Kesi ya Elizabeth Michael (Lulu), Mke wa Dk. Slaa ahitajika kufika mahakamani kutoa ushahidi

Nimezoea kuona kesi za watu maarufu kupigwa kalenda mara kwa mara, pengine husikilizwa siku moja tu kisha kupigwa kalenda.... Lakini hii ya lulu karibu wiki Sasa inasikilizwa
usipofuatilia mambo mengi yanayohusu nchi yako..utashindwa kuelewa mengi tu yanayotukia.
na pia hii kesi imeanza alhamis ilopita ya tar 19.
 
Kiiiruuuuu!! Haka katoto mambo yanaweza kubalika masikini kakaenda kule "chuo cha mafunzo ya kurekebisha tabia", halafu hii kesi mbona inaenda mbio sana au kwa kuwa zingine sikuwa nazifuatilia?!
 
Mke wa Padre Slaa anaitwa Josephine na siyo Jacquline, hawa ni watu wawili tofauti.
 
maraa paaaaaaaaaaaaaaap na Dr. anakuja Tanzania "kumsindikiza my wife wake" maana anajua akija peke yake kuna wakora humu wanaweza "kumchapia"
 
Daah... kumbe Kibatala anajali hela tuu sio haki. Bongo muvi yetu imekuwa km mwathirika wa UKIMWI alokosa dawa za kupunguza makali kwa sababu ya Lulu. Kuanzia leo simuheshimu tena Kibatala
 
Daah... kumbe Kibatala anajali hela tuu sio haki. Bongo muvi yetu imekuwa km mwathirika wa UKIMWI alokosa dawa za kupunguza makali kwa sababu ya Lulu. Kuanzia leo simuheshimu tena Kibatala
Anasimamia haki ya mtuhumiwa.
Hata kama akikutwa na hatia lakini haki zake za msingi na kila mtuhumiwa ana haki ya kutetewa.
Watu mna mahaba hadi yanafunika reasoning.
Yani hiki mnacholalamika hapa hakina tofauti na viongozi wa serikali kusema mawakili wawekwe ndani kisa wameenda polisi kutetea wale inaowatuhumu na kuamini ni waharifu wakiwemo wanasiasa waliokamatwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…