Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Wadau mtaniwia radhi kidogo kuwa nimepitwa na wakati.
Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.
Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?
Pia soma
Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.
Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?
Pia soma