LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa huyo mbeligiji mwenda zake hamfikii hata robo, kiingereza Cha dk tatu shida.Alitutia aibu baba yule dah...Kaa kwa kutulia, uone jinsi Mbeligiji atakavyoumbuka mbele ya pan africanist lumumba.
Kwani Lissu ana uchungu gani na Tanzania zaidi ya kututukana na kuichafua nchi mbele ya uso wa dunia?Kwamba Lumumba PLO mkenya huyu ana uchungu sana na Tanzania au na mtanzania kuliko Lissu?
Wajameni! Tuwe serious kidogo basi.
Kwamba Masilingi alimwelemea Lissu VoA? Masilingi mwenyewe hatakubaliana na wewe kwenye hilo.
PLO akapambane na BBI na akina Ruto. Hapana kusahau hata jab ya AstraZeneca ya beberu keshapata huyu!
Masikini alipigwa out mapema Sana....lissu Yuko vizuri umuunge mkono usimuunge mkono.Kwa mfano huwezi fananisha mwigulu na lissu kamwe...lissu ni level nyingineHilo la Masilingi kumuelemea Lissu... Video bado ipo YouTube. Kaangalie ujikumbushe kidogo.
Haahaa uchungu kwani yeye anazaa?Kwani Lissu ana uchungu gani na Tanzania zaidi ya kututukana na kuichafua nchi mbele ya uso wa dunia?
Haahaa huyo mkenya Koko Hana chochote kipya zaidi ya kukariri ya kale tupuKweli kabisa. Lumumba atakuwa anazungumzia 'Ideology', lisu atakuwa anashambulia na kutukana mtu, sasa hapo wapi na wapi?!
Utasemaje Lisu anayaishi maisha ya Tanzania wakati yuko Ubeligiji? Acha mambo yake basi, Lissu anachiotafuta kila kukicha ni kutafuta viumbea umbea tu ili aweze kuandika kashifaHuna lolote MSAGA SUMU . Plo Lumumba Mzee wa vocabulary hawezi kuelezea uhalisia wa mambo ya Tz kuliko Lissu . Kwa sababu Lissu anayaishi wakati Lumumba siyo.
Pili ule si mdahalo bali mjadala .
Odhis *
Mlimtia ulemavu na lengo lenu la kumuua likafelu,alimtiaimba mpiga push up wenu kipindi cha kampeni hadi betri ikaflot leo hii mnuita mgonjwa siyo! Mgonjwa alishakufa.Huyo mgonjwa anatia huruma ....acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapambio.
Umeandika maneno ya ajabu na uongo. Tambua kuwa MUngu yupo, Acha kuandika uongoKesho Lissu yupo STraight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.
Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.
Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.
Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.
View attachment 1739062
Kupambana na lissu kwa hoja mtu ajipange, lissu aliweka tofauti ya serikali na nchi, masilingii akawa anatoa mimacho tu...Wacha uongo masilingi ndiyo alichemsha mpaka alikuwa ananyanyuka kwenye kiti anataka kurusha ngumi na alikuwa amelewa,itafute uiangalie tena.
Ana ushujaa wa uongo na kuibaNi utaahira kumpa mtu ambae hana uwezo wowote wa kihoja mbele za wasomi ushujaa wa Afrika.
Kwa kigezo kipi yaani Magu anaweza kuwa shujaa?
Mbona hajaenda labor?PLO Ana uchungu na Afrika
Tumwache Lisu ateme nyongo maana hiyo ni sehemu ya tiba kwake.Huna lolote MSAGA SUMU . Plo Lumumba Mzee wa vocabulary hawezi kuelezea uhalisia wa mambo ya Tz kuliko Lissu . Kwa sababu Lissu anayaishi wakati Lumumba siyo.
Pili ule si mdahalo bali mjadala .
Odhis *
MuuliZe mama yako Kama Lisu ni mgonjwaHuyo mgonjwa anatia huruma ....acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapambio.
Akili za watu walioishia darasa la Pili hata matumizi ya maneno Katika lugha ya kiswAhili hujuiMbona hajaenda labor?
Mtupoli analiwa tu na kila aina ya wadudu, huku akipiga mapushapu yake.Huyo mgonjwa anatia huruma ....acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapambio.
Mvuta bhangi mwingine huyuMbona hazai sasa?
Huyu ni shujaa wa Chato, siyo Africa!Shujaa wa waafrika?
Unai define vipi afrika?
Maneno kama haya yanatia aibu na kujishushia credibility mbele za watu wenye akili
Kwanza hata sijui anamsema mgonjwa yupi!Mkuu kwani mgonjwa haruhusiwi kuongea