Kesi ya Binti wa Yombo: Hati ya mashitaka imekosewa makusudi kuwaokoa watuhumiwa wa ubakaji?

Ni ujanja wa kijinga sana ule.. wanajuta sahiv mana maisha hapo yanaharibika kwa namna nyingi tu
Sio kuharibika tu kuna njemba zipo mtaani zinasubiria waachie halafu ziikosoe Serikali kua haikua sahihi hawa adhabu yao ilibidi iwe HII na sio vinginevyo sasa wawaachie waone kitakachowakuta
 
Halafu eti serikali sikivu.
 
Yote hayo ni makosa,gang rape
Ikionekana ilikuwa ni makubaliano case closed,maana kunajisi sio kosa
Binti naye atakuwanajesi yakujibu,hii kesi ni tamu sana itajenga orecedent fulani sema inafanyikachamber badala ya open court
 
Ikionekana ilikuwa ni makubaliano case closed,maana kunajisi sio kosa
Binti naye atakuwanajesi yakujibu,hii kesi ni tamu sana itajenga orecedent fulani sema inafanyikachamber badala ya open court
Kaonekana analazimishwa aombe msamaha kwa afande ,kaonekana akitukanwa matusi huku akitoshiwa kipigwa chupa ,sidhani kama kuna amelewano hayo
 
Kaonekana analazimishwa aombe msamaha kwa afande ,kaonekana akitukanwa matusi huku akitoshiwa kipigwa chupa ,sidhani kama kuna amelewano hayo
Bila huyo afande kukamatwa na kuunganishwa na watuhumiwa hamna kesi hapo,ni kama movie ya ngono tu za mitandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…