Kuna jamaa ali bet akashinda zawadi nzuri. Kwasababu alikua Hana akili akaanza kununua samani za Bei juu na kuponda Maraha kwa ulevi na makahaba. Mara pesa ikakatika.
Akaanza kuuza vile vitu alivyonunua kwa Bei mbaya, akaviuza kwa Bei ya kutupa ,(si Hana uchungu navyo)
Mara navyo akavimaliza.
Akaanza kuuza vile vitu alivyonunua kwa Bei mbaya, akaviuza kwa Bei ya kutupa ,(si Hana uchungu navyo)
Mara navyo akavimaliza.