Kesi ya Halima Mdee na wenzake, vigogo waliogushi nyaraka wote kuanikwa

Kesi ya Halima Mdee na wenzake, vigogo waliogushi nyaraka wote kuanikwa

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Gazeti la Raia Mwema limeandika kuwa kesi iliyofunguliwa na kina Mdee na wenzake 18 itafungua boksi ambalo limeficha siri kubwa la ‘vigogo’ waliohusika na sakata zima la wabunge 19 wa viti maalumu waliokuwa wanachama wa Chadema.

Gazeti hilo linasema mchakato mzima unaihusisha Ikulu, vigogo kutoka Tume ya Uchaguzi akiwemo Mkurugenzi wa NEC Mahera, vigogo kutoka Bunge akiwemo Spika na katibu wa bunge, vigogo kutoka ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa.

Kwa upande wa Chadema wao wanasema wamefurahi kesi hii kufunguliwa kwa sababu wanazo nyaraka za kutosha watakazoziwasilisha mahakamani na kwa umma ambazo zitaishangaza dunia, wanaujua mchezo wote nani alihusika nani aliandaa hayo majina 19, nani aliandika removal order ya Nusrat na nani yuko nyuma yao kwa sasa. Kikosi cha mawakili wa chama kiko tayari kitawaanika wote waliohusika kwa vile wao kama chama hawana cha kupoteza.

Kwa habari zaidi soma gazeti la leo la Raia Mwema.

F49404DB-2A4D-47E2-8D86-223798370F63.jpeg
 
Good hii itasaidia sn kujua uovu wa CCM
Kosa kubwa katika kudhibiti uhalifu ni kutuhumu kundi badala ya watenda kosa.
CCM nzima haiwezi kutenda uhalifu.
Asilimia kubwa ya wanachama wa CCM ni raia wema na wazalendo, ila yawezekana kuna wahalifu hutumia kama kichaka cha kujificha.
 
Gazeti la Raia Mwema limeandika kuwa kesi iliyofunguliwa na kina Mdee na wenzake 18 itafungua boksi ambalo limeficha siri kubwa la ‘vigogo’ waliohusika na sakata zima la wabunge 19 wa viti maalumu waliokuwa wanachama wa Chadema.

Gazeti hilo linasema mchakato mzima unaihusisha Ikulu, vigogo kutoka Tume ya Uchaguzi akiwemo Mkurugenzi wa NEC Mahera, vigogo kutoka Bunge akiwemo Spika na katibu wa bunge, vigogo kutoka ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa.

Kwa upande wa Chadema wao wanasema wamefurahi kesi hii kufunguliwa kwa sababu wanazo nyaraka za kutosha watakazoziwasilisha mahakamani na kwa umma ambazo zitaishangaza dunia, wanaujua mchezo wote nani alihusika nani aliandaa hayo majina 19, nani aliandika removal order ya Nusrat na nani yuko nyuma yao kwa sasa. Kikosi cha mawakili wa chama kiko tayari kitawaanika wote waliohusika kwa vile wao kama chama hawana cha kupoteza.

Kwa habari zaidi soma gazeti la leo la Raia Mwema.

View attachment 2228860
Wameyataka wenyewe,kisa chote kitawekwa wazi na kumbukumbu hii itawasumbua wengi kwa maisha yao yote.Tunywe mtori kwa kuamini kuwa nyama zipo chini.
 
Gazeti la Raia Mwema limeandika kuwa kesi iliyofunguliwa na kina Mdee na wenzake 18 itafungua boksi ambalo limeficha siri kubwa la ‘vigogo’ waliohusika na sakata zima la wabunge 19 wa viti maalumu waliokuwa wanachama wa Chadema.

Gazeti hilo linasema mchakato mzima unaihusisha Ikulu, vigogo kutoka Tume ya Uchaguzi akiwemo Mkurugenzi wa NEC Mahera, vigogo kutoka Bunge akiwemo Spika na katibu wa bunge, vigogo kutoka ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa.

Kwa upande wa Chadema wao wanasema wamefurahi kesi hii kufunguliwa kwa sababu wanazo nyaraka za kutosha watakazoziwasilisha mahakamani na kwa umma ambazo zitaishangaza dunia, wanaujua mchezo wote nani alihusika nani aliandaa hayo majina 19, nani aliandika removal order ya Nusrat na nani yuko nyuma yao kwa sasa. Kikosi cha mawakili wa chama kiko tayari kitawaanika wote waliohusika kwa vile wao kama chama hawana cha kupoteza.

Kwa habari zaidi soma gazeti la leo la Raia Mwema.

View attachment 2228860
Siku za mwizi ni 40..
Muda wa WAHUNi kuanikwa hadharani umewadia😊
 
Hizo nyaraka zilizoghushiwa wanazo basi? Kwa jinsi ambavyo wanapenda kutrend wangekuwa wameshashitaki zamani sana.
Kama huna uwezo wa kumpiga mtu kwa vile anakuzidi nguvu msubiri aanze mwenyewe kukupiga ili ulie kwa sauti watu wakusaidie. Sijui kama umenielewa.
 
Back
Top Bottom