Hapana, hakimu anaweza kumuuliza mtu swali lolote na wakati wowote, hakimu anaweza kukataa swali au akamodify swali wakati wowote.
Mambo ya kisheria ya ajabu sana mkuu. Hapo hakimu hajatenda kosa lolote, sema ndio hivyo ameuliza swali litakalowapa waendesha mashitaka red light ili wao nao wapuge hapo hapo kummaliza kabisa.
Ukijichanganya tu kwenye cross examination, maelezo yako yote uliyotoa yanaweza kua discredited na ukajikuta kwenye matatizo hasa kama wewe ndie mwenye kesi, ikiwa ni shahidi basi ushahidi wake unatupiliwa mbali kabisa.
Natamani hata nikapate ka certificate ka sheria aisee. Sheria tam sana.