Kesi ya Dr. Slaa inaendelea Mahakamani bila yeye kuwepo

Kesi ya Dr. Slaa inaendelea Mahakamani bila yeye kuwepo

Ungekuwa na uwezo bwa kiakili mzuri, usingeuliza swali la KIJINGA namna hiyo!!!
Watu wengine nmmejaza MBOJI na Samadi Upstairs 🤔🤔🤔🚴🤣🚴🚴🚴
Kwa lugha nyepesi ni kuwa kichwa kimejaa Mavi au mimi ndio sijaelewa vizuri...? 😅
 
Mkataba hujaona? Mkapa kimya, kikwete kajifanya mpinza, Magufuli kawa balozi, Samia huyo mdomo mdomo, mdini huyu hilo halina ubishi
Wewe mpuuzi na ndiyo unasumbuliwa na Udini. Slaa na Mkapa walikuwa hawaelewani na Mkapa ndiyo alimfanya Slaa ahamie CDM kwa sababu aliengua ubunge Kiteto.

Kwani wewe unaona JK alifanya mambo mazuri? Hii nchi iligeuzwa Kiwanda cha madawa ya kulevya na waTanzania wakafungiwa Visa duniani kote, Hong Kong, Australia, Brazil. Hong kong wafungwa 400 na wengine kuuawa China. Yote hayo alisababisha JK.

Ubalozi wa Swden alipewa baada ya kujitoa CDM kwa sababu ya Mwamba kumleta Lowasa, akahamia Canada akawa muuza duka.

Sasa huyu Bi ushungi wenu atataka kuiba kura, na atasababisha vita, kwa kuwa hamna mtu atakayekubali kuibiwa kura, hii ukae ukijua.
 
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!

---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).

Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Samia ni katili kuliko Magufuli
 
Wewe mpuuzi na ndiyo unasumbuliwa na Udini. Slaa na Mkapa walikuwa hawaelewani na Mkapa ndiyo alimfanya Slaa ahamie CDM kwa sababu aliengua ubunge Kiteto.

Kwani wewe unaona JK alifanya mambo mazuri? Hii nchi iligeuzwa Kiwanda cha madawa ya kulevya na waTanzania wakafungiwa Visa duniani kote, Hong Kong, Australia, Brazil. Hong kong wafungwa 400 na wengine kuuawa China. Yote hayo alisababisha JK.

Ubalozi wa Swden alipewa baada ya kujitoa CDM kwa sababu ya Mwamba kumleta Lowasa, akahamia Canada akawa muuza duka.

Sasa huyu Bi ushungi wenu atataka kuiba kura, na atasababisha vita, kwa kuwa hamna mtu atakayekubali kuibiwa kura, hii ukae ukijua.
Huwezi kutetea udini wa huyu mzee. Baada ya kufanya toba uzee ushamuingia anadanyanya watu. Utawala uliopita alisifu kupindukia
 
Umri ule hauwezi kuhimili misukosuko suko, he may be sick
 
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!

---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).

Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Ni EX-PARTE hiyo ni jambo la kawaida Sana kwenye Sheria sio jambo geni
 
Sasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
Mengine tunajizuia sana kuandika wallah but the truth is, "hi nchi ina wajinga wengi sana yaani, huwezi kuamini hadi wanaojua kutumia simu janja wapo wajinga pia"
Hivi jukumu la kumpeleka mahakamani mtuhumiwa ambaye amezuiwa kupewa dhamana hua ni la nani?
 
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!

---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).

Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Maybe we want something else rather than world record
 
Kwa lugha nyepesi ni kuwa kichwa kimejaa Mavi au mimi ndio sijaelewa vizuri...? 😅
Naam, MAVI, mkuu 😃😃😃, wamasai wanaita MAFII umepatia nilikuwa natumia tafsda, hongera kwa kuielewa code!!🤣🤣🤣🚴🚴
 
Back
Top Bottom