Nani aliwaweka huko?Katika moja ya matendo maovu na kuvunja kaki za binadamu yaliyokuwa yanafanywa na utawala wa huko nyuma ni Haya, Yaani mtu unateswa na kupewa kifungo hata kabla mahakama haijakuhukumu, HILI NI KOSA KUBWA SANA NA KWA MAUMIVU WALIYOYAPATA HAWA, MUNGU AWEZA TOA HUKUMU MBAYA KWA WALIOSABABISHA MATESO HAYA, FIKIRIA RUMANDE MIAKA 8, HII HAIPO MAHALI POPOTE DUNIANI HATA GUANTANAMO BAY YA MAREKANI HAIJAIFIKIA
Nani aliwaweka huko?
Bwanaako anafanya kazi mahakama kuu nn kakumegea hukumu
Sawa watatoka lakini huyu rais atakuwa rais pekee aliyeiua Tanzania!Mpende musipende watatoka tu
Kwahiyo wao waliwamwagia kindikali watu wasiokuwa na hatia ni sawa mkuu??Katika moja ya matendo maovu na kuvunja kaki za binadamu yaliyokuwa yanafanywa na utawala wa huko nyuma ni Haya, Yaani mtu unateswa na kupewa kifungo hata kabla mahakama haijakuhukumu, HILI NI KOSA KUBWA SANA NA KWA MAUMIVU WALIYOYAPATA HAWA, MUNGU AWEZA TOA HUKUMU MBAYA KWA WALIOSABABISHA MATESO HAYA, FIKIRIA RUMANDE MIAKA 8, HII HAIPO MAHALI POPOTE DUNIANI HATA GUANTANAMO BAY YA MAREKANI HAIJAIFIKIA
Tanzania hakuna ugaidi, na hakujawai tokea matendo ya kigaidi, vyombo vya ulinzi vipo makini, na kingine asili ya watanzania ni waoga na wanyenyekevu, hao masheikh issue yao walikuwa wanapinga muungano, na serikali imeapa kuulinda muungano kwa namna yoyote ile
Nenda high Court peleka uho ushaidi kwa jamuhuri, mnatamani uislamu usingekuwepo nadhaniKupigwa risasi mapadri,kuchoma makanisa na kumwagiwa watu tindikali yale matukio mbona yalisizi baada ya masheikh kukamatwa?
Akili hizo ameondoka nazo jamaa!!sasa hivi utaanza kuona kila mtu anatumia akili zake, bila kumuogopa alijyejiita Mungu mtu!!kama wana hatia wanyongeni kabisa.Hawa ni magaidi wasitolewe huko kabisa! Ni watu hatari kwa muungano!.Hakuna Rais yupo tayari Tanzania imfie mikononi MWAKE! Hao kutoka huko sio Leo wala kesho!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo J.M.Kikwete na A.M.Shein waliowakamata Hawa Masheikh hawakuwa wanaujua Uislam?Umeongea kwa chuki sana ndugu yangu pole sana si mda mrefu Mashekh watakuwepo ulaini Dua yao Mwenyezi Mungu ameisikia kile kizingiti kikubwa kabisa Allah amekiondoa na amemleta mwenye huruma anayejua maana ya Uisilamu
Ndio napumuliwa kwa mbele na mama yakouna pumuliwa.
You guy dont know ndia maana walifungwa na waislamEti! Haya wamekusikia
Kwa nini tusiiachie Sheria ifuate mkondo wake?Hawa ni magaidi wasitolewe huko kabisa! Ni watu hatari kwa muungano!.Hakuna Rais yupo tayari Tanzania imfie mikononi MWAKE! Hao kutoka huko sio Leo wala kesho!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hawa ni MAGAIDI
kwasababu:-
•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji
•Waliuwa Watalii watatu Mombasa
•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar
•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi
•Walipishana mpaka na Waislam wenzao
•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu
Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.
Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Malawi, Somalia n.k
Magaidi Matupu.
Umeongea kwa chuki sana ndugu yangu pole sana si mda mrefu Mashekh watakuwepo ulaini Dua yao Mwenyezi Mungu ameisikia kile kizingiti kikubwa kabisa Allah amekiondoa na amemleta mwenye huruma anayejua maana ya Uisilamu
Hilo swali wanalikwepa sana, hawataki kulijibu.Nani aliwaweka huko?
Huo sio Ugaidi, kama ni hiyo kashfa bado hata haijawafikia akina Sheikh Mazinde na Ilunga (Mungu awahukumu).Mbona Gwajima alitukana waisilamu na nyumba zao za ibada,alichukuliwa hatua gani