Kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu anayetuhumiwa kulawiti imeishia Wapi?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Wadau mtaniwia radhi kidogo kuwa nimepitwa na wakati.

Niko nje ya nchi kwa muda sasa, na chanzo kikubwa cha habari ninachotegemea na kukiamini ni hapa JF, lakini sijaona habari yoyote ya muendelezo wa Kesi ya ulawiti ya kigogo mmoja huko Simiyu aliyekuwa RC zaidi ya habari za mwisho za waandishi kukamatwa.

Je, ndio ilikufa kifo cha mende au ilizimwa kibabe?

Pia soma
 
Hata ya afsa TRA aliyekamatwa na meno ya tembo nayoo uwezi sikia muendelezo Tena..

CCM wanajua kubebana km kanisa katolikii tu .padri analawiti na kesi hakuna anapelekwa mkoa mwingine kuendeleza alipoishia mkoa alikotokaa ..bac n vurugu tupuu
 
Imeisha hiyo.
 
Mambo ni mengi
 
Hata ya afsa TRA aliyekamatwa na meno ya tembo nayoo uwezi sikia muendelezo Tena..

CCM wanajua kubebana km kanisa katolikii tu .padri analawiti na kesi hakuna anapelekwa mkoa mwingine kuendeleza alipoishia mkoa alikotokaa ..bac n vurugu tupuu
Hii ya padri kulawiti ilitokea wapi na wapi? Hebu tukumbushe
 
Hizo zilikuwa figisu tu za kuchafuana. Lengo la kumtoa limetimia basi habari imeishia hapo
 
Shiiii! Jaji yuko likizo usimsumbue.
 
Hata ya afsa TRA aliyekamatwa na meno ya tembo nayoo uwezi sikia muendelezo Tena..

CCM wanajua kubebana km kanisa katolikii tu .padri analawiti na kesi hakuna anapelekwa mkoa mwingine kuendeleza alipoishia mkoa alikotokaa ..bac n vurugu tupuu
Ni kweli Kabisa...mahali pengine Ustaadh bawatoa marinda watoto wa Madras ,watu wanakaa wanayajenga yanaisha!
 
Imagine huu msala angekua nao mpinzani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…