Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaijua hiyoAcha ujinga nipo seriously
Na nimesema kama mtu ana mashaka naagiza kwa pesa yangu. Simu yake ikifika namptia.Kwel tume ona mkuu ume weka screenshoot ya muamala
Acha ujuaji kama una mashaka nikuagizie alafu ikifika utalipia.Tunaijua hiyo
Kama unahisi utaibiwa nikuagizie ikifika utalipia tena bei tutakayo agizia wote.Mtaibiwa, narudi mtaibiwa.
Hivi Samsung a02 ni bei gani huko, simu hii nilipenda sana, inakaa na chaji hadi kero aisee.Simu ni Samsung zote, iPhone zote, oppo zote, Vivo zote, Xiaomi zote, Google
Subiri nikuulizieHivi Samsung a02 ni bei gani huko, simu hii nilipenda sana, inakaa na chaji hadi kero aisee.
Anazo simu aina zote isipokua infinix na Tecno.Simu aina gani
Tumuagize na blender za aftatu zile0687746471
Sawa ngoja niulize usafiri rahisi wa kusafirisha mablender kwa bei rahisi. Ila wa blender na mtu mwingine namfahamu.Tumuagize na blender za aftatu zile
Hebu uliza tuoneSawa ngoja niulize usafiri rahisi wa kusafirisha mablender kwa bei rahisi. Ila wa blender na mtu mwingine namfahamu.
we jinsia gani kwanza0687746471
Hawezi akakujibu zaid ya kukwambia njoo inboxSamsung Galaxy S21 5G
Na
Samsung Galaxy S21 5G
Bei zake zikoje
Niko hapa nasubiri jibu mkuu.Samsung Galaxy S21 5G
Na
Samsung Galaxy S21 5G
Bei zake zikoje
Na mimi natumia Hii S21 5G ila imepasuka kioo majuzi, nasubiria jibu nione bei ikoje ikinifaa niagize ingine au S22 ultraSamsung Galaxy S21 5G
Na
Samsung Galaxy S21 5G
Bei zake zikoje