kadendu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 645
- 496
kuna watu amdinywi vizuriSasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna watu amdinywi vizuriSasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
Baada ya kuhongwa ubalozi, alikua anajizima data sanaAlifanyaje?
Kwa lugha nyepesi ni kuwa kichwa kimejaa Mavi au mimi ndio sijaelewa vizuri...? 😅Ungekuwa na uwezo bwa kiakili mzuri, usingeuliza swali la KIJINGA namna hiyo!!!
Watu wengine nmmejaza MBOJI na Samadi Upstairs 🤔🤔🤔🚴🤣🚴🚴🚴
U miongoni mwa maiti zinazotembea mbwa weweAnamawakili.
Wewe mpuuzi na ndiyo unasumbuliwa na Udini. Slaa na Mkapa walikuwa hawaelewani na Mkapa ndiyo alimfanya Slaa ahamie CDM kwa sababu aliengua ubunge Kiteto.Mkataba hujaona? Mkapa kimya, kikwete kajifanya mpinza, Magufuli kawa balozi, Samia huyo mdomo mdomo, mdini huyu hilo halina ubishi
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!
---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).
Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Huwezi kutetea udini wa huyu mzee. Baada ya kufanya toba uzee ushamuingia anadanyanya watu. Utawala uliopita alisifu kupindukiaWewe mpuuzi na ndiyo unasumbuliwa na Udini. Slaa na Mkapa walikuwa hawaelewani na Mkapa ndiyo alimfanya Slaa ahamie CDM kwa sababu aliengua ubunge Kiteto.
Kwani wewe unaona JK alifanya mambo mazuri? Hii nchi iligeuzwa Kiwanda cha madawa ya kulevya na waTanzania wakafungiwa Visa duniani kote, Hong Kong, Australia, Brazil. Hong kong wafungwa 400 na wengine kuuawa China. Yote hayo alisababisha JK.
Ubalozi wa Swden alipewa baada ya kujitoa CDM kwa sababu ya Mwamba kumleta Lowasa, akahamia Canada akawa muuza duka.
Sasa huyu Bi ushungi wenu atataka kuiba kura, na atasababisha vita, kwa kuwa hamna mtu atakayekubali kuibiwa kura, hii ukae ukijua.
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!
---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).
Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Mengine tunajizuia sana kuandika wallah but the truth is, "hi nchi ina wajinga wengi sana yaani, huwezi kuamini hadi wanaojua kutumia simu janja wapo wajinga pia"Sasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
Wewe unaamini dini? Mie naamini kuna Mungu lakini siamini dini; dini ni uongo uongo tu; ila Mungu yupo. Mimi simkosei mtu.Huwezi kutetea udini wa huyu mzee. Baada ya kufanya toba uzee ushamuingia anadanyanya watu. Utawala uliopita alisifu kupindukia
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!
---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).
Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Slaa acha anyooshwe kidogo,mtu mzima,padre huwezi kuwa roporopo vileHii nchi ina ujinga mwingi sana unaofanywa na watu wenye dhamana ya kulinda na pia kuzisimamia haki za raia.
Mnataka sampuli ya Mashehe ubwaubwa wa kusifia sifia uozo na rushwa serikalini...Slaa acha anyooshwe kidogo,mtu mzima,padre huwezi kuwa roporopo vile
Unaongea kama umevuliwa Nguo!Sasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
Ubwaubwa ndiyo nini wewe makalio!?..kwa umri na hadhi ya slaa hakupaswa kuwa mropokajiMnataka sampuli ya Mashehe ubwaubwa wa kusifia sifia uozo na rushwa serikalini...
Rushwa ya ubwabwaUbwaubwa ndiyo nini wewe makalio!?..kwa umri na hadhi ya slaa hakupaswa kuwa mropokaji
Alipewa nani,wapi,lini?.. unaongea kama zezeta,mi nilimuona kitima akipiga matonge ya ubwabwaRushwa ya ubwabwa
Dhamana ya Dr. Slaa inashughulikiwa atatoka tu.Alipewa nani,wapi,lini?.. unaongea kama zezeta,mi nilimuona kitima akipiga matonge ya ubwabwa
Naam, MAVI, mkuu 😃😃😃, wamasai wanaita MAFII umepatia nilikuwa natumia tafsda, hongera kwa kuielewa code!!🤣🤣🤣🚴🚴Kwa lugha nyepesi ni kuwa kichwa kimejaa Mavi au mimi ndio sijaelewa vizuri...? 😅