Kesho Mtaniona Live na kunifahamu nitakaposhiriki Kwenye maandamano makubwa Mkoa wa Songwe Ya kumpongeza Rais Samia kwa kuteuliwa Kugombea Urais

Kesho Mtaniona Live na kunifahamu nitakaposhiriki Kwenye maandamano makubwa Mkoa wa Songwe Ya kumpongeza Rais Samia kwa kuteuliwa Kugombea Urais

Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho ya Jumamosi natarajia kushiriki katika Maandamano Makubwa Mkoa Wa songwe ya Kumpongeza RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya Urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Mwishoni Mwa Mwaka huu.

Ambapo Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika katika Wilaya ya Mbozi na kuhitimishwa katika Mji Mdogo wa Mlowo .ambako kutafanyika Mkutano Mkubwa sana wa hadhara ambao unatarajiwa kuhudhuriwa na watu wengi sana.

Soma Pia Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Ambapo ni mahali hapo kutatolewa hotuba mbalimbali kutoka kwa viongozi wetu mbalimbali wa ndani ya mkoa wa songwe.kuelezea mambo makubwa na ya ajabu aliyoyafanya Rais wetu Mpendwa ndani ya muda mfupi ambayo yamekuwa kama Miujiza na maajabu ya Musa..

Tayari watu mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameanza kumiminika kusogea eneo la tukio na wengine wamekuwa wakisafiri na kunyeshewa na mvua.

lakini wanasema wapo tayari kuloa na kunyeshewa na Mvua lakini wasikose kushiriki katika maandamano hayo yenye lengo la kuunga na kuupongeza Mkutano Mkuu Maalum ambao ulimpitisha kwa kauli Moja Mama yetu jasiri muongoza njia na Simba wa Nyika Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kugombea Urais.

Kwa hiyo kesho wana jukwaa mtaniona live nikiwa nimependeza na sare za CCM huku nikiwa ni kijani tupu kuanzia Damuni hadi nje na kubeba picha ya Mama Samia. Kesho Msikosee kufuatilia maandamano hayo ambapo wengi mtaniona kwa mara ya kwanza na kufurahi mpaka mbubujikwe na machozi ya furaha.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tukufafahamu ili iweje?
Una jipya gani zaidi ya uchumia tumbo tu?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho ya Jumamosi natarajia kushiriki katika Maandamano Makubwa Mkoa Wa songwe ya Kumpongeza RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya Urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Mwishoni Mwa Mwaka huu.

Ambapo Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika katika Wilaya ya Mbozi na kuhitimishwa katika Mji Mdogo wa Mlowo .ambako kutafanyika Mkutano Mkubwa sana wa hadhara ambao unatarajiwa kuhudhuriwa na watu wengi sana.

Soma Pia Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Ambapo ni mahali hapo kutatolewa hotuba mbalimbali kutoka kwa viongozi wetu mbalimbali wa ndani ya mkoa wa songwe.kuelezea mambo makubwa na ya ajabu aliyoyafanya Rais wetu Mpendwa ndani ya muda mfupi ambayo yamekuwa kama Miujiza na maajabu ya Musa..

Tayari watu mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameanza kumiminika kusogea eneo la tukio na wengine wamekuwa wakisafiri na kunyeshewa na mvua.

lakini wanasema wapo tayari kuloa na kunyeshewa na Mvua lakini wasikose kushiriki katika maandamano hayo yenye lengo la kuunga na kuupongeza Mkutano Mkuu Maalum ambao ulimpitisha kwa kauli Moja Mama yetu jasiri muongoza njia na Simba wa Nyika Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kugombea Urais.

Kwa hiyo kesho wana jukwaa mtaniona live nikiwa nimependeza na sare za CCM huku nikiwa ni kijani tupu kuanzia Damuni hadi nje na kubeba picha ya Mama Samia. Kesho Msikosee kufuatilia maandamano hayo ambapo wengi mtaniona kwa mara ya kwanza na kufurahi mpaka mbubujikwe na machozi ya furaha.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unaenda kuandamana kwa ajili ya kushangilia KUVUNJWA KATIBA YENU CCM??🤔🤔🤔🤔🤣🤣🤣😅😅
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho ya Jumamosi natarajia kushiriki katika Maandamano Makubwa Mkoa Wa songwe ya Kumpongeza RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya Urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Mwishoni Mwa Mwaka huu.

Ambapo Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika katika Wilaya ya Mbozi na kuhitimishwa katika Mji Mdogo wa Mlowo .ambako kutafanyika Mkutano Mkubwa sana wa hadhara ambao unatarajiwa kuhudhuriwa na watu wengi sana.

Soma Pia Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Ambapo ni mahali hapo kutatolewa hotuba mbalimbali kutoka kwa viongozi wetu mbalimbali wa ndani ya mkoa wa songwe.kuelezea mambo makubwa na ya ajabu aliyoyafanya Rais wetu Mpendwa ndani ya muda mfupi ambayo yamekuwa kama Miujiza na maajabu ya Musa..

Tayari watu mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameanza kumiminika kusogea eneo la tukio na wengine wamekuwa wakisafiri na kunyeshewa na mvua.

lakini wanasema wapo tayari kuloa na kunyeshewa na Mvua lakini wasikose kushiriki katika maandamano hayo yenye lengo la kuunga na kuupongeza Mkutano Mkuu Maalum ambao ulimpitisha kwa kauli Moja Mama yetu jasiri muongoza njia na Simba wa Nyika Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kugombea Urais.

Kwa hiyo kesho wana jukwaa mtaniona live nikiwa nimependeza na sare za CCM huku nikiwa ni kijani tupu kuanzia Damuni hadi nje na kubeba picha ya Mama Samia. Kesho Msikosee kufuatilia maandamano hayo ambapo wengi mtaniona kwa mara ya kwanza na kufurahi mpaka mbubujikwe na machozi ya furaha.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wakuonee huruma tu wakupe ka teuzi...ka kisomo si unako ndugu yangu, si la saba?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho ya Jumamosi natarajia kushiriki katika Maandamano Makubwa Mkoa Wa songwe ya Kumpongeza RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya Urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Mwishoni Mwa Mwaka huu.

Ambapo Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika katika Wilaya ya Mbozi na kuhitimishwa katika Mji Mdogo wa Mlowo .ambako kutafanyika Mkutano Mkubwa sana wa hadhara ambao unatarajiwa kuhudhuriwa na watu wengi sana.

Soma Pia Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Ambapo ni mahali hapo kutatolewa hotuba mbalimbali kutoka kwa viongozi wetu mbalimbali wa ndani ya mkoa wa songwe.kuelezea mambo makubwa na ya ajabu aliyoyafanya Rais wetu Mpendwa ndani ya muda mfupi ambayo yamekuwa kama Miujiza na maajabu ya Musa..

Tayari watu mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameanza kumiminika kusogea eneo la tukio na wengine wamekuwa wakisafiri na kunyeshewa na mvua.

lakini wanasema wapo tayari kuloa na kunyeshewa na Mvua lakini wasikose kushiriki katika maandamano hayo yenye lengo la kuunga na kuupongeza Mkutano Mkuu Maalum ambao ulimpitisha kwa kauli Moja Mama yetu jasiri muongoza njia na Simba wa Nyika Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kugombea Urais.

Kwa hiyo kesho wana jukwaa mtaniona live nikiwa nimependeza na sare za CCM huku nikiwa ni kijani tupu kuanzia Damuni hadi nje na kubeba picha ya Mama Samia. Kesho Msikosee kufuatilia maandamano hayo ambapo wengi mtaniona kwa mara ya kwanza na kufurahi mpaka mbubujikwe na machozi ya furaha.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nani anataka kukujua ww mshamba?
 
Kwa hiyo utabeba bango lenye jina lako? Kajisanue shauri zako, kesho huijui
 
Picha yako hii hapa we chawa, ilikuwa mwaka gani huu?
View attachment 3212956
Kama Luka ni huyu kwenye Picha ni ngumu sana kutoboa Kwa siasa ,,Fanya kazi kijana kwanza kijana kama hauna refa na sio kutoka royal family hauwez toboa ,,Isack atakuja kutoboa ww ukiwa Bado chawa ,na baada ya mama atakuja Babake Isack naye utakua unamwabudu na baadae Isack mwenyew ,,na hapo hapo uzee utaingia na kubak mlala hoi,hauna boda boda ukapige Kaz kulko ujinga wa kuandamana??
 
Kwani hapa Nchini kuna shati lenye hadhi na thamani kubwa kupita shati la CCM?
Mama akiona huu ujinga atajua akil zako ni fyetu na hawez teuwa mjinga kias hicho!! Kwa nguo za mama anazovaa hazina dhaman na wala Huwa hapendez akivaa mpka avae nguo za kijana sio??
 
Kama Luka ni huyu kwenye Picha ni ngumu sana kutoboa Kwa siasa ,,Fanya kazi kijana kwanza kijana kama hauna refa na sio kutoka royal family hauwez toboa ,,Isack atakuja kutoboa ww ukiwa Bado chawa ,na baada ya mama atakuja Babake Isack naye utakua unamwabudu na baadae Isack mwenyew ,,na hapo hapo uzee utaingia na kubak mlala hoi,hauna boda boda ukapige Kaz kulko ujinga wa kuandamana??
Mbona anafahamika yupo sana pale Mbeya stend. Nimeshawahi panda Hiace yake na nikawa namuona anavyoandika nyuzi zake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho ya Jumamosi natarajia kushiriki katika Maandamano Makubwa Mkoa Wa songwe ya Kumpongeza RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya Urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Mwishoni Mwa Mwaka huu.

Ambapo Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika katika Wilaya ya Mbozi na kuhitimishwa katika Mji Mdogo wa Mlowo .ambako kutafanyika Mkutano Mkubwa sana wa hadhara ambao unatarajiwa kuhudhuriwa na watu wengi sana.

Soma Pia Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Ambapo ni mahali hapo kutatolewa hotuba mbalimbali kutoka kwa viongozi wetu mbalimbali wa ndani ya mkoa wa songwe.kuelezea mambo makubwa na ya ajabu aliyoyafanya Rais wetu Mpendwa ndani ya muda mfupi ambayo yamekuwa kama Miujiza na maajabu ya Musa..

Tayari watu mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameanza kumiminika kusogea eneo la tukio na wengine wamekuwa wakisafiri na kunyeshewa na mvua.

lakini wanasema wapo tayari kuloa na kunyeshewa na Mvua lakini wasikose kushiriki katika maandamano hayo yenye lengo la kuunga na kuupongeza Mkutano Mkuu Maalum ambao ulimpitisha kwa kauli Moja Mama yetu jasiri muongoza njia na Simba wa Nyika Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kugombea Urais.

Kwa hiyo kesho wana jukwaa mtaniona live nikiwa nimependeza na sare za CCM huku nikiwa ni kijani tupu kuanzia Damuni hadi nje na kubeba picha ya Mama Samia. Kesho Msikosee kufuatilia maandamano hayo ambapo wengi mtaniona kwa mara ya kwanza na kufurahi mpaka mbubujikwe na machozi ya furaha.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
hamna shughuri za kuwapatia kipato?
 
Mbona unajulikana jana nilikuona maeneo ya stendi mpya mlowo umevaa katrak kausi kama mstari mweupe kwa pembeni na umefuga tudevu uchwara..nilikuwa safarin naelekea Mpanda ulikuwa umesimama na jamaa zako unadhani haujulikani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho ya Jumamosi natarajia kushiriki katika Maandamano Makubwa Mkoa Wa songwe ya Kumpongeza RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya Urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Mwishoni Mwa Mwaka huu.

Ambapo Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika katika Wilaya ya Mbozi na kuhitimishwa katika Mji Mdogo wa Mlowo .ambako kutafanyika Mkutano Mkubwa sana wa hadhara ambao unatarajiwa kuhudhuriwa na watu wengi sana.

Soma Pia Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Ambapo ni mahali hapo kutatolewa hotuba mbalimbali kutoka kwa viongozi wetu mbalimbali wa ndani ya mkoa wa songwe.kuelezea mambo makubwa na ya ajabu aliyoyafanya Rais wetu Mpendwa ndani ya muda mfupi ambayo yamekuwa kama Miujiza na maajabu ya Musa..

Tayari watu mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameanza kumiminika kusogea eneo la tukio na wengine wamekuwa wakisafiri na kunyeshewa na mvua.

lakini wanasema wapo tayari kuloa na kunyeshewa na Mvua lakini wasikose kushiriki katika maandamano hayo yenye lengo la kuunga na kuupongeza Mkutano Mkuu Maalum ambao ulimpitisha kwa kauli Moja Mama yetu jasiri muongoza njia na Simba wa Nyika Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kugombea Urais.

Kwa hiyo kesho wana jukwaa mtaniona live nikiwa nimependeza na sare za CCM huku nikiwa ni kijani tupu kuanzia Damuni hadi nje na kubeba picha ya Mama Samia. Kesho Msikosee kufuatilia maandamano hayo ambapo wengi mtaniona kwa mara ya kwanza na kufurahi mpaka mbubujikwe na machozi ya furaha.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kumbe kujiteua nako ni kuteuliwa!
 
Back
Top Bottom