Kesi ya Dr. Slaa inaendelea Mahakamani bila yeye kuwepo

Kesi ya Dr. Slaa inaendelea Mahakamani bila yeye kuwepo

Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
IMG-20241206-WA0083(1).jpg
 
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!

---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).

Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Hakimu ana akili kweli?
 
Huyu mzee udini unasumbua, badala ya kuletea vitukuu kinahangaika mitandaoni.
Wewe upumbavu wa udini ndio umekujaa, anejanatwa kwa sababu ya matamko yake ya kisiasa siyo ya kidini, mjinga wewe ushawahi kumtuhumu ndiye aliyetia mkataba wa kanisa na serikali na ukashindwa kuonyesha how.

Mjinga wa udini ni wewe
 
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!

---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).

Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Watu wana dharau sana
 
Nafurahi anayopitia Dr slaa Kwa Sasa,
Utawala WA jiwe alikua na ngebe Sana
 
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!

---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).

Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Wasije wakawa washamdhuru mahabusi kama walivyomfanyia Mdude
 
Nani kakwambia haijawahi kuwepo? Kuna mazingira Kesi inaweza kuendelea bila ya wewe kuwepo na ukahukumiwa na siku ukikamatwa ni moja kwa moja jela
 
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!

---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).

Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

kwaajili ya usalama wake huyo mzee msaliti, mzushi na mnafiki sana, inafaa abakizwe korokoroni hadi baada ya uchaguzi wa chadema, lakini pia baada ya pasaka itapendeza zaidi 🐒
 
Wewe upumbavu wa udini ndio umekujaa, anejanatwa kwa sababu ya matamko yake ya kisiasa siyo ya kidini, mjinga wewe ushawahi kumtuhumu ndiye aliyetia mkataba wa kanisa na serikali na ukashindwa kuonyesha how.

Mjinga wa udini ni wewe
Mkataba hujaona? Mkapa kimya, kikwete kajifanya mpinza, Magufuli kawa balozi, Samia huyo mdomo mdomo, mdini huyu hilo halina ubishi
 
Back
Top Bottom