo jamaa halina lolote. Akiwa na Kenyatta anacheza ngoma ya Kenyatta. Kwenye kesi ya Raila dhidi ya Kenyatta kupinga uchaguzi, PLO alikuwa lead counsel kwa Kenyatta.
PLO akiwa na jiwe anaimba nyimbo za jiwe.
Akiwa na Kagame anaimba nyimbo za huko.
Vivyo hivyo akiwa na Mungu au Shetani.
Uwe na akiba ya manenoHuyo mgonjwa anatia huruma ....acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapambio.
Lissu hana ubavu wa kuwezana a lumumba kwa hoja. Atagaragazwa vipande vipande, kwanza nashauri abebe na kamusi kabisa maana anaweza asielewe hata english yenyeweKesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.
Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.
Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.
Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.
View attachment 1739062
Kabudi kumbe alijipeleka kupiga magoti kwa beberuNI shujaa was Afrika . hakuogopa kuongea ukweli
Hakukubalu kupiga magoti mbele ya mabeberu
Kwa uungwana kabisa, ni nani, au kikundi gani, taasisi gani au tafiti gani iliyompa Magufuli hadhi ya shujaa wa Africa?Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.
Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.
Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.
Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.
View attachment 1739062
Huyo mgonjwa anatia huruma ....acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapa
MGONJWA NI WEWE UNAYE UMWA MOYOHuyo mgonjwa anatia huruma ....acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapambio.
Acha uongo wako Balozi Masilingi alizidiwa kete na Lissu. Uzuri wa system na deep state huwa wana namna yao ya kufunua mambo ya wajanjajanja dani ya serikali. Pia tunachokosea ni kupiga ngoma sana tena kwa nguvu nyingi sana. Mazuri hatuna haja kupamba yatajisemea yenyeweKesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.
Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.
Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.
Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.
View attachment 1739062
Hilo la Masilingi kumuelemea Lissu... Video bado ipo YouTube. Kaangalie ujikumbushe kidogo.Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.
Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.
Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.
Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.
View attachment 1739062
Kinjikitile wetu walati wa Vita vya Covid 19 risasi zao zimefeliShujaa wa waafrika?
Mbona hazai sasa?PLO Ana uchungu na Afrika