Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Akili yako haina akili, au ni makusudi ya kufurahisha kijiwe tu. Fuatilia kesi utelewa kichwa ngimu, mtu wa hovyo.Ingekuwa kuna nyaraka imeghushiwa si wangeshitakiwa zamani sana😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako haina akili, au ni makusudi ya kufurahisha kijiwe tu. Fuatilia kesi utelewa kichwa ngimu, mtu wa hovyo.Ingekuwa kuna nyaraka imeghushiwa si wangeshitakiwa zamani sana😁
Kesi za kisiasa hazina harakaHizo nyaraka zilizoghushiwa wanazo basi? Kwa jinsi ambavyo wanapenda kutrend wangekuwa wameshashitaki zamani sana.
Hii kesi itapigwa tarehe na ikifika 2024 wanaiondoa mahakamani. Hapo Kuna mchezo was kuzima hii mara. Tatizoo kusimama mahakamani. Tutasomeana magazeti na tarehe.
Kwa niaba ya viongozi nitaifikisha heshima yako.Hatari sana .....CHADEMA shikamoo
Pamoja KAMANDA!!!!!Kwa niaba ya viongozi nitaifikisha heshima yako.
CHADEMA tupo, tulikuepo na tutendelea kuwepo.
Tutakilinda chama chetu kwa wivu mkubwa mno.
Mdee na wahasi wenzie ni mali ya CCM, tunakataa kulishwa HARAMU.✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽
Mbona unajulikana.Good hii itasaidia sn kujua uovu wa CCM
Si zaidi mkuuMbona unajulikana.
Atabanwa maswali na KibatalaMkuu unahisi atatapika nyongo yaani ataisaliti CCM?
Pengine wa Chadema/chadomoGood hii itasaidia sn kujua uovu wa CCM
Dingi akoPengine wa Chadema/chadomo
Aiseeeh..Fomu bado anayo katibu na hajajazwa majina ili irudishwe tume, fomu ya Covid-19 sijui waliipata wapi! Nani alisaini, msajili wa tume ya uchaguzi aliipokeaje na kuifanyia kazi, licha ya taarifa kuwa chadema haiusiki na kupatikana Covid-19.
Basi endeleeni kusubiri mpaka pale jambo litakapofikia mahali pake (namaanisha 2025 au 2030)Huwezi kushitaki wakati jambo halijafika mahali pake.
Haya tusubiri mpaka 2025.Kesi za kisiasa hazina haraka
Safari hii mahakama itailazimisha Tume kuileta hiyo orodha, watajua hawajui.
nani awashtaki kama wao ndio kila kitu kwa maana ya mahakama, polisi, DPP, AG na serikali yenyewe. Wao wenyewe wameamua kujivua nguo maana joto limepamba moto sana... liwalo na liwe, isidingo the need njoo haraka sana... tumemiss update za mahakama kwa kweli...Ingekuwa kuna nyaraka imeghushiwa si wangeshitakiwa zamani sana😁
Kesi itachukuwa muda sanahii maana inaonekana ningumu sana.Gazeti la Raia Mwema limeandika kuwa kesi iliyofunguliwa na kina Mdee na wenzake 18 itafungua boksi ambalo limeficha siri kubwa la ‘vigogo’ waliohusika na sakata zima la wabunge 19 wa viti maalumu waliokuwa wanachama wa Chadema.
Gazeti hilo linasema mchakato mzima unaihusisha Ikulu, vigogo kutoka Tume ya Uchaguzi akiwemo Mkurugenzi wa NEC Mahera, vigogo kutoka Bunge akiwemo Spika na katibu wa bunge, vigogo kutoka ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa.
Kwa upande wa Chadema wao wanasema wamefurahi kesi hii kufunguliwa kwa sababu wanazo nyaraka za kutosha watakazoziwasilisha mahakamani na kwa umma ambazo zitaishangaza dunia, wanaujua mchezo wote nani alihusika nani aliandaa hayo majina 19, nani aliandika removal order ya Nusrat na nani yuko nyuma yao kwa sasa. Kikosi cha mawakili wa chama kiko tayari kitawaanika wote waliohusika kwa vile wao kama chama hawana cha kupoteza.
Kwa habari zaidi soma gazeti la leo la Raia Mwema.
View attachment 2228860