Maswali kutoka kwa wakili wa serikali
=> Wakili wa Serikali = Wewe na Kanumba mlianza mahusiano kwa muda gani?
= "KWA MIEZI MINNE" - Lulu
=> Wakili wa Serikali "Inamaana Kanumba alikukimbiza na taulo mpk nje halikuanguka?"
= Jibu "NDIO ALINIKIMBIZA AKIWA PEKU NA TAULO" - Lulu
Sawa mkuu wewe ndo nani? Au we ndo chenpamoja na yote..kale katoto ni katamu,...nimekalamba sana ..Mungu amsaidie
Ukitumika sn ndio madhara yake!!UzoefuHeee!2012 lulu alikuwa under 18?mbona anaonekana mkubwa yule
Majaji ndio zaoAna na kesi ya 'kugonga' mtu nini?
Kweli mkuuMaelezo ya Lulu yamenyooka sana. Yuko vzuri. Kanumba katangulia, alale pema.
UK-UKONGAOk. Kumbe upo UK
[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Au ikawa kingi shoga, ikafungiwa.
Maswali mengine ni magumi kujibu mkuu...Je mtu unayempenda unaweza kumkimbiza na panga?
Huwez kuwa na leseni halali mpaka uwe na miaka kuanzia kumi na nane kwahyo jaji alikuwa anaestablish taratibu suala LA umri wake wakat anafanya tukio,sheria is very tricky mamaAna na kesi ya 'kugonga' mtu nini?
Alikuwa anaweka rekodi ya umri sawaAna na kesi ya 'kugonga' mtu nini?
Jaji Hana mipaka ktk kutaka kuelewa kitu ili afikie maamuz sahihiAisee! Lakini naona kama hayo maswali yalipaswa yaulizwe na Wakili wa JAMHURI, badala ya judges!
Mkuu, hiyo wanasheria wanaiita cross examination. Wanajaribu ku kudiscredit ushahidi wake wote alioutoa. Kwenye cross examination hua hawaulizi maswali yanayohusiana na kesi.
Nilitegemea maswali kama hayo kuulizwa na waendesha mashitaka wa serikali na sio hakimu au jaji.
Hii itawastua waendesha mashitaka wa serikali, hakimu kawapa point ya kupiga. Watammaliza.
Tatzo vitamu [emoji3][emoji3]hata uwe na kibamia[emoji3][emoji3]Tuachage kuvilala vitoto jamani, vinaleta laana...loh!
Kwan kes yake Sasa hv ni kuua kwa kukusudia?Wana kampeni ya justice for kanumba,
Ni kwel kwamba mnaamini lulu aliua kwa kukusudia ama ni hisia hasi kwa bi mdada !??coz so far hakuna anaejua nn kimetokea
Ili amjibie maswal ya jaji?Wakili alikua wapi ?
Mpendwa tumbo la uzazi likojejapo nilikuwa sikapendi kalulu yaani leo tumbo la uzazi limenishika haswa.EE mwenyezi Mungu naomba umsaidie huyu mtoto asifungwe.please father wewe ni mwingi wa huruma na REHEMA
Mkuu kuna wajumbe wamekariri vitu Fulani vichwani mwao...aka..wamemezeshwa sumu Kali .na ndio matarajio yao makubwa vinginevyo watatakka uchunguzi zaidi hadi matarajio yao yatimie!!;[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama sehemu ipi alipojichqnganya mkuu?