milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Ninashauri kesi ihairishwe hadi 15 February,2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na mawakili hutakiwi kuwepo wakati wa kesi?.Anamawakili.
Namchukia kivipi!?..nachoshangaa ni bumunda moja kudai slaa ananipambania mimimkuu mbona unamchukia huyu mzee alikudinya bila malipo nini?
Ukiwa nje keyboard warriors ndo msemavyoWanaume huwa hawaogopi kunyea Debe.
Bado naendelea kusisitiza tu; kiwango cha UJINGA nchini kinatisha mno, ni ngumu sana kupambana na majirani zetu kwa akili hizi; hizo assumption zako kama ni za kweli, imekuaje mawakili wa serikali wasijue? Askari magereza waliokuwepo hapo je?Kama mtuhumiwa aligoma kwenda mahakamani? Ama alitoa ruhusa ya uwakilishi je? Mahakamani hakuna wajinga wa kuendesha kesi tu ilimradi. Muwe mnaweka habari kamili, sio hujamuona tu slaa mahakamin basi inakuwa habari.
kwahiyo Mungu hausiki na dini we matyako kwelikweliWewe unaamini dini? Mie naamini kuna Mungu lakini siamini dini; dini ni uongo uongo tu; ila Mungu yupo. Mimi simkosei mtu.
Wamuache aozee jela, na dawa sake za sukari na presha wasimpeHii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!
---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).
Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"
https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1
Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Siyo lazima kila post kukurupuka tu kuweka comments. Wakati mwingine kusoma post na kuwa mtulivu ni ukomavu wa akili na fikra.Anamawakili.