Kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu anayetuhumiwa kulawiti imeishia Wapi?

Kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu anayetuhumiwa kulawiti imeishia Wapi?

Huyo yahay nawanda anaonekana alikuwa anachukiwa na baadhi ya vigogo wa polis na pia baadhi ya watu wenye fedha na madaraka hapo mkoani kwake hivyo hii kesi naona wanataka kuitumia ili wamkomoe.
 
Aliyefirwa amefuta kesi watafutane Tena wakaenjoy raha
 
La Nawanda kayatimba... Hapa Kuna vita kubwa Nawanda ni victim of circumstances!
Kwa mliosoma.Cuba, Nawanda ni kati ya vijana wa enzi za Ridhiwan ,ni kati ya vijana wa Kusini walioibuka enzi za zileeee!
 
Wadau mtaniwia radhi kidogo kuwa nimepitwa na wakati.

Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.

Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?

Pia soma
Hakukua na kesi mzee kilicho kuwa knaendelea ni uchunguzi na wachunguzi ni polisi kwa kiufupi sana hapo hakuna kinacho endelea zaidi sana ataibuka chura kiziwi atatoa pole kwa mhanga kule kwetu chuga tunaweza sema HII IMENDA KABISA
 
Wadau mtaniwia radhi kidogo kuwa nimepitwa na wakati.

Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.

Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?

Pia soma
ile kesi haijafika popote ila yule bint kaongea na media na kina heha wameingilia kati
 
Mtu anakubali kwenye media kafiwa watoto wake huko mbeleni wataishije



By the way huyu msichana ametumika ukiwa na Cmbili utagundua yupo kama yule aliyesema ni mtoto wa lowasa
 
Mtu anakubali kwenye media kafiwa watoto wake huko mbeleni wataishije



By the way huyu msichana ametumika ukiwa na Cmbili utagundua yupo kama yule aliyesema ni mtoto wa lowasa
Kafiwa au kafirwa!...huyu Binti kama Kuna watu wanatumia atajuta sana baadaye! Si mtetei Mfiraji...ila hii kitu ,huyu Binti na mama yake eangejitahidi wakae mbali media!
 
Hata ya afsa TRA aliyekamatwa na meno ya tembo nayoo uwezi sikia muendelezo Tena..

CCM wanajua kubebana km kanisa katolikii tu .padri analawiti na kesi hakuna anapelekwa mkoa mwingine kuendeleza alipoishia mkoa alikotokaa ..bac n vurugu tupuu
Inasikitisha sana
 
Hakuna kesi, Nawanda hajawahi kubaka wala kulawiti mtu, hiyo ni siasa za maji taka za WAZIRI ASIYE NA WIZARA MAALUMU, MKONGWE, MBUNGE NA WAZIRI KIKONGWE.

Hiyo ni baada ya Nawanda kuonesha nia ya kwenda kugombea huko UMAKONDENI.

Dawa alipewa ndo hiyo ya kuandaliwa mtego ili kuchafua IMAGE yake.

Uchaguzi mkuu ulopita Mkurugenzi mmoja wa wizara ya maji, alitaka Kwenda kugombea, akageuzwa akili sasa ni zwazwa, USIKU ANAUONA MCHANA NA MCHANA ANAUONA USIKU.

Hiyo ni kutokana na kujaribu kuchezea PUM.B....U za Mzee, ambaye gwiji lake liko MSUMBIJI.

Natoa wito mtu anayetaka jimbo hilo apate ridhaa ya BABU .

Hiyo ndo story ya RAFIKI,NA NDUGU YANGU Yahaya Nawanda.

Siasa ni ngumu sana.
Hivi Mzee Mkuchika yuko wapi siku hizi jamani hasikiki kabisa.
 

Attachments

  • FB_IMG_1644236040854.jpg
    FB_IMG_1644236040854.jpg
    15.8 KB · Views: 4
Hakuna kesi, Nawanda hajawahi kubaka wala kulawiti mtu, hiyo ni siasa za maji taka za WAZIRI ASIYE NA WIZARA MAALUMU, MKONGWE, MBUNGE NA WAZIRI KIKONGWE.

Hiyo ni baada ya Nawanda kuonesha nia ya kwenda kugombea huko UMAKONDENI.

Dawa alipewa ndo hiyo ya kuandaliwa mtego ili kuchafua IMAGE yake.

Uchaguzi mkuu ulopita Mkurugenzi mmoja wa wizara ya maji, alitaka Kwenda kugombea, akageuzwa akili sasa ni zwazwa, USIKU ANAUONA MCHANA NA MCHANA ANAUONA USIKU.

Hiyo ni kutokana na kujaribu kuchezea PUM.B....U za Mzee, ambaye gwiji lake liko MSUMBIJI.

Natoa wito mtu anayetaka jimbo hilo apate ridhaa ya BABU .

Hiyo ndo story ya RAFIKI,NA NDUGU YANGU Yahaya Nawanda.

Siasa ni ngumu sana.
Kama ni hivyo kwa nini wanaotaka kugombea hawaendi kwa Mwamposa??
 
Hakuna kesi, Nawanda hajawahi kubaka wala kulawiti mtu, hiyo ni siasa za maji taka za WAZIRI ASIYE NA WIZARA MAALUMU, MKONGWE, MBUNGE NA WAZIRI KIKONGWE.

Hiyo ni baada ya Nawanda kuonesha nia ya kwenda kugombea huko UMAKONDENI.

Dawa alipewa ndo hiyo ya kuandaliwa mtego ili kuchafua IMAGE yake.

Uchaguzi mkuu ulopita Mkurugenzi mmoja wa wizara ya maji, alitaka Kwenda kugombea, akageuzwa akili sasa ni zwazwa, USIKU ANAUONA MCHANA NA MCHANA ANAUONA USIKU.

Hiyo ni kutokana na kujaribu kuchezea PUM.B....U za Mzee, ambaye gwiji lake liko MSUMBIJI.

Natoa wito mtu anayetaka jimbo hilo apate ridhaa ya BABU .

Hiyo ndo story ya RAFIKI,NA NDUGU YANGU Yahaya Nawanda.

Siasa ni ngumu sana.
Huyo mzeee lzm amejaribu kuloga akashwindwa akaamua atengeneze zegwe
 
Back
Top Bottom