Kesi ya Lulu: Mke wa Dr. Slaa asema Kanumba alikuwa na sumu mwilini, upungufu wa hewa na maumivu kwenye ubongo

Kesi ya Lulu: Mke wa Dr. Slaa asema Kanumba alikuwa na sumu mwilini, upungufu wa hewa na maumivu kwenye ubongo

Huyu ndo wakukamatwa awe mfano wa hawa matapeli wa afya. Sumu gani haziwaui wanakufa na matatizo mengine.
What if tiba ya sumu ndo sumu.
 
Habari,

Kesi ya mauaji bila kukusudia inaendelea sasa hivi Mahakama Kuu, Kanda ya Dar. Upande wa utetezi unaendelea kutoa ushahidi ambapo leo ni Mke wa Dr. Slaa mama Mushumbusi ambaye alikuwa ni daktari wa Marehemu anatoa ushahidi ambao utasomwa na Askari Polisi aliyemsimamia wakati anaandika maelezo.

Updates...

Josephine Mushumbusi,

Mmoja ya wateja wangu, marehemu Steven Kanumba kwa mara ya kwanza alikuja kwangu mwaka 2011 kwa ajili ya kutoa sumu mwilini.

Marehemu alikuwa na matatizo ya damu, upungufu wa hewa kwenye ubongo, alikuwa anasikia maumivu ktk ubongo na akili kuchoka.
Kwa ushahidi huu na utetezi wa lulu mwenyewe huyu mtoto anaweza kuepukana na adhabu ya jela
 
Mbona kama ushahidi uliosomwa upo mbali na Kesi hii? Nilitegemea ushahidi uwe ni wa daktari aliyefanya uchunguzi wa postmortem,ili aje na analysis yake kwa kutuambia kifo cha Kanumba hasa kilisababishwa na kitu gani....kisha mahakama ndio ihusishe ni kwa namna gani chanzo cha kifo hicho kinaweza kumuunganisha au kumuungua Lulu na kosa hili la kuua bila kukusudia.

Kwa maoni yangu huyu mama hakuwa material witness kwenye hii kesi hasa kwa upande wa mashtaka...at least angekuwa ameletwa na upande wa utetezi kidogo tungesema Lulu yupo katika harakati za kuibua shaka katika kesi hii as far as the cause of death is concerned.
 
Kwa maoni yangu huyu mama hakuwa material witness kwenye hii kesi hasa kwa upande wa mashtaka...at least angekuwa ameletwa na upande wa utetezi kidogo tungesema Lulu yupo katika harakati za kuibua shaka katika kesi hii as far as the cause of death is concerned.

Mkuu siku nyingine usidandie gari kwa mbele, soma kwanza post za nyuma na "current news"
 
Habari,
View attachment 616692
Elizabeth Michael akiwa na Marehemu Steven Kanumba
Kesi ya mauaji bila kukusudia inaendelea sasa hivi Mahakama Kuu, Kanda ya Dar. Upande wa utetezi unaendelea kutoa ushahidi ambapo leo ni Mke wa Dr. Slaa mama Mushumbusi ambaye alikuwa ni daktari wa Marehemu anatoa ushahidi ambao utasomwa na Askari Polisi aliyemsimamia wakati anaandika maelezo.

.....................Updates.......................

Ushahidi wa Josephine Mushumbusi unasomwa na Detective Sergeant Nengea

Mmoja ya wateja wangu, marehemu Steven Kanumba kwa mara ya kwanza alikuja kwangu mwaka 2011 kwa ajili ya kutoa sumu mwilini.

Marehemu alikuwa na matatizo ya damu, upungufu wa hewa kwenye ubongo, alikuwa anasikia maumivu ktk ubongo na akili kuchoka.

Baada ya Detective Sergeant Nengea kumaliza kusoma ushahidi, Jaji amesema kuwa Detective Sergeant Nengea hawezi kuulizwa swali lolote kwa kuwa yeye alikuwa anasoma ushahidi wa mtu ambaye uliandikwa na sio yeye ndio alikuwa shahidi.

Baada ya upande wa utetezi kufunga ushahidi wao, Mahakama Kuu kesho itasikiliza maoni ya Baraza la wazee kuamua kama Lulu ana hatia au lah.
Shomile yupo kazini... Hahaha dah kumbe had mm naweza nikawa na misumu?
 
Mbona kama ushahidi uliosomwa upo mbali na Kesi hii? Nilitegemea ushahidi uwe ni wa daktari aliyefanya uchunguzi wa postmortem,ili aje na analysis yake kwa kutuambia kifo cha Kanumba hasa kilisababishwa na kitu gani....kisha mahakama ndio ihusishe ni kwa namna gani chanzo cha kifo hicho kinaweza kumuunganisha au kumuungua Lulu na kosa hili la kuua bila kukusudia.

Kwa maoni yangu huyu mama hakuwa material witness kwenye hii kesi hasa kwa upande wa mashtaka...at least angekuwa ameletwa na upande wa utetezi kidogo tungesema Lulu yupo katika harakati za kuibua shaka katika kesi hii as far as the cause of death is concerned.
historia ya afya ya marehemu ni muhinu sana na uyu asingeitoa wala kukubalika kama siyo muhimu mbona mama ake kanumba hajatoa ushaidi
tusubiri tuone mahakama unasemaje ila niulizieni uyu mke wa dr slaa ni Dr au nurse by profesional
 
Mkuu siku nyingine usidandie gari kwa mbele, soma kwanza post za nyuma na "current news"
hahahahaaa,sawa mkuu...nilisoma ila nahisi nili overlook some of information...nashukuru kwa kunirudisha kwenye track!

Ushahidi huu unaweza kuibua shaka kidogo hususani ukiwa utaenda na report ya postmoterm juu ya sababu ya kifo...vyenginevo inaweza kuhisiwa Maza Mushumbusi ni shahidi wa kupanga tu..ili kuokoa jahazi
 
Sio mtaalamu wa tiba lakini najua binadamu tunatembea na sumu mwilini, nadhani kuna namna ya kutoa sumu hizo kwa kitaalamu. Nikitulia nitatolea ufafanuzi kwa msaada wa Google.
Wanatoa kimiujiza sana,niliwahi kuifanya Tabata.Unaingia kwenye mashine ya masaji ulmaliza kuna mashine nyingine wanaifunga kidude flan kinaingia kwenye container la maji unatia miguu kwenye maji maji yajaa rangi ya uchafu wanadai hyo ndo sumu.
 
Back
Top Bottom