Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Muda utaongea...Ukute washaizima kimya kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda utaongea...Ukute washaizima kimya kimya
Atakuwa anamsalimia kwanza kwa lugha nyepesi, aliona haelewi anamjibu kwa Lugha ngumu na chunguHuyo mzeee lzm amejaribu kuloga akashwindwa akaamua atengeneze zegwe
Sio kila mmoja anaamini kwa mwamposaKama ni hivyo kwa nini wanaotaka kugombea hawaendi kwa Mwamposa??
WAZIRI KATIKA BARAZA HILIHILI LA MAWAZIRI,but ni asiye na WIZARA MAALUMU, ana kazi maalumu ambaye inafanya asiachwweHivi Mzee Mkuchika yuko wapi siku hizi jamani hasikiki kabisa.
Huyo hajatoboa, ni vile kesi yake haiendeshwi na vyombo vya habari. Watanzania mjifunze kufuatilia vitu without kutegemea vyombo vya habari , ukikwa ukategema akina wasafi media na etc wakutangazie nn kinaendelea utangoja sanaHata ya afsa TRA aliyekamatwa na meno ya tembo nayoo uwezi sikia muendelezo Tena..
CCM wanajua kubebana km kanisa katolikii tu .padri analawiti na kesi hakuna anapelekwa mkoa mwingine kuendeleza alipoishia mkoa alikotokaa ..bac n vurugu tupuu
WAZIRI KATIKA BARAZA HILIHILI LA MAWAZIRI,but ni asiye na WIZARA MAALUMU, ana kazi maalumu ambaye inafanya asiachwweHivi Mzee Mkuchika yuko wapi siku hizi jamani hasikiki kabisa.
hata wakizima kibabe hawawezi kuzima katika nafsi zao na za watu ukweli utabaki ukweli tu.Wadau mtaniwia radhi kidogo kuwa nimepitwa na wakati.
Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.
Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?
Pia soma
Hamna kesi hapa. Ni kwamba wabaya wa Yahaya Nawanda wamemutaiti. Hadithi ya tukio zima haiunganiki.Kafiwa au kafirwa!...huyu Binti kama Kuna watu wanatumia atajuta sana baadaye! Si mtetei Mfiraji...ila hii kitu ,huyu Binti na mama yake eangejitahidi wakae mbali media!
Wadau mtaniwia radhi kidogo kuwa nimepitwa na wakati.
Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.
Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?
Pia soma
Naungana nawe lakini kwanini tusiachie mahakama ikafanya kazi yake haijailishi inachelewa au inawahi!Mzee mwenzangu unaona hii ni sawa kweli?
Mambo haya ya machafu hayastahili vyeo kutumika kama kinga!
Sawa. Lakini nini kinaendelea? Au we mwenzetu unajua utujuze? Awali tulikuwa tunaripotiwa hata kesi ikitajwa lakini sasa ni kimya kabisa.Naungana nawe lakini kwanini tusiachie mahakama ikafanya kazi yake haijailishi inachelewa au inawahi!
Fact!1. Kutosikia kesi kwenye vyombo vya habari sio kama kesi hiyo haiendelei Mahakamani.
2. Unajua rekodi za Mahakama ni public records kama unataka kujua kesi IPO hatua gani? Nenda Mahakamani utajulishwa.
Kama hawaleti taarifa labda waandishi wameacha kufuatilia ila inaendelea ni kuvunja tu muda wako kupitia mahakamani kujua nini kinaendelea utapewa ushirikiano!Sawa. Lakini nini kinaendelea? Au we mwenzetu unajua utujuze? Awali tulikuwa tunaripotiwa hata kesi ikitajwa lakini sasa ni kimya kabisa.