Sema kuna ubambikiaji mzito🏋️.pingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko.
mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! kwani wanaogopa nini? siwalisema hakuna ushahidi? mbona sasa wanapapatua sana?! inamaana kuna ushahidi mzito.
Kwa hiyo wale wa upande wa wabambikiaji ndio binadamu sio?HAKUNA WAKILI UPANDEWA UTETEZI HAPO KUNA NDEZI TU WACHUMIA TUMBO
Ya.leo.ushaipata aupingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko.
mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! kwani wanaogopa nini? siwalisema hakuna ushahidi? mbona sasa wanapapatua sana?! inamaana kuna ushahidi mzito.
Kijana wa hovyo haya ushindi wa jaji kwa mtazamo wake au kuna kingineNimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano mzee wa “what is tourism ” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
ulizaliwa ktk upuuzi, unaishi ktk upuuzi na hata andika yako ni upuuzipingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko.
mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! kwani wanaogopa nini? siwalisema hakuna ushahidi? mbona sasa wanapapatua sana?! inamaana kuna ushahidi mzito.
Kwa kuwa unafuatilia hii kesi kiitikadi za kisiasa lazima uone kama hivyo, ila nikuambie tu haya yanayoendelea kwenye kesi ya Mbowe ni mwiba mbaya sana kisheria huko tuendako. Kuna msemo unaosema hivi kwenye maandiko matakatifu "Kwa maana kama wamefanya hivi kwa mti mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?”Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano mzee wa “what is tourism ” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Leten updates basi mipicha picha haina issue
Hivi huwa kuna chochote huyo Askofu huwa ana add kwa chadema?
Leten updates basi mipicha picha haina issue
Namshangaa halafu hajui maana ya “live”, Moderator tafadhali uwakanye hawa watu.
Pingamizi la mawakili wa utetezi wameshinda, Jaji ameshatowa ruling, hapokei hivyo viekelezo.Hivi huwa kuna chochote huyo Askofu huwa ana add kwa chadema?
Hii ina impact gan kwenye kesi mkuu?Pingamizi la mawakili wa utetezi wameshinda, Jaji ameshatowa ruling, hapokei hivyo viekelezo.
Impact yake ni ipi kwenye hii case mkuu?Hivyo upande wa mashtaka walipaswa kufanya taratibu za kukiomba tena lakini hakuna ushahidi kwamba upande wa mashtaka ulikiomba ili kitumike kwenye shauri hili bali kimejikuta tu mkononi mwa shahidi.
#KesiMbowe #MwananchiUpdates
Pingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko. Mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
Waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! Kwani wanaogopa nini? Si walisema hakuna ushahidi? Mbona sasa wanapapatua sana?! Ina maana kuna ushahidi mzito.
Kibatala na timu yake wameshinda,huko wapi wewe?Tunajua ni ngumu kukataliwa kwa kielelezo hicho sbb mashahidi wengi wa serikali huwa wanatengenezwa.
Kazi ipo mwaka huu