Kesho Lissu asipotulia tena yatamkuta yale yaliomkuta 2019 mbele ya Masilingi

Kesho Lissu asipotulia tena yatamkuta yale yaliomkuta 2019 mbele ya Masilingi

Lapoteza mvuto huu jamaaa vema akae kinya tu , anayepambana nae kashamsamehe mda mrefu sana
 
Kwamba Lumumba PLO mkenya huyu ana uchungu sana na Tanzania au na mtanzania kuliko Lissu?

Wajameni! Tuwe serious kidogo basi.

Kwamba Masilingi alimwelemea Lissu VoA? Masilingi mwenyewe hatakubaliana na wewe kwenye hilo.

PLO akapambane na BBI na akina Ruto. Hapana kusahau hata jab ya AstraZeneca ya beberu keshapata huyu!
Kwani Lissu ana uchungu gani na Tanzania zaidi ya kututukana na kuichafua nchi mbele ya uso wa dunia?
 
Hilo la Masilingi kumuelemea Lissu... Video bado ipo YouTube. Kaangalie ujikumbushe kidogo.
Masikini alipigwa out mapema Sana....lissu Yuko vizuri umuunge mkono usimuunge mkono.Kwa mfano huwezi fananisha mwigulu na lissu kamwe...lissu ni level nyingine
 
Huna lolote MSAGA SUMU . Plo Lumumba Mzee wa vocabulary hawezi kuelezea uhalisia wa mambo ya Tz kuliko Lissu . Kwa sababu Lissu anayaishi wakati Lumumba siyo.

Pili ule si mdahalo bali mjadala .

Odhis *
Utasemaje Lisu anayaishi maisha ya Tanzania wakati yuko Ubeligiji? Acha mambo yake basi, Lissu anachiotafuta kila kukicha ni kutafuta viumbea umbea tu ili aweze kuandika kashifa
 
Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062
Umeandika maneno ya ajabu na uongo. Tambua kuwa MUngu yupo, Acha kuandika uongo
 
Wacha uongo masilingi ndiyo alichemsha mpaka alikuwa ananyanyuka kwenye kiti anataka kurusha ngumi na alikuwa amelewa,itafute uiangalie tena.
Kupambana na lissu kwa hoja mtu ajipange, lissu aliweka tofauti ya serikali na nchi, masilingii akawa anatoa mimacho tu...
 
Wewe ulitakaje? Unataka Nani awe shujaa? Na Kama shujaa ni Magu wewe inakuhueu Nini?
 
Huna lolote MSAGA SUMU . Plo Lumumba Mzee wa vocabulary hawezi kuelezea uhalisia wa mambo ya Tz kuliko Lissu . Kwa sababu Lissu anayaishi wakati Lumumba siyo.

Pili ule si mdahalo bali mjadala .

Odhis *
Tumwache Lisu ateme nyongo maana hiyo ni sehemu ya tiba kwake.
Wana saikolojia wamenielewa
 
Back
Top Bottom