Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Mzee, wewe hata nikikuambia una akili hutaelewa, na nikikuambia huna akili hautaelewa. sasa nakuacha ujidefine mwenyewe.Huna Akili unawezaje kujua naongea nini ? Mpaka uje kuwa na Akili kwanza ndipo utajua kuwa utetezi wako ni wa kifala fala hauna mashiko ndiyo maana nilikuambia tokea awali kuwa umelewa bangi kichwani hujielewi
Acha ufala kuwasilia na mtu kusaka Ulinzi wake binafsi siyo kosa, kumbuka DC Sabaya alikuwa Dikiteta ikibidi mbowe ajilinde hakuna Sheria inayomzuia mbowe kusaka Ulinzi wake binafsi hakuna Sheria inayomzuia mbowe kuwasiliana na yeyote kusaka Ulinzi wake binafsi, DC Sabaya alitengeneza kesi ya mchongo kwa kusingizia ugaidi hewa ili kumfurahisha marehemu magufuliI am glad unakubali kwamba mbowe aliwasiliana. shida inakuja pale yule uliyekuwa unawasiliana naye anapoeleza yale mliyokuwa mnawasiliana naye, na ushahidi umesimama kuwa mliwasiliana hadanganyi, kwa credibility hiyo wewe utatoa ushahidi gani kujinasua? na printout za voda, airtel na tigo zimeletwa. hapo utakuwa umeshaelewa kifuatacho.
Nenda kuvute Bangi lakini utambue kuwa kuwasilana na mtu kusaka ilinzi binafsi siyo kosa kisheriamzee, wewe hata nikikuambia una akili hutaelewa, na nikikuambia huna akili hautaelewa. sasa nakuacha ujidefine mwenyewe.
Huelewi nini aisee? nimesema shida inakuja pale wale uliokuwa unawasiliananao wanaposema haukuwa unawasiliana kwa ajili ya ulinzi tu, bali kulikuwa na njama za ugaidi pia ndani yake pamoja na mambo mengine. sasa nini huelewi hapo? akili mmetupa wapi nini? kama wale aliokuwa anawasiliana nao wanasema kulikuwa na kitu fulani, tunahitaji mashahidi wote waje ili mwenyekiti apewe nafasi ya kujitetea tusikie upande wake pia. shida yake ninyi mnaogopa mashahidi, na kama ni hivyo basi hao mashahidi wanasema ukweli. si msubiri tuone hadi mwisho? mbona tatizo dogo tu hilo kuelewa hata mtu asiyeenda shule?Acha ufala kuwasilia na mtu kusaka Ulinzi wake binafsi siyo kosa, kumbuka DC Sabaya alikuwa Dikiteta ikibidi mbowe ajilinde hakuna Sheria inayomzuia mbowe kusaka Ulinzi wake binafsi hakuna Sheria inayomzuia mbowe kuwasiliana na yeyote kusaka Ulinzi wake binafsi, DC Sabaya alitengeneza kesi ya mchongo kwa kusingizia ugaidi hewa ili kumfurahisha marehemu magufuli
Wewe kweli mwehu Le mutuz kubwa jinga ndiyo kakutuma ? Maana Akili zako ndogo kama zakehapana, wapo huru kuingia chama chochote, ni uhuru. lakini nawashauri vyama vinavyoleta fujo, vyama vinavyoomba wahisani wasilete misaada, vyama vyenye ukiritimba mwenyekiti kumiliki kiti, vyama vyenye matusi, wasiingie kwasababu watapoteza muda. viongozi wao watakuwa wanakula kwa kupitia mgongo wao tu.
Jadili kwa hoja, usijadili kama upo washroom.Wewe kweli mwehu Le mutuz kubwa jinga ndiyo kakutuma ? Maana Akili zako ndogo kama zake
Kuna kwenda shule usiwe na uelewa kama akina profesa kapuya na wenzao na kuna kwenda shule akaishia kujiona umesoma lakini matendo yako yanakuwa kama asiyesoma hata darasa mojahuelewi nini aisee? nimesema shida inakuja pale wale uliokuwa unawasiliananao wanaposema haukuwa unawasiliana kwa ajili ya ulinzi tu, bali kulikuwa na njama za ugaidi pia ndani yake pamoja na mambo mengine. sasa nini huelewi hapo? akili mmetupa wapi nini? kama wale aliokuwa anawasiliana nao wanasema kulikuwa na kitu fulani, tunahitaji mashahidi wote waje ili mwenyekiti apewe nafasi ya kujitetea tusikie upande wake pia. shida yake ninyi mnaogopa mashahidi, na kama ni hivyo basi hao mashahidi wanasema ukweli. si msubiri tuone hadi mwisho? mbona tatizo dogo tu hilo kuelewa hata mtu asiyeenda shule?
Hebu jibu hiyo hoja kwanza, naona unanipotezea muda. ongea kama mtu basi.Kuna kwenda shule usiwe na uelewa kama akina profesa kapuya na wenzao na kuna kwenda shule akaishia kujiona umesoma lakini matendo yako yanakuwa kama asiyesoma hata darasa moja
Na ukimtesa ana uwezo wa kukataa maelezo na kudai kwamba alisema alichosema ili asiendelee kuteswa.Wangekuwa wanajeshi sheria na miongozo ya watumishi wa umma hussusani jeshi ingewalinda lakini walikuwa wameshafukuzwa kwa hiyo wameteswa kama wahalifu wengine raia, Ki ukweli hairuhusiwi kabisa kumtesa mtuhumiwa kwa sababu bado hajathibitika ni mhalifu na hata ikithibitika hukumu ya mahakama ndoo adhabu ,
Ki uhalisia kwa Africa yote wanaanza kumtesa mtuhumiwa ili kama anaweza kutoa taarifa za kuwaongoza polisi kupata taarifa nyingi na ushahidi kwa sababu hatuna technolojia na resource hela ya kufanya upelelezi kwa muda mrefu na kupitia chanel nyingi , kwa hiyo shotcut mtese afunguke chap chap
Ukihitaji vituko vikubwa vya kisiasa, ishi Afrika. UsihameNdugu zangu!
Kwa wale tunaofuatilia kwa ukaribu hii kesi pendwa, tutakumbuka maelezo muhimu kutoka kwa mashahidi wa pande zote mbili.
Kwenye kesi ya msingi, tulisikia ushahidi wa ACP Kingai akimtaja Luteni Denis Urio kuwa alitumika kama mtego kwa sharti la kuripoti kila hatua.
Kwa maelezo yake, Urio alihusika 'kumtafutia' Mbowe wasaidizi aliowahitaji. Ikawa hivyo.
Hapa tulitegemea kuwa Urio 'amemchoma' kwa kuripoti mipango yake inayoitwa ya ugaidi.
Lakini kwenye ushahidi wa kesi ndogo uliotolewa na Komandoo Ling’wenya (mtuhumiwa), yeye kamtaja Urio kuwepo kwenye moja ya mahabusu za hao wanaoitwa magaidi na amemshuhudia akipitia mateso kama hao wengine.
Hii inatupa mwelekeo gani? Kwanini mtu aliyetajwa kufanikisha ukamatwaji wa magaidi naye anakula kichapo?
Urio yupo upande gani?
Japo si mmoja wa mashahidi katika hii kesi ya msingi, lakini sasa ni rasmi ameingizwa na itabidi apande kizimbani.
Ushahidi wake unaweza kutusogeza hatua nyingi kuelekea kuufahamu ukweli, tunamhitaji Luteni Denis Urio kizimbani bila kukosa.
Ncha Kali.[emoji1614][emoji276]
Hatimaye alishapanda. Kaharibu Mood ya jamhuri wiki hii.Ndugu zangu!
Kwa wale tunaofuatilia kwa ukaribu hii kesi pendwa, tutakumbuka maelezo muhimu kutoka kwa mashahidi wa pande zote mbili.
Kwenye kesi ya msingi, tulisikia ushahidi wa ACP Kingai akimtaja Luteni Denis Urio kuwa alitumika kama mtego kwa sharti la kuripoti kila hatua.
Kwa maelezo yake, Urio alihusika 'kumtafutia' Mbowe wasaidizi aliowahitaji. Ikawa hivyo.
Hapa tulitegemea kuwa Urio 'amemchoma' kwa kuripoti mipango yake inayoitwa ya ugaidi.
Lakini kwenye ushahidi wa kesi ndogo uliotolewa na Komandoo Ling’wenya (mtuhumiwa), yeye kamtaja Urio kuwepo kwenye moja ya mahabusu za hao wanaoitwa magaidi na amemshuhudia akipitia mateso kama hao wengine.
Hii inatupa mwelekeo gani? Kwanini mtu aliyetajwa kufanikisha ukamatwaji wa magaidi naye anakula kichapo?
Urio yupo upande gani?
Japo si mmoja wa mashahidi katika hii kesi ya msingi, lakini sasa ni rasmi ameingizwa na itabidi apande kizimbani.
Ushahidi wake unaweza kutusogeza hatua nyingi kuelekea kuufahamu ukweli, tunamhitaji Luteni Denis Urio kizimbani bila kukosa.
Ncha Kali.[emoji1614][emoji276]
Kaharib au katoa ushahidi uliostahili?? Au neno kuharibu limetumika hapa likiwa na maana ipi kwenye kesi??Kaharibu kweli kweli, hadi wameomba likizo siku mbili wavute pumzi.
Amekuja kutoa ushahidi, nlikuwa mkuu hapo juu, anyway tuiachie mahakama iamue inachokiona kulingana na sheria..Wewe toa mtazamo wako, mambo ya tafsiri iachie mahakama…. kwa sasa ibakie hivyo.
Kuna wasiwasi na hicho unachosema kwa kuwa tamimu alifariki mapema sana kabla yake kesi haijaanza kusilikilizwa wakati wa kukamatwaa alipigwa risasi ile ilikuwa ukweli mtupu, wanajeshi watatu wanaojulikana wafanye ugaidi, kesi hii huku ugaidi kule utakatishaji fedhaMimi ninamzungumzia aliewai kuwa CDF(Mkuu wa majeshi mstaafu) na ndio maana nimemuuliza huyo anamzungumzia yupi kama CDF mstaafu alishawai kuwa shahidi 1981 tena dhidi ya wanajeshi wenzie kina Komandoo Tamim
Trust me Urio alikuwa ndiyo main witness lakini kwa ushahidi aliutoa mahakamani prosecutors wamekuwa kwenye wakati mgumu kwani mashahidi wengi wamegoma kwenda kutoa ushahidikwa taarifa yako, it was too early kipindi kile kufanya hivyo, na criminal case huwa haifi. wangemkamata kipindi kile cha kampeni au uchaguzi au soon after election, hata wao walijua pasingetosha, wabaya toka ulaya na wa hapahapa nchini wangetafuta sababu ili machafuko yatokee. nakushaurini subirini hadi mwisho kesi itakapoisha na kwa namna inavyofanyika kwa uwazi, watanzania wote watakuwa majaji.
huwa tunawaita wakurupukaji kwasababu umeshaanza kuamua kesi kwamba hakuna ushahidi wakati hata kesi haijaisha, si usubiri mashahidi wote waletwe? kwani mnaogopa nini mashahidi wakiletwa wote, sasaivi prosecution bado hawajafunga kesi upande wao, na nakuambieni wale mawakili wenu pale wanafurahisha umati tu, hakuna wanachokifanya. ukiona mwanasheria amesifiwa na layman kwamba ndiye anajua sana, jua ni patupu, ila ukiona wanasheria wamaappreciate mwanasheria mwenzao hapo ndio uamini. ni wanasheria tu pale tunajua yapi ni makapi na ipi ni ngano. nyie ambao hamjawahi hata kuwa wanasheria ndio mmchambue ushahidi?
🤣🤣🤣ile ilikuwa kuhemewa. Yaani pumzi imebana. Hata Jaji aliwaelewaKaharibu kweli kweli, hadi wameomba likizo siku mbili wavute pumzi.
nafikiri kama ni kufuta kuondoa aibu, inatakiwa ifutwe ili kuondoa aibu ya mbowe. jaji kutoa maamuzi kinyime ni kitu cha kawaida tu, wala sio kitu cha kuogopa na hapo ndio atakuwa amemsafisha mbowe na itakuwa heri kwake. shida ni kwamba mnaogopa ushahidi unaoletwa na hamjui mashahidi watakuja kusema nini kesho, na mnaona kumbe kweli mwenyekiti alikuwa anawasiliana na hao jamaa, mitandao ya simu imeleta ushahidi. tunahitaji kesi iende hadi mwisho ili ajitetee atuembie alikuwa anawasiliana nao kwa minajiri ipi, kama ni ulinzi peke au kulikuwa na kingine.