Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hizi bangi zinazojibu, kawekwa ndani magereza na kanyimwa dhamana na mahakama halafu leo mahakama haina taarifa. Tatizo la kujibu baada ya kusoma heading na mihemkoSasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
Huyo juhaKwa hiyo kwenye kesi ya Mbowe ya Ugaidi , mawakili wake ndiyo walikuwa wakimpeleka Mahakamani?
Hakimu ana akili kweli?Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!
---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).
Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Ni aheri ungenyamaza, ingesaidia kuficha ujinga wako.Sasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
Wewe upumbavu wa udini ndio umekujaa, anejanatwa kwa sababu ya matamko yake ya kisiasa siyo ya kidini, mjinga wewe ushawahi kumtuhumu ndiye aliyetia mkataba wa kanisa na serikali na ukashindwa kuonyesha how.Huyu mzee udini unasumbua, badala ya kuletea vitukuu kinahangaika mitandaoni.
Weee naye hata hujui unaandika nn ni vzur ujue stor yenyew ulivyo ndo unadandi gar sasaSasa kama hufiki mahakamani na hakuna taarifa unataka wafanye nini?
Watu wana dharau sanaHii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!
---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).
Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Wasije wakawa washamdhuru mahabusi kama walivyomfanyia MdudeHii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!
---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).
Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Hii imeshangaza zaidiCha ajabu ni nini hapo? Huyo mdude mwenyewe ameshakuwa na kesi kibao ambazo mwishowe huishia kuachiliwa na kuwa huru , namshangaa anaposhangaa hili kiwezekana kwa hapa bongo.
Alifanyaje?Nafurahi anayopitia Dr slaa Kwa Sasa,
Utawala WA jiwe alikua na ngebe Sana
πππUkiona hivyo ujue haya kijana
1. Sarakasi
2. Kiki
3. Mchoro
4. Upofu
kwaajili ya usalama wake huyo mzee msaliti, mzushi na mnafiki sana, inafaa abakizwe korokoroni hadi baada ya uchaguzi wa chadema, lakini pia baada ya pasaka itapendeza zaidi πHii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!
---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).
Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1878721492923371937/photo/1Soma: Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Haiingii akiliniπππ
Mkataba hujaona? Mkapa kimya, kikwete kajifanya mpinza, Magufuli kawa balozi, Samia huyo mdomo mdomo, mdini huyu hilo halina ubishiWewe upumbavu wa udini ndio umekujaa, anejanatwa kwa sababu ya matamko yake ya kisiasa siyo ya kidini, mjinga wewe ushawahi kumtuhumu ndiye aliyetia mkataba wa kanisa na serikali na ukashindwa kuonyesha how.
Mjinga wa udini ni wewe
Jina limekaa vizuri Sultan mbowe bin king'ang'aniziMfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3200647