Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Haina shida mkuu..fukua tujikumbushe. Ili tupaze sauti kama ni kweli kesi ilipotezewa.Unataka kufukua makaburi sasa duuuh emu tupumzike basi
Halafu uje DM
DM ndo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida mkuu..fukua tujikumbushe. Ili tupaze sauti kama ni kweli kesi ilipotezewa.Unataka kufukua makaburi sasa duuuh emu tupumzike basi
Halafu uje DM
Hata kesi ya Kapiya Foundation ya kusambaza vitabu vinavyoeneza ushoga kule Tabora nayo imekufa kifo cha mende.Hata ya afsa TRA aliyekamatwa na meno ya tembo nayoo uwezi sikia muendelezo Tena..
CCM wanajua kubebana km kanisa katolikii tu .padri analawiti na kesi hakuna anapelekwa mkoa mwingine kuendeleza alipoishia mkoa alikotokaa ..bac n vurugu tupuu
Hakuna kesi, Nawanda hajawahi kubaka wala kulawiti mtu, hiyo ni siasa za maji taka za WAZIRI ASIYE NA WIZARA MAALUMU, MKONGWE, MBUNGE NA WAZIRI KIKONGWE.Wadau mtaniwia radhi kidogo kuwa nimepitwa na wakati.
Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.
Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?
Pia soma
kesi ya waliopmoiga risasi Lissu iliishia wapi ?Wadau mtaniwia radhi kidogo kuwa nimepitwa na wakati.
Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.
Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?
Pia soma
DM ndio PM yangu ipo wazi Wewe si umeifunga unaogopa MafisiHaina shida mkuu..fukua tujikumbushe. Ili tupaze sauti kama ni kweli kesi ilipotezewa.
DM ndo wapi?
Kumbe kuna mafisi😅😅DM ndio PM yangu ipo wazi Wewe si umeifunga unaogopa Mafisi
Unamaanisha yule ambaye yupo hata Yanga?Hakuna kesi, Nawanda hajawahi kubaka wala kulawiti mtu, hiyo ni siasa za maji taka za WAZIRI ASIYE NA WIZARA MAALUMU, MKONGWE, MBUNGE NA WAZIRI KIKONGWE.
Hiyo ni baada ya Nawanda kuonesha nia ya kwenda kugombea huko UMAKONDENI.
Dawa alipewa ndo hiyo ya kuandaliwa mtego ili kuchafua IMAGE yake.
Uchaguzi mkuu ulopita Mkurugenzi mmoja wa wizara ya maji, alitaka Kwenda kugombea, akageuzwa akili sasa ni zwazwa, USIKU ANAUONA MCHANA NA MCHANA ANAUONA USIKU.
Hiyo ni kutokana na kujaribu kuchezea PUM.B....U za Mzee, ambaye gwiji lake liko MSUMBIJI.
Natoa wito mtu anayetaka jimbo hilo apate ridhaa ya BABU .
Hiyo ndo story ya RAFIKI,NA NDUGU YANGU Yahaya Nawanda.
Siasa ni ngumu sana.
Umejisumbua bure kumjibu huyo mbuzi ni chuki tu zinamsumbuaHii ya padri kulawiti ilitokea wapi na wapi? Hebu tukumbushe
Naam Naam kaka ndo mwenweweUnamaanisha yule ambaye yupo hata Yanga?
Kama ni huyo huna haja ya kuficha utambulisho wake, hawa sio wa kuwalea lea maana wanatuharibia nchi. Mkuch hajatosheka tuu ulaji?
Yalikuwa ni maigizo tupu, magereza ni ajili ya masikini pekee kwa TanzaniaWadau mtaniwia radhi kidogo kuwa nimepitwa na wakati.
Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.
Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?
Pia soma
Ni usanii tupuKesi ya DC mmoja huko DSM kuwanyanyasa wanawake na kuwaita dada poa, imefikia wapi?
Atafikishwa tu mahakamanikesi ya nyani ikisimamiwa na Ngedere inaisha kwa onyo tu.
jela miaka 30 kwa kesi kama hizo ni kwetu sisi ambao hatumo kwenye mfumo
Daaah! Wanataka kufunika!Wadau mtaniwia radhi kidogo kuwa nimepitwa na wakati.
Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.
Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?
Pia soma