KESI YA MAUAJI: Utetezi wa Elizabeth Michael (Lulu) ndani ya mahakama kuu


Naona yule wakili wa Serikali Kesi ya Petrorious(SA) anafaa hapa!
 

Kama ni hivyo, wanampa grounds za ku appeal kwamba hakimu alikuwa biased kwa kuanza kuuliza maswali ya waendesha mashitaka.
 
Kama namuona anavyomkimbiza na panga huku kavaa taulo! Kumbe nae alikuwa kama Jengua?! R.I.P stivini.
 
Kama sehemu ipi alipojichqnganya mkuu?
Mkuu kuna wajumbe wamekariri vitu Fulani vichwani mwao...aka..wamemezeshwa sumu Kali .na ndio matarajio yao makubwa vinginevyo watatakka uchunguzi zaidi hadi matarajio yao yatimie!!;[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…