Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
sasa matukano na jazba ya nini? Ya Ngoswe tumwachie Ngoswe. mahakama itaamua kwa haki.Alishindwa kutoa ya kwake usoni USO kama batiki ndio atoe ya watu wengine
Huyu ni shahidi wa lulu,upande wa utetezi.hatuwezi jua coz why ametumika kama shaidi na c mama kanumba
MD mchezo! Si ungemuona Muhimbili au kwingineko anatupa vidonge. Walewale wajasiriamali wa siku hizi.Sijaelewa hapo inamaana dada mshumbuzi ni daktari MD?,au
Nami nashangaaa aisee,marehemu anakandamizwaJosephine udakitari kausomea wapi ? Hahaha hahaha eti hadi ubongo moyo, chuo gani kasomea huyu Josephine ?
Huyo Josephine toka lini kawa Dr?Sumu, upungufu wa hewa kwenye ubongo, akili kichoka, maumivu ya moyo. Fantastic. Lulu keshasave hapa.
Eti alivyompangia siku ya kwenda kutibiwa tu akasikia amefariki looolllKuna ushahidi upi kuwa kweli kanumba alikwenda kutibiwa kwa Josephine ?
Kina Kibatala watakamatia hapohapo. How about baada ya "ugomvi" wa kurushiana maneno, marehemu aliishiwa nguvu na kuanguka chini? Inaweza isiwe established kama alisukumwa au alianguka mwenyewe baada ya kupandwa na hasira. Ukishakufa bana, makosa yote wanakurundikia.Siyo kirahisi hivyo mkuu,kwani wangapi wanamatatizo hayo lakini bado wako hai? Lazima cause of death iwe established, matatizo yangeweza kuwa sababu kama angekutwa kafa kitandani,huyu alikufa baada ya kutokea ugomvi..
Ngoja aulizwe kama na yeye ana vyeti kama akina Mwaka..Huyo Josephine toka lini kawa Dr?
Lulu alimsukuma akatae akubali ,,ukweli tena ukute kalimpiga na kitu kichwani hako ,,we alivyokufa kanumba ,akafa komba,akafa seth tena siku ya birthday yake luluKina Kibatala watakamatia hapohapo. How about baada ya "ugomvi" wa kurushiana maneno, marehemu aliishiwa nguvu na kuanguka chini? Inaweza isiwe established kama alisukumwa ali alianguka mwenyewe baada ya kupandwa na hasira. Ukishakufa bana, makosa yote wanakurundikia.
mahakamani ni pakuogopa anytime unaweza ukashushiwa mvua ya kutosha ukabak unatoa machoHuyu ni shahidi wa lulu,upande wa utetezi.
Mwenyewe nimeshangaa mara ya mwisho miaka ya 1999 hadi early 2000 akiwa kigoma kwenye mashirika ya wakimbizi hakua na proffesional hiyo labda tumuulize january makamba waliekua nae kasulu atueleze kama kweli ni daktariJosephine udakitari kausomea wapi ? Hahaha hahaha eti hadi ubongo moyo, chuo gani kasomea huyu Josephine ?
Sumu waliipima vipi?utaconfirmEti alivyompangia siku ya kwenda kutibiwa tu akasikia amefariki looolll
Ndo tuseme kua alipo teleza kipind anamfukuza lulu ndo sumu ikamuuaMbona kama ushahidi uliosomwa upo mbali na Kesi hii? Nilitegemea ushahidi uwe ni wa daktari aliyefanya uchunguzi wa postmortem,ili aje na analysis yake kwa kutuambia kifo cha Kanumba hasa kilisababishwa na kitu gani....kisha mahakama ndio ihusishe ni kwa namna gani chanzo cha kifo hicho kinaweza kumuunganisha au kumuungua Lulu na kosa hili la kuua bila kukusudia.
Kwa maoni yangu huyu mama hakuwa material witness kwenye hii kesi hasa kwa upande wa mashtaka...at least angekuwa ameletwa na upande wa utetezi kidogo tungesema Lulu yupo katika harakati za kuibua shaka katika kesi hii as far as the cause of death is concerned.
Alafu Wakili akazuia msomaji wa maelezo asihojiwe sababu sio yeye aliyesema!Kibatala namuaminia ila hapa kama karusha ngumi ovyo kuleta ushahidi wa vipimo vya kitabibu vilivyofanywa na mtu asiyekua hata na certificate ya lab attendantSumu ipi, kila Sumu Ina Jina lake, mambo yawekwe kisomi, Sumu fulani katika kiwango fulani mwilin.
Naona km hayo maelezo hayajitoshelezi
Kibatala ndio shahidi wake atamkamata vipi?Kina Kibatala watakamatia hapohapo. How about baada ya "ugomvi" wa kurushiana maneno, marehemu aliishiwa nguvu na kuanguka chini? Inaweza isiwe established kama alisukumwa au alianguka mwenyewe baada ya kupandwa na hasira. Ukishakufa bana, makosa yote wanakurundikia.
Kiukweli hapo hakuna reliable info. Kuhusu kilichokua kinamsibu marehemu maana hayo ya sumu aliambiwa na marehemu siku ambayo alipanga kuonana nae alikua na watu wengi kwahyo hakufanya hata vipimo vyovyote kubaini iyo sumuAlafu Wakili akazuia msomaji wa maelezo asihojiwe sababu sio yeye aliyesema!Kibatala namuaminia ila hapa kama karusha ngumi ovyo kuleta ushahidi wa vipimo vya kitabibu vilivyofanywa na mtu asiyekua hata na certificate ya lab attendant
Kwani upande wa kanumba nani anamhoji lulu maswali?ndio lumanyika au mwingineSumu waliipima vipi?utaconfirm
Vipi kuna Tatizo kwenye ubongo bila kuscan?