Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
sijawahi kuwa mtetezi wa ccm, na mimi sio mwanaccm, lakini kwa aina ya wanachadema mlivyo, naamini pia kuwepo chadema ni kupoteza muda katika maisha. trust me, nyie ni nyumbu na mnaishi kwa matusi wala si kwa hoja.Eti na wewe ni mtetezi wa CCM mitandaoni ? Yaani CCM wamekosa watu mpaka kukupa kazi wewe kilaza? Badala ya kuwasaidia CCM unaendelea kuwadhalilisha mitandaoni
Magufuli aligundua kesi haina maana akaipotezea baada ya kugundua hakukuwa na ugaidi wowote zaidi ya Mbowe kutaka walinzi binafsi ambao walikuwa Asikari wasitaafu au ambao hawapo kazini, Lt Urio alikuwa upande wa watuhumiwa aliteswa alidhalilishwa kwa tuhuma za ugaidi hewa, Jaji awe mpya awe wa zamani tunajua hakukuwa na ugaidi wowote zaidi ya mbowe kusaka Ulinzi binafsi kwa lengo la kujilinda na hujuma tokea kwa DC Sabaya ambaye ndiyo chanzo cha kesi hii ya mchongoDPP aliyekuwa analalamikiwa ni Biswalo, alishakuwa Jaji, huyu ni mpya. inaonekana unajadili bila kuwepo kwenye ulimwengu huu. tukija kwenye hoja, print out imetolewa mahakamani, urio alikuwa anawasiliana na mbowe, unafikiri mbowe anatakiwa kuachwa tu bila kupewa nafasi atueleze nini walikuwa wanawasiliana? kuna allegations nzito zimetolewa dhidi yake, ili kujisafisha unafikiri sio muhimu prosecution walete ushahidi wote ili aidha mahakama imsafishe na kumwachia au vinginevyo? kama ni ya kubumba, sasa ile print out ya simu pale imefikaje na mitandao ya simu nayo imefabricate? na ushahidi mwingine kibao unaokuja pengine, unafikiri serikali wangekuwa wajinga kuendelea kuwangáng'ania hivyo? shida yenu mnafikiri kwa kutumia kamasi.
kwa taarifa yako, it was too early kipindi kile kufanya hivyo, na criminal case huwa haifi. wangemkamata kipindi kile cha kampeni au uchaguzi au soon after election, hata wao walijua pasingetosha, wabaya toka ulaya na wa hapahapa nchini wangetafuta sababu ili machafuko yatokee. nakushaurini subirini hadi mwisho kesi itakapoisha na kwa namna inavyofanyika kwa uwazi, watanzania wote watakuwa majaji.Magufuli aligundua kesi haina maana akaipotezea baada ya kugundua hakukuwa na ugaidi wowote zaidi ya Mbowe kutaka walinzi binafsi ambao walikuwa Asikari wasitaafu au ambao hawapo kazini, Lt Urio alikuwa upande wa watuhumiwa aliteswa alidhalilishwa kwa tuhuma za ugaidi hewa, Jaji awe mpya awe wa zamani tunajua hakukuwa na ugaidi wowote zaidi ya mbowe kusaka Ulinzi binafsi kwa lengo la kujilinda na hujuma tokea kwa DC Sabaya ambaye ndiyo chanzo cha kesi hii ya mchongo
Humu watetezi wa haki za binadamu ni watanzania wote haijalishi ni mwanachama wa chama gani hata CCM wengi hawataki kesi ya mchongo kwani wanaamini inawadhalilisha machozi pa Duniasijawahi kuwa mtetezi wa ccm, na mimi sio mwanaccm, lakini kwa aina ya wanachadema mlivyo, naamini pia kuwepo chadema ni kupoteza muda katika maisha. trust me, nyie ni nyumbu na mnaishi kwa matusi wala si kwa hoja.
Wewe mwenyewe huna Akili unawezaje kujua mwenye Akili ? Tafuta Akili kwanza acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, hujui kuwa DC Sabaya alikuwa kipenzi cha magufuli alikuwa akipata msaada wa chochote kile, endelea kuvuta Bangi ikitoka kichwani utazindukakwahiyo kumbe umesharukia kuwa DC sabaya ndio alimtengenezea mbowe hii kesi, akafabricate hadi printouts za kwenye mitandao ya simu? una akili kweli?
Humu watetezi wa haki za binadamu ni watanzania wote haijalishi ni mwanachama wa chama gani hata CCM wengi hawataki kesi ya mchongo kwani wanaamini inawadhalilisha machoni pa Dunia
unaiajae kesi ya mchongo wakati hata mashahidi hawajaletwa wote, unajuaje kama kesho wataleta mashahidi wa wazi kabisa kuthibitisha kesi? au unaita kesi ya "mchongo"kwasababu katibu wenu kasema hivyo. wenzenu wanakula hela nzuri millions na bado wanapewa hela na wazungu wanabwia, wamevimba mashavu tu, ninyi mnahangaika huku nje bila kujua wanakula kwa migongo yenu. nani atakuja kuwakomboa ninyi viumbe? mnyika ndo anazidi kuvimba mwambieni apunguze mwili umri umeenda na aache maneno ya kiswahili yanayosababisha boss wake aendelee kukaa ndani badala ya kusamehewa. ninyi mnahitaji msamaha tu, ila sio kwamba watakatifu. period.Humu watetezi wa haki za binadamu ni watanzania wote haijalishi ni mwanachama wa chama gani hata CCM wengi hawataki kesi ya mchongo kwani wanaamini inawadhalilisha machozi pa Dunia
niache bangi? hivi kuna wavuta bangi kama hilo genge lenu la kikabila?Wewe mwenyewe huna Akili unawezaje kujua mwenye Akili ? Tafuta Akili kwanza acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, hujui kuwa DC Sabaya alikuwa kipenzi cha magufuli alikuwa akipata msaada wa chochote kile, endelea kuvuta Bangi ikitoka kichwani utazinduka
Sisi wana haki za binadamu tunakuomba mrejeshee kingai na mahita pesa zao baada ya kufeli kwenye utetezi dhidi yao vinginevyo watakuja kukudai kisha wakutese kama Lt Urioniache bangi? hivi kuna wavuta bangi kama hilo genge lenu la kikabila?
nafikiri kama ni kufuta kuondoa aibu, inatakiwa ifutwe ili kuondoa aibu ya mbowe. jaji kutoa maamuzi kinyime ni kitu cha kawaida tu, wala sio kitu cha kuogopa na hapo ndio atakuwa amemsafisha mbowe na itakuwa heri kwake. shida ni kwamba mnaogopa ushahidi unaoletwa na hamjui mashahidi watakuja kusema nini kesho, na mnaona kumbe kweli mwenyekiti alikuwa anawasiliana na hao jamaa, mitandao ya simu imeleta ushahidi. tunahitaji kesi iende hadi mwisho ili ajitetee atuembie alikuwa anawasiliana nao kwa minajiri ipi, kama ni ulinzi peke au kulikuwa na kingine.Kesi hii yafaa ifutwe haraka ili kuondoa Aibu ambayo inakuja mbele endapo Jaji atakuja kutoa maamuzi ambayo yatakuwa kinyume na matarajio
kuna kitu huelewi. prosecutor ndio mwenye mamlaka ya nani ashitakiwe na nani asishitakiwe. Mahakama haina mamlaka kumlazimisha prosecutor amshitaki mtu asiye mtaka kumshitaki hata kama wewe unaona amefanya makosa, yeye prosecutor anaweza kuwa na sababu zake ambazo sio lazima akwambie. wakati wa ukamataji suspects kuna watu wengi huwa wanakamatwa, lakini upon scrutinizing evidence in the file unachambua, nani akipelekwa ushahidi wake ni mzito na nani anatakiwa asishitakiwe ila awe shahidi. mnaweza kukamatwa watu wanne, wengine kati yenu wakageuka mashahidi wako. kuwepo pamoja mahabusu hakutumiki kuamua kesi kama una kosa au la, ila ushahidi. kama Ling'wenya alisema kuwa walikuwa wote mahabusu basi chote anachokisema Urio ni cha kweli.
na wakati mwingine ili kujua kilichopo moyoni mwa mtu, watu kama hao wanaweza hata kutumwa kabisa wakunasishe, kwani pccb huwa wanafanyaje? si wanaandaa kabisa hela ya kumpa mtu uliyemwomba rushwa na hela hizo wameweka alama, ukipokea tu kwa akili yako unafikiri labda na yule aliyetoa rusha mtashitakiwa naye, kume ndio anakuwa shahidi wako. akili zenu sijui mnapelekaga wapi cdm. Tundu Lisu anawadanganya sana na amewapoteza sana kwa hasira zake dhidi ya serikali, yeye yupo ulaya anabwia wine wenzake waliopo gerezani anapigilia msumari wasitoke. na kwa taarifa yako kwa ushahidi wa aina hii, mbowe anafungwa na hata wazungu wataappreciate kwamba kweli kume kulikuwa na kitu.
kitu kikubwa ambacho chadema wanashindwa kuelewa ni kwamba, pamoja na yoote hayo, ushahidi wa jana umeanza kufumbua macho kuonyesha kuwa kumbe ni kweli mbowe alikuwa anawasiliana na hao watu, mwanga umeanza kuja sasa watu wanaelewa. ushauri ulio mzuri ilikuwa mbowe na chama chake wasijifanye wajuaji wakati wanajua kabisa wamefanya makosa, serikali ingeshawasamehe, kwani kusamehe shilingingapi?, lakini wao na kina Tundu Lisu wameamua kuidhalilisha serikali kwama mbowe hatakiwi kusamehewa kwasabau hana kosa, sasa itabidi prosecution watoe ushahidi wote kuwaonyesha kwamba alikuwa na kosa, na mwisho wa siku atafungwa kwasababu alichezea bahati. unafanya kiburi wakati huna lolote. huu ndio ukweli.
inaonyesha wazi mbowe alikuwa anaamini anaweza kuspy vyombo vya serikali kupitia watumishi wa serikali ambao sio waaminifu, bila kujua kuwa wenzake wamekula kiapo cha maisha. alikuwa negligent sana.
hata sijui unaongea nini aisee. wavuta bangi kama wewe wawe watetezi wa haki za binadamu? usichafue activists aisee. mtu huja point kabisa halafu unajiita mtetezi? unatetea nini? hujui.Sisi wana haki za binadamu tunakuomba mrejeshee kingai na mahita pesa zao baada ya kufeli kwenye utetezi dhidi yao vinginevyo watakuja kukudai kisha wakutese kama Lt Urio
ni kwasababu nimegusa kwenye mshono wako mzee. hao ndio waliowachukua akili na hamtakuja kufikiri independently hata siku moja. pole.Umeandika mboyoyo miiingi nikavumilia na hata kusoma, ila ulipotaja tu CHADEMA na Lissu nikaona nikupuuze rasmi.
Tambua kuwa kuwawasilia na ofisa wa jwtz siyo kosa kisheria, kwani anamiliki simu ya nini?hata wewe ukitaka walinzi ambao ni Asikari wasitaafu wa jwtz unaruhusiwa kuwatafuta kwa kuwauliza jwtz waliopo kazini wakusaidie kuwapata hakuna Sheria inamkataza Asikari mstaafu kusaka ajila mpya popote Dunianinafikiri kama ni kufuta kuondoa aibu, inatakiwa ifutwe ili kuondoa aibu ya mbowe. jaji kutoa maamuzi kinyime ni kitu cha kawaida tu, wala sio kitu cha kuogopa na hapo ndio atakuwa amemsafisha mbowe na itakuwa heri kwake. shida ni kwamba mnaogopa ushahidi unaoletwa na hamjui mashahidi watakuja kusema nini kesho, na mnaona kumbe kweli mwenyekiti alikuwa anawasiliana na hao jamaa, mitandao ya simu imeleta ushahidi. tunahitaji kesi iende hadi mwisho ili ajitetee atuembie alikuwa anawasiliana nao kwa minajiri ipi, kama ni ulinzi peke au kulikuwa na kingine.
Huo msamiati wa kuwaita wananchi wa Tanzania majina ya wanyama ndiyo hoja zako?Unaowadhihaki pia wanahaki ya kuwa huru kuamini na kujiunga chama wapendacho wao,unawahukumu kwa hilo?sijawahi kuwa mtetezi wa ccm, na mimi sio mwanaccm, lakini kwa aina ya wanachadema mlivyo, naamini pia kuwepo chadema ni kupoteza muda katika maisha. trust me, nyie ni nyumbu na mnaishi kwa matusi wala si kwa hoja.
I am glad unakubali kwamba mbowe aliwasiliana. shida inakuja pale yule uliyekuwa unawasiliana naye anapoeleza yale mliyokuwa mnawasiliana naye, na ushahidi umesimama kuwa mliwasiliana hadanganyi, kwa credibility hiyo wewe utatoa ushahidi gani kujinasua? na printout za voda, airtel na tigo zimeletwa. hapo utakuwa umeshaelewa kifuatacho.Tambua kuwa kuwawasilia na ofisa wa jwtz siyo kosa kisheria, kwani anamiliki simu ya nini?hata wewe ukitaka walinzi ambao ni Asikari wasitaafu wa jwtz unaruhusiwa kuwatafuta kwa kuwauliza jwtz waliopo kazini wakusaidie kuwapata hakuna Sheria inamkataza Asikari mstaafu kusaka ajila mpya popote Duniani
Huna Akili unawezaje kujua naongea nini ? Mpaka uje kuwa na Akili kwanza ndipo utajua kuwa utetezi wako ni wa kifala fala hauna mashiko ndiyo maana nilikuambia tokea awali kuwa umelewa bangi kichwani hujielewihata sijui unaongea nini aisee. wavuta bangi kama wewe wawe watetezi wa haki za binadamu? usichafue activists aisee. mtu huja point kabisa halafu unajiita mtetezi? unatetea nini? hujui.
Hapana, wapo huru kuingia chama chochote, ni uhuru. lakini nawashauri vyama vinavyoleta fujo, vyama vinavyoomba wahisani wasilete misaada, vyama vyenye ukiritimba mwenyekiti kumiliki kiti, vyama vyenye matusi, wasiingie kwasababu watapoteza muda. viongozi wao watakuwa wanakula kwa kupitia mgongo wao tu.Huo msamiati wa kuwaita wananchi wa Tanzania majina ya wanyama ndiyo hoja zako?Unaowadhihaki pia wanahaki ya kuwa huru kuamini na kujiunga chama wapendacho wao,unawahukumu kwa hilo?