Kesho tarehe 07/04/2024 ni siku rasmi ya Uzinduzi wa shughuli za D. P. WORLD nchini Tanzania

Kesho tarehe 07/04/2024 ni siku rasmi ya Uzinduzi wa shughuli za D. P. WORLD nchini Tanzania

Wao wabaki hapo duniani/ulimwenguni wachape kazi kwa bidii na uadilifu..baada ya miaka mitatu ya mkata a wataongezewa..kimbembe ni kama watafanya kazi kimazoea zoea.
Hamna mmbongo atakayetoboa kwa mkataba wa perfomance sababu ndo njia nyepesi ya kuwachomoa humo. Mwarabu huwa anajiona first class wana ubaguzi sana lazma watawafyekela mbali watu weusi.
 
Hawa wanakuja na upigaji ulioidhinishwa na watawala na genge lao. Huu ni upigaji mtakatifu kwa vile umetakatifuzwa na wasaliti wa Taifa.

Watu wanne wamefanikiwa kupora rasilimali ya watu zaidi ya milioni 60, na kisha kuwauzia jamaa zao.
Kuwakodishia sio kuwauzia šŸ˜‚ maana wao watapokea tozo tu!
 
Hamna mmbongo atakayetoboa kwa mkataba wa perfomance sababu ndo njia nyepesi ya kuwachomoa humo. Mwarabu huwa anajiona first class wana ubaguzi sana lazma watawafyekela mbali watu weusi.
Wawawekee performance targets..na ziwe wazi. Wakishindwa wawale vichwa. Ninachohofia wabongo wanaogopa kupiga kazi na watu ambao wako systematic.
 
hakuna bei, pesa DP world wamehonga watu wetu wa serikali waliofanikisha huu ujanja, ni matajiri kwa sasa usione, na bado wanaendelea kuvuna
Hii nchi wazungu wameipata kirahisi sana .
Walitumia akili sana kwenye Royo tua . Walitaka kuwa na uhakika wa rasilimali za asili zilizopo na ambazo ni Mali ya serikali .
Wakagundua kuwa eneo kubwa sana la nchi hii na rasilimali zake zote ni kama Mali ya Rais na anaweza kufanya chochote bila kuulizwa na yeyote . Wakagundua kuwa mkuu wa nchi ana ukaribu wa kinasaba na kiimani na waOmani kuliko Watanganyika .
Pia wakagundua kuwa mkuu wa nchi ana mamlaka makubwa kuliko mungu kwenye rasilimali na maisha ya watanganyika . Wananchi hawana nguvu juu ya Rasilimali za nchi Wala kuchagua nani wa kuzisimamia isipokua kakikundi kadogo ndani ya CCM. Ikawa rahisi kuwahonga Kwa fedha kama Yuda Askari Ote.
Pia wazungu na waarabu wamefanikiwa kuingia mikataba kama ile ya Wafaransa na Kongo kuhusu Rasilimali za asili . Wanachofanya watawala Sasa ni kama alichofanya Mabuto Seseseko na kuishi maisha ya starehe na serikali yake bila kujua kuwa anaipeleka nchi yake kwenye Giza kuu na kizazi chake na utawala wake ukapotea kabisa kwenye siasa kutokana na kuingiza taifa lake kwenye utegemezi wa nchi ya Ufaransa kusipo na rasilimali za asiili.

Wazungu wamejihakikishia kuwa Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi sana Kwa ukanda huu wa Afria mashariki.
Hawapo tayari kuona nchi inarudi Kwa Wazalendo Tena.

Huko mbeleni mtashangaa kuona CDF mwanamke , IGP mwanamke na Mkuu wa usalama mwanamke .
Lengo ni kuwa na taifa lenye watu wenye kuogopa kuifia nchi Yao dhidi ya mabeberu. Yaani tutakua na madeni kama Zambia na kuaminishwa kuwa hatuwezi kukataa masharti ya wazungu , waarabu na wachina . Hatuna budi kukubali kila wanachohitaji Kwa usalama wetu. Hayo ndiyo yanayokuja Afrika na Tanganyika yameanza kirahisi sana.

Ukiwa na serikali dhaifu , jeshi dhaifu, Polisi dhaifu na usalama wa kisiasa TU basi ni wazi kuwa hata Rwanda wataweza kuja kuwashika watanganyika Sharubu ambazo zitakua zimenyolewa na kubaki kidevu mtelezo .

Jeshi limekaa kimya bandari ikabebwa na sasa mapori yote yanachukuliwa Kwa maansalizi yanharakati za kijasusi Kwa wageni na viwanja vya ndege . Jeshi likeshindwa kumwambia ,"Mkuu pale hapana utatupa wakati mgumu sana kiulinzi na usalama". Maana yake ni nini Kila mtu anaangalia maokoto yake na familia yake.

Mwisho wake ni nini ? Ni kuwa na taifa dhaifu sana huku kila mtu akwa Hana habari na usalama wa nchi . Ikitokea Vita na nchi jirani kama ilivyo kuwa Kwa Uganda ni wazi kuwa Watanzania wengi watajificha maporini kuponya nafsi zao.
Wavamizi wakija na pesa watawanunua yamkini hata wapiganaji wetu kama Marcenary.


Watawala wajitafakari vizuri . Je,Watanganyika mil. 62 wanaii kunyanganywa ardhi bandari zao misitu Yao na madini Yao na kupewa familia ya Mfalme wa Emirate na wazungu wasiozidi mia Moja kwa kushirikiana na watawala wasiozidi elfu tatuna familia zao?
 
Hii nchi wazungu wameipata kirahisi sana .
Walitumia akili sana kwenye Royo tua . Walitaka kuwa na uhakika wa rasilimali za asili zilizopo na ambazo ni Mali ya serikali .
Wakagundua kuwa eneo kubwa sana la nchi hii na rasilimali zake zote ni kama Mali ya Rais na anaweza kufanya chochote bila kuulizwa na yeyote . Wakagundua kuwa mkuu wa nchi ana ukaribu wa kinasaba na kiimani na waOmani kuliko Watanganyika .
Pia wakagundua kuwa mkuu wa nchi ana mamlaka makubwa kuliko mungu kwenye rasilimali na maisha ya watanganyika . Wananchi hawana nguvu juu ya Rasilimali za nchi Wala kuchagua nani wa kuzisimamia isipokua kakikundi kadogo ndani ya CCM. Ikawa rahisi kuwahonga Kwa fedha kama Yuda Askari Ote.
Pia wazungu na waarabu wamefanikiwa kuingia mikataba kama ile ya Wafaransa na Kongo kuhusu Rasilimali za asili . Wanachofanya watawala Sasa ni kama alichofanya Mabuto Seseseko na kuishi maisha ya starehe na serikali yake bila kujua kuwa anaipeleka nchi yake kwenye Giza kuu na kizazi chake na utawala wake ukapotea kabisa kwenye siasa kutokana na kuingiza taifa lake kwenye utegemezi wa nchi ya Ufaransa kusipo na rasilimali za asiili.

Wazungu wamejihakikishia kuwa Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi sana Kwa ukanda huu wa Afria mashariki.
Hawapo tayari kuona nchi inarudi Kwa Wazalendo Tena.

Huko mbeleni mtashangaa kuona CDF mwanamke , IGP mwanamke na Mkuu wa usalama mwanamke .
Lengo ni kuwa na taifa lenye watu wenye kuogopa kuifia nchi Yao dhidi ya mabeberu. Yaani tutakua na madeni kama Zambia na kuaminishwa kuwa hatuwezi kukataa masharti ya wazungu , waarabu na wachina . Hatuna budi kukubali kila wanachohitaji Kwa usalama wetu. Hayo ndiyo yanayokuja Afrika na Tanganyika yameanza kirahisi sana.

Ukiwa na serikali dhaifu , jeshi dhaifu, Polisi dhaifu na usalama wa kisiasa TU basi ni wazi kuwa hata Rwanda wataweza kuja kuwashika watanganyika Sharubu ambazo zitakua zimenyolewa na kubaki kidevu mtelezo .

Jeshi limekaa kimya bandari ikabebwa na sasa mapori yote yanachukuliwa Kwa maansalizi yanharakati za kijasusi Kwa wageni na viwanja vya ndege . Jeshi likeshindwa kumwambia ,"Mkuu pale hapana utatupa wakati mgumu sana kiulinzi na usalama". Maana yake ni nini Kila mtu anaangalia maokoto yake na familia yake.

Mwisho wake ni nini ? Ni kuwa na taifa dhaifu sana huku kila mtu akwa Hana habari na usalama wa nchi . Ikitokea Vita na nchi jirani kama ilivyo kuwa Kwa Uganda ni wazi kuwa Watanzania wengi watajificha maporini kuponya nafsi zao.
Wavamizi wakija na pesa watawanunua yamkini hata wapiganaji wetu kama Marcenary.


Watawala wajitafakari vizuri . Je,Watanganyika mil. 62 wanaii kunyanganywa ardhi bandari zao misitu Yao na madini Yao na kupewa familia ya Mfalme wa Emirate na wazungu wasiozidi mia Moja kwa kushirikiana na watawala wasiozidi elfu tatuna familia zao?
Sasa kama System ikiongozwa na raia nambar eki imewakamata ma Generals wote wa majeshi ya usalama unafikiri kinachofuatia ni nini zaidi ya kusalenda kwa bibi tozo.

Zimetembea rushwa za billions
 
Kesho ni siku rasmi ya Uzinduzi wa shughuli za D P. WORLD nchini Tanzania.

Tayari wameshaleta watu wao tayari kwa kuanza kazi baada ya mamia ya wafanyakazi wa TPA kugoma kujiunga na D. P. World.

Tayari D. P. World wamepewa vitendea kazi vyote vilivyokuwa vya TPA zikiwemo mashine na mitambo mbalimbali, magari, na majengo.

Wote mnakaribishwa

UPDATE

Makabidhiano yamehairishwa Hadi Alhamis tarehe 11/04/2024
Makabidhiano "yamehairishwa" Hadi Alhamis tarehe 11/04/2024.

Yameahirishwa, ikikupendeza.
 
Usojidanganye tutaibiwa mara kumi zaidi.

Ili mgeni asikuibie ni lazina akutane na wazawa wazalendo wanaoipenda nchi Yao na kumshughulikia mwizi bila kujali rangi zao. Hivi kama Mkuu wa nchi anashindwa kumfukuza na kumfilisi mwizi aliyemteua akiwa maskini ataweza kumshugulikia Bilioneo Toka falme za Kiarabu anayemiliki utajiri mkubwa kabisa duniani?
Wazawa watashirikiana na wageni kuiibia nchi kwa kiwango kikubwa na Cha kutisha Kwa sababu hakuna Tajiri anayewaza kupata hasara au kupata faida kidogo anapoona mwanya wa kupiga pesa na kupata faida kubwa zaidi.

Hivi Kagame amewezaje kuwajenga wnayarwanda kuipenda nchi yao na kuwa tayari kupora nchi jirani ili kuiendeza Rwanda kama sio kuwaadhibu wezi na hata kuwatupa gerezani wale wanaojaribu kuhujumu nchi.
Leo mkuu wa nchi anaweka tumu dhaifu wakati nchi imejaa wezi. Zaidi anawashirikisha kwenye uuzaji wa nchi na kugawana ngawira Toka Kwa wageni ndio Maana anakosa nguvu ya kuwashughulikia .

Biteko huyu sio yule wa enzi za JPM.
Ni mwingine kabisa.
Na hafai kabisa kusimamia maadili ya ndani ya serikali . Anajua wazi kuwa hafai. Na aliyemteua anajua na anajua ni kwa nini amemteua na hakumteua kwa sababu ya uadlilifu.
Wezi wanashindwa kuwasimamia wezi mana kila mmoja hamwamini mwenzake.

Tunahitaji mabadiliko ya Uongozi wa kisiasa , serikali na bunge na sio kuuza Rasilimali zetu kwa Wakoloni waliowachinja Babu zetu kama kuku ili wapore mali zetu . Leo tunawapa Tena ili wakawalimbikizie wajukuu zao Mali .
Debe tupu wewe
 
Kesho ndio siku ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa hamu na mafisadi wa nchi hii ili wauze nchi kwa warabu washibishe matumbo yao makubwa kama mapakacha ya kubebea samaki wa Ferry. Majinga haya naomba Mungu kesho atende muujiza kabla hayajauza nchi yapigwe radi iyakaushe kama kuni. Mijitu mipumbavu kama hii inayouza nchi kiqumer haifai kuishi...ni bora hata ife kwa ajali ya ndege au moto iungue ibaki majivu tupu.

Wananchi wanateseka kwa kuishi maisha maagumu wakati nchi yao inauzwa na hii michumiatumbo isiyokuwa na khaya. Haya majitu ni zaidi ya mafisi yenye njaa yanayoishi kwenye mbuga ya Serengeti.

Inauma sana. Badala ya kuuza nchi kwa warabu ni afadhali hawa majizi wangeruhusu wakoloni warudi kuitawala hii nchi. Miarabu ni mijitu ya ajabu sana haifai kabisa kuuziwa nchi isije ikatuletea ushoga katika nchi hii. Kama mbwai na iwe mbwai.
Apa ata ukibeba Uzi kutoka Zanzibar unalipia maana Uzi unaweza uweka ata mfukoni
 
Hii nchi wazungu wameipata kirahisi sana .
Walitumia akili sana kwenye Royo tua . Walitaka kuwa na uhakika wa rasilimali za asili zilizopo na ambazo ni Mali ya serikali .
Wakagundua kuwa eneo kubwa sana la nchi hii na rasilimali zake zote ni kama Mali ya Rais na anaweza kufanya chochote bila kuulizwa na yeyote . Wakagundua kuwa mkuu wa nchi ana ukaribu wa kinasaba na kiimani na waOmani kuliko Watanganyika .
Pia wakagundua kuwa mkuu wa nchi ana mamlaka makubwa kuliko mungu kwenye rasilimali na maisha ya watanganyika . Wananchi hawana nguvu juu ya Rasilimali za nchi Wala kuchagua nani wa kuzisimamia isipokua kakikundi kadogo ndani ya CCM. Ikawa rahisi kuwahonga Kwa fedha kama Yuda Askari Ote.
Pia wazungu na waarabu wamefanikiwa kuingia mikataba kama ile ya Wafaransa na Kongo kuhusu Rasilimali za asili . Wanachofanya watawala Sasa ni kama alichofanya Mabuto Seseseko na kuishi maisha ya starehe na serikali yake bila kujua kuwa anaipeleka nchi yake kwenye Giza kuu na kizazi chake na utawala wake ukapotea kabisa kwenye siasa kutokana na kuingiza taifa lake kwenye utegemezi wa nchi ya Ufaransa kusipo na rasilimali za asiili.

Wazungu wamejihakikishia kuwa Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi sana Kwa ukanda huu wa Afria mashariki.
Hawapo tayari kuona nchi inarudi Kwa Wazalendo Tena.

Huko mbeleni mtashangaa kuona CDF mwanamke , IGP mwanamke na Mkuu wa usalama mwanamke .
Lengo ni kuwa na taifa lenye watu wenye kuogopa kuifia nchi Yao dhidi ya mabeberu. Yaani tutakua na madeni kama Zambia na kuaminishwa kuwa hatuwezi kukataa masharti ya wazungu , waarabu na wachina . Hatuna budi kukubali kila wanachohitaji Kwa usalama wetu. Hayo ndiyo yanayokuja Afrika na Tanganyika yameanza kirahisi sana.

Ukiwa na serikali dhaifu , jeshi dhaifu, Polisi dhaifu na usalama wa kisiasa TU basi ni wazi kuwa hata Rwanda wataweza kuja kuwashika watanganyika Sharubu ambazo zitakua zimenyolewa na kubaki kidevu mtelezo .

Jeshi limekaa kimya bandari ikabebwa na sasa mapori yote yanachukuliwa Kwa maansalizi yanharakati za kijasusi Kwa wageni na viwanja vya ndege . Jeshi likeshindwa kumwambia ,"Mkuu pale hapana utatupa wakati mgumu sana kiulinzi na usalama". Maana yake ni nini Kila mtu anaangalia maokoto yake na familia yake.

Mwisho wake ni nini ? Ni kuwa na taifa dhaifu sana huku kila mtu akwa Hana habari na usalama wa nchi . Ikitokea Vita na nchi jirani kama ilivyo kuwa Kwa Uganda ni wazi kuwa Watanzania wengi watajificha maporini kuponya nafsi zao.
Wavamizi wakija na pesa watawanunua yamkini hata wapiganaji wetu kama Marcenary.


Watawala wajitafakari vizuri . Je,Watanganyika mil. 62 wanaii kunyanganywa ardhi bandari zao misitu Yao na madini Yao na kupewa familia ya Mfalme wa Emirate na wazungu wasiozidi mia Moja kwa kushirikiana na watawala wasiozidi elfu tatuna familia zao?
Kama huyo DG wa bandari Malaya Malaya mno, pesa anazopewa na DP world kanunulia mademu magari, range ya hamisa mobeto kanunua huyo chizi, TISS YA MWALIMU NYERERE WAS THE BEST, wa Sasa mengi yala Bata, habi habi mno, tumewekwa rehani DP world, amini usiamini wenyewe wamesha lamba asali
 
Back
Top Bottom