Hoja yako ni ya msingi sana,kukosea muda wa jinai kufanyika huwa inaibua k8tu kinaitwa alibi inatamkwa alabai kesi inakosa mantiki kabisaSi nshatoa sababu, kusema tukio lilitokea may.....huo wimbo waliokua wanaplay, may ulikua bado haujatoka.
Sasa kama umesema hakuna kosa la kusambaza maudhui yasiyofaa mtandaoni unaogopa nini mkuu?Unanitega bosi niseme ndio uniunganishe kwenye chain ya wasambazaji wa maudhui yasiyofaa?VIdeo imesambaa dunia nzima hakuna mtu hajaiona
Charge sheet inaruhusiwa kurekebishwa na kesi haijaisha bado iko mahakamani,think big brooSasa kama umesema hakuna kosa la kusambaza maudhui yasiyofaa mtandaoni unaogopa nini mkuu?
Kasome sheria ya Cyber crime Act na regulations zake utagundua ulichoandika ni upupu.
Hivi wanathibitishaje mahakamini kuwa ile ni bange.Sio mm mkuu niliwh kusikia mtaalam kwa sheria kayachambua haya. Na kosa dogo hapo lina miaka 7 jela ambalo ni madawa ya kulevya madogo madogo kama bange
Mm sijui mkuu.. tusubir tuone itakavyothibitika. Mana kama ni video tu.. hakuna aliyekuwepo je kama imetengenezwa na AI?Hivi wanathibitishaje mahakamini kuwa ile ni bange.
SAwa mkuu.Mm sijui mkuu.. tusubir tuone itakavyothibitika. Mana kama ni video tu.. hakuna aliyekuwepo je kama imetengenezwa na AI?
Wenzao ulaya mihchezo hii wanapata hela wao mbagala huu wanaenda kufagia ukuta jela. Wqafrika wehuSio kuharibika tu kuna njemba zipo mtaani zinasubiria waachie halafu ziikosoe Serikali kua haikua sahihi hawa adhabu yao ilibidi iwe HII na sio vinginevyo sasa wawaachie waone kitakachowakuta
Lamomy tumekuja kununua neti leo dukani kwakoSijaona nimesimuliwa mkuu, hata vidéo nilitumiwa sijaifungua kabisa na mchanga nalamba 😹
Kila biz unanipa 🤣🤣Lamomy tumekuja kununua neti leo dukani kwako
Kumbe dunia hii wewe hauijui!Wawe huru tu.wananchi tupo tunawasubiri.
Ile clip ilikera watu engine sana hata kwa
Wale waliyoiona then wakadinda....
Sina niliifuta inatia simanzi haifurahishiDuh hii ndiyo shida ya kutokuiona video.
Nitumie pm basi best!
Hata kwenye Ile tovuti kipenzi Kwa wanachama WA chaputa ipo. Ila jaji atakwambia ushaidi aujitoshelezi.Unanitega bosi niseme ndio uniunganishe kwenye chain ya wasambazaji wa maudhui yasiyofaa?VIdeo imesambaa dunia nzima hakuna mtu hajaiona
Hivi under 18 mbona haitamkwi,kalikua na miaka mingapi kale 🙄Pale kuna kosa kama 4
Ubakaji
Ulawiti
Kusambaza picha zenye maudhui yasioyofaa
Matumizi ya madawa ya kulevya
Wataalam wq masuala ya kijamii wana kitu kinaitwa "Crimes in the name of honour"
Ulevi huleta uzembe na kujisahau kwa baadhi ya watu mixer kupuuza Mambo ya msingi wengine HAWAJAWAI ku husler kabisa ndio wanajisahaugi kabisa.Ni ujanja wa kijinga sana ule.. wanajuta sahiv mana maisha hapo yanaharibika kwa namna nyingi tu
Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni,kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu,Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu,.....Porn stars😇 hakuna kesi hapo
Mwisho wa siku .....ngoja tuone