KESI YA MAUAJI: Utetezi wa Elizabeth Michael (Lulu) ndani ya mahakama kuu

Mwanasheria wa utetezi kama anajua utetezi anaweza kukubali kwamba Lulu aliendesha bila leseni au alikuw ana leseni ya mazabe (kama kweli ilikuwa hivyo) kwa sababu ni bora kuwa na kesi ya kuendesha bila leseni kuliko kesi ya mauaji.
 
Hawezi kufungwa huyo, atahukumiwa kwenda jela miaka kadhaa au kutoa fidia ya hela kiasi flani, kesi inaishia hapo........
Ikitokea ni kifungo au faini, i guess atatoka kwasababu majjizo ana hela mingi, hvy atamlipia.
 
Sioni uhusiano wa Lulu kujichanganya kuhusu leseni ya kuendesha gari na kifo cha Kanumba.

Sioni ni kivipi kujichanganya huko kuhusu leseni kutaathiri matokeo ya hiyo kesi.
Mkuu, lazima waestablish mazingira kabla ya tukio. Hivyo lazima aulizwe mazingira ya awali kabla ya tukio, kama kuonana na marehemu, milonana wapi, mlikutana vipi, ilikua sehemu gani nk nk.

Hivyo katika maelezo hayo Lulu atakua amesema labda aliitwa na marehemu au alipugiwa simu na marehemu aende kwake. Ataulizwa, aliendaje, kwa miguu au boda boda au taxi au daladala, akisema taxi, ataulizwa anamkumbuka dereva aliempeleka au hamkumbuki, je huyo dereva alimfaham kabla au alimuona siku hiyo.

Sasa yeye alisema alienda na gari yake akiwa anaendesha, hapo akazua jambo jipya, je alikua na leseni, je leseni aliiapata kiuhalali, alipataje leseni huku alikua na umri wa chini ya miaka 17 au alidanganya polisi ili apewe leseni, kudanganya polisi ni kosa kisheria.

Hayo maswali na mengine mengi yanahusiana kabosa na kesi hiyo ya Lulu.
 

Hilo swali sioni umuhimu wala uhusiano wake na kesi.

Kwanza sidhani kama ni swali sahihi kwa jaji kuuliza. Labda kama lingeulizwa na upande wa mashitaka.

Ni swali lililo prejudicial!
 
Mwanasheria wa utetezi kama anajuautetezianaweza kukubali kwamba Lulu aliendesha bila leseniaualikuw ana leseni ya mazabe (kama kweli ilikuwa hivyo) kwa sababu ni bora kuwa na kesi ya kuendesha bila leseni kuliko kesi ya mauaji.
Hahaaaa, kweli, bora kesi ya kuendesha gari bila leseni kuliko ga mauaji.

Hii kesi ili itamgharimu sana Lulu, lazima apate wanasheria wazuri na wenye uzoefu ili wamchomoe, hao wanahitaji mpunga mrefu sana.
 
japo wananchi wenzangu mnashangilia huyu binti kufungwa, me niko against na nyie, ingawa hata sio fan wake,lakini namhurumia sana,jela sio sehemu nzuri kabisa,mimi niliwahi kukaa lock up masaa kadhaa tu,mpaka leo nina adabu zote...tuombe Mungu tu mahakama ionyeshe huruma zake tuendelee kuwa nae uraiani..maana kesi yenyewe imemkalia vibaya,halafu marafiki zake nao ni kama wamemtenga vile..dah!namhurumia sana kiukweli
 
alivaa taulo huenda alotoka bafuni miguu majimaji na ile kikimbiza ili hali ulo na nyege aisee utapiga mweleka na kuamkia ahera soku ya kiama kama alivyofanya marehemu bado anaserereka huko ahera akisubiri parapanda!
Umenichekesha sana mkuu...
 
Binti hana makosa,itakuwa kanumba pombe ilikuwa inamshinda na ndo ilimfanya ale mweleka mkali bila hata kupata akili ya kuokoa kichwa kisigote sakafu wakati anadondoka
 
Mkuu njoo,mi napiga llb open mwaka wa pili
 
Seth anatakiwa akamatwe kwa kuacha uovu wa kanumba kutembea na under 18..!
 
Aiseee Mungu amsaidie, yaaan mi niliumia tuuu niliposikia Kanumba mbaba mzima anatembea na hako katoto
 
Learned brodas n sisters hakuna zwazwa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…