balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Kiba kafanya nini tena?Daah... kumbe Kibatala anajali hela tuu sio haki. Bongo muvi yetu imekuwa km mwathirika wa UKIMWI alokosa dawa za kupunguza makali kwa sababu ya Lulu. Kuanzia leo simuheshimu tena Kibatala