Ila Huawei wana simu kali sana. Marekani kumuondolea Google play services mchina amemuharibia soko vibaya sana. Ile simu ilikuwa inaanza kukimbizana na akina Samsung sokoni.Huawei sikushauri mkuu wangu siku izi hazina playstore. Hata mimi nilikua napenda Huawei ila nilisha badili mtazamo baada ya kuondolewa kwenye Google Play services
Kamharibia sanaIla Huawei wana simu kali sana. Marekani kumuondolea Google play services mchina amemuharibia soko vibaya sana. Ile simu ilikuwa inaanza kukimbizana na akina Samsung sokoni.
950 YUANsamsung A70 bei gan mkuu.....by mm bodaboda
Hata baadhi ya iphone pia zinatengenezwa China. Kinachofanyika hapo ni kwamba hayo makampuni ya simu yanafungua viwanda katika nchi mbalimbali kwaajili ya kurahisisha uzalishaji na usambazaji katika masoko ya nchi hizo.Hivi Samsung si inatengenezwa na mkorea, why China tena?
Maana sina imani kama zitakuwa genuine. Hebu nijibu hili swali zinakuwa ni Samsung zenyewe original au ndio zile copy, hebu kuwa muaminifu eneo hilo, nisije toa pesa yangu halafu nikakulaani maisha yote kama sitapata ninachotaka.
Kuwa muungwana unijibu swali langu kiuungwana sana suichukie wala kumind chochote.
Mizigo iliondoka China tangu tarehe 31.Mlioagiza bado mizigo haijafika mtupe mrejesho??
Eti nimezurura mitaa yote ya China😆😆🤡 kwamba China ni sawa na Dar🤡Sawa boss, mimi huko ndio nilikua naishi mkuu. Nilikua naishi Hongshan. Nimeishi huko kwa miaka minne. Nimenunua laptop yangu mwaka 2018 mpaka muda huu naitumia. Hivyo nawafahamu vizuri wachina kuliko wewe. Hawawezi kuniuzia vitu fake. Ninauwezo wa kuingia ofisini kwao hata muda huu na kuwauliza mambo yasipo kwenda sawa. Nimezurura mitaa yote ya China ku refresh mind. Yaani nina marafiki kila mji hakuna mchina wala mtu anaye ishi kwenye mipaka ya China anaweza kuniletea ujanja. Hata wewe kama unataka kwenda China nitafute nikupe mwenyeji wa kufikia na ukifika nampigia simu akupokee.
Unataka simu gani boss.Eti nimezurura mitaa yote ya China😆😆🤡 kwamba China ni sawa na Dar🤡
Umenichekesha tu ulivyosema umezurura mitaa yote ya China😆Unataka simu gani boss.
Wewe amini hivyohivyo sio kwamba nakudanganya. Huo ndio ukweli.Umenichekesha tu ulivyosema umezurura mitaa yote ya China😆
China hihihihi nayo ifahamu au nyingine? Umekaa China kwa muda gani ?
Hakuna aliye agiza iphone mpaka sasa tumeagiza Samsung 10 tu. Zimeondoka China tarehe 31 March.tunasubirii iphone zetu mkuu
Acha uongo binti Xinjiang pekee kubwa kuliko Tanzania acha kudanganya wateja wako, fanya biashara zako bila kuongopea wateja wako.Wewe amini hivyohivyo sio kwamba nakudanganya. Huo ndio ukweli.
Naomba tusibishane sana Xinjiang ndio nini mkuu Xinjiang. Watu wanazungumzia Beijing, Shanghai, Guangzhou, Hongkong wewe unatuletea habari za Xinjiang.Acha uongo binti Xinjiang pekee kubwa kuliko Tanzania acha kudanganya wateja wako, fanya biashara zako bila kuongopea wateja wako.
Umeona sasa ulivyo mjinga binti fanya biashara. Uongo na biashara havikai sambamba labda uongo na utapeli.Naomba tusibishane sana Xinjiang ndio nini mkuu Xinjiang. Watu wanazungumzia Beijing, Shanghai, Guangzhou, Hongkong wewe unatuletea habari za Xinjiang.
mzee wa vinu[emoji3]
Nionyeshe hiyo Xinjiang hapa. Huo mji unatofauti gani na Iringa boss.Umeona sasa ulivyo mjinga binti fanya biashara. Uongo na biashara havikai sambamba labda uongo na utapeli.
Kwamba Xinjiang sio China ? Ulivyosema mitaa yote ya China umezurura ulikuwa unajiropokea tu kama kichaa au ?!.
Hiyo Xinjiang anayo izungumzia ni kama Mtwara ni mji unaongoza kwa kuzalisha gesi.Duh hahahaha