gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Atarudi tena,mpaka ajifunze kufumba domo mtu mzimaDhamana ya Dr. Slaa inashughulikiwa atatoka tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atarudi tena,mpaka ajifunze kufumba domo mtu mzimaDhamana ya Dr. Slaa inashughulikiwa atatoka tu.
Tuichaie Mahakama kama haitaendeshwa na maagizo kutoka juu, lakini so far kuna dalili zunaonyesha hilo la kuziingilia Mahakama.Atarudi tena,mpaka ajifunze kufumba domo mtu mzima
anafikah mahakan wkt kashikwa na hao hao wanaomshitak , wanamshitak ila hawatak aje kujib mashtakaSasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
hlf yote anafanya,kwa ajili ya wajinga km ww , ila mtu mweus kuna namn hamkuwekewa akili , picha linaanza mlizikataa hata dini pili mkawata viongoz wenu kisha leo mnaukata hata uhuru wenuAtarudi tena,mpaka ajifunze kufumba domo mtu mzima
Kilaza weweSasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
huyo jamaa yako ni hohoUmekurupuka kujibu au? Hujui slaa yuko wapi, toka lini na nani anatakiwa kumpeleka mahakamani?
Sasa wewe mtu anaitwa Mdude unategemea awe na akili kweli.Jina linaumba jameni.YAANI MDUDE KILA KITU NI RAIS YAANI UNAONESHA NI KIASI GANI HUNA AKILI NDIYO MAANA HATA CHADEMA HUWAGA HAWANA MPANGO NA WEWE ILA UNAJIPENDEKEZA TU YAANIHUJULIKANI UKO UPANDE GANI CHA AJABU HAPO NI NINI SASA
Hahahaha watu mna mambo aisee. 😅Naam, MAVI, mkuu 😃😃😃, wamasai wanaita MAFII umepatia nilikuwa natumia tafsda, hongera kwa kuielewa code!!🤣🤣🤣🚴🚴
Kama hujui kitu uwe unakaa kimya sio unakurupuka kama kasongoSasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
Kama mtuhumiwa aligoma kwenda mahakamani? Ama alitoa ruhusa ya uwakilishi je? Mahakamani hakuna wajinga wa kuendesha kesi tu ilimradi. Muwe mnaweka habari kamili, sio hujamuona tu slaa mahakamin basi inakuwa habari.Mengine tunajizuia sana kuandika wallah but the truth is, "hi nchi ina wajinga wengi sana yaani, huwezi kuamini hadi wanaojua kutumia simu janja wapo wajinga pia"
Hivi jukumu la kumpeleka mahakamani mtuhumiwa ambaye amezuiwa kupewa dhamana hua ni la nani?
Ananifanyia mimi nini wewe bumunda!?..kashindwa kuvumilia ngono akaacha upadre,akaenda kwenye siasa apate ugali wake, akaenda ccm kahongwa ubalozi,anachonifanyia mimi kitu gani!?..nahitaji nini!?hlf yote anafanya,kwa ajili ya wajinga km ww , ila mtu mweus kuna namn hamkuwekewa akili , picha linaanza mlizikataa hata dini pili mkawata viongoz wenu kisha leo mnaukata hata uhuru wenu
Yaani serikali kuu isiingilie mahakama!?..kwa hili la huyu waingilie kwelikweli, hatuwezi kuwa na taifa la wazee waongoTuichaie Mahakama kama haitaendeshwa na maagizo kutoka juu lakini so far kuna dalili zunaonyesha hilo la kuziingilia Mahakama.
Kosa analotuhumiwa Dr. Slaa lina DHAMANA Slaa hajaua mtu.
Mzee Slaa ana sources zake anazoziamini ndizo zilizompa taarifa na tuiachie Mahakama kusema Dr.Slaa kasema uongo na wewe kuja KUMHUKUMU humu JF sio uungwana.Yaani serikali kuu isiingilie mahakama!?..kwa hili la huyu waingilie kwelikweli, hatuwezi kuwa na taifa la wazee waongo
umbwa nyie mnajifanya nchi ya mama zenu hiiAtarudi tena,mpaka ajifunze kufumba domo mtu mzima
Atazitaja hizo tomato sauce,au laa aendelee kunyea debeMzee Slaa ana sources zake anazoziamini ndizo zilizompa taarifa na tuiachie Mahakama kusema Dr.Slaa kasema uongo na wewe kuja KUMHUKUMU humu JF sio uungwana.
Wanaume huwa hawaogopi kunyea Debe.Atazitaja hizo tomato sauce,au laa aendelee kunyea debe
mkuu mbona unamchukia huyu mzee alikudinya bila malipo nini?Ananifanyia mimi nini wewe bumunda!?..kashindwa kuvumilia ngono akaacha upadre,akaenda kwenye siasa apate ugali wake, akaenda ccm kahongwa ubalozi,anachonifanyia mimi kitu gani!?..nahitaji nini!?
jinga tu hilo mbona lenyewe alisemi ukweli uko wapi uwenda liligongwa bila kupewa kodi ya kitanda na huyo mzee kwahiyo lina chuki naeMzee Slaa ana sources zake anazoziamini ndizo zilizompa taarifa na tuiachie Mahakama kusema Dr.Slaa kasema uongo na wewe kuja KUMHUKUMU humu JF sio uungwana.