mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 1,053
- 1,199
Duh hii umenikumbusha mbali aisee MSAGA SUMU haijuiKama JPM ni Shujaa wa Africa hata Jean -Bédel Bokasa nae ni shujaa vile vile..
Shujaa gani aliyekua anakwepa midahalo?
Bora hata Mkapa alikwepa hadi alipokutana na Tim Sebastian Kwenye HardTalk hadi akawa na gadhabu!
Yaani matusi ya mtandaoni ndo yamuumize kichwa Lissu?Kwanza Tundu keshakua disappointed na meseji aliyoipata kwnye maombolezo ya Chuma
Pili Tundu keshakua disappointed na shombo alizozipata kwnye comment ktk account zake fesibuku
Hana hata zile nguvu kabisaa labda wamjaze kwa tena
Aaa Mzee, siku ile WM aligaragazwa mpaka analialia. Kapewa vifungu vya sheria anasema ooo hiyo haitafsiriwi hivyo. Kapelekeshwa wee alivorudishwa nyuma kaishia kusema oo we rudi nyumbani kajenge taifa. Siku ile nilikuwepo. WM was an obvious underdog. Alitia huruma sana.Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.
Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.
Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.
Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.
View attachment 1739062
Lumumba is overrated.... Si alipewa Tume ya kupambana na ufisadi alifanikiwa lipi?Kumpambanisha Lissu na PLO Lumumba ni kama kuua nzi kwa mzinga! Lumumba anaijuia Afrika yote, wakati Lissu anaijua Chadema nusu nusu tu!
Wanatukanwa kina Messi na Ronaldo mpaka wanatishia kufunga akaunti zao ndio sembuse Lissu?Kwanza Tundu keshakua disappointed na meseji aliyoipata kwnye maombolezo ya Chuma
Pili Tundu keshakua disappointed na shombo alizozipata kwnye comment ktk account zake fesibuku
Hana hata zile nguvu kabisaa labda wamjaze kwa tena
AkazaePLO Ana uchungu na Afrika
Kesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.
Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.
Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.
Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.
View attachment 1739062
Legacy mbaya sana sana hii.Masilingi hajawahi mgalagaza lisu voa. Sema unapenda sana kuandika uongo ambao ndio urithi mkuu magu katuachia. Majaliwa ametudanganya spika katudanganya hata leo wabunge bado wanatuambia uongo
Sawa na Barcelona kucheza na Coastal Union eti?PLO kumuweka na lissu ni kumdowngrade!
Huwezi na hutakaa umpangie Shujaa Lissu cha kuzungumza au kutokuzungumza.Masilingi,Weka yale mahojiano tuone jinsi Masilingi alivyotamani ardhi ipasuke aingie humo halafu ijifunge.Weka hapa hiyo videoKesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.
Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.
Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.
Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.
View attachment 1739062
Hapo ni Bunduki Vs Rungu
Lumumba Mkenya 🤔🤔?fala sana weweKwamba Lumumba PLO mkenya huyu ana uchungu sana na Tanzania au na mtanzania kuliko Lissu?
Wajameni! Tuwe serious kidogo basi.
Kwamba Masilingi alimwelemea Lissu VoA? Masilingi mwenyewe hatakubaliana na wewe kwenye hilo.
PLO akapambane na BBI na amina Ruto. Hapana kusahau hata jab ya AstraZeneca ya beberu keshapata huyu!
Kaa kwa kutulia, uone jinsi Mbeligiji atakavyoumbuka mbele ya pan africanist lumumba.Ni utaahira kumpa mtu ambae hana uwezo wowote wa kihoja mbele za wasomi ushujaa wa Afrika.
Kwa kigezo kipi yaani Magu anaweza kuwa shujaa?
Mbeligiji ataumbuka vibaya mno. Hii mechi nilikuwa naitamani Sana.Lissu ukute yupo anapiga msuli wa Sheria muda huu maana anajua huo Moto anaokutana nao kesho siyo wa kawaida..
Prof Lumumba vs mropokaji.