Hapana huyo jamaa kadai kwa kinywa chake kwamba yuko uk alaf jana alikuwa analalamika kupigwa na ffu ukonga mombasawe nae mbon mbeaaaaaaaaaa!
ahahahahahhaha mwenzako anasemea tu tofauti ya huku na kule
ukoje lakin?
hahahahhahahhaha we hujawajua vizur baadhi ya member wa jf !Hapana huyo jamaa kadai kwa kinywa chake kwamba yuko uk alaf jana alikuwa analalamika kupigwa na ffu ukonga mombasa
"Marehem hana HAKI"Maelezo ya Lulu yamenyooka sana. Yuko vzuri. Kanumba katangulia, alale pema.
Si aseme alitengenezewa na marehemu mpenzi wake na akamwambia asiogope atapatw shida. A establish kuwa alikuwa na akili za kitotoalisema alikuwa hajatimiza miaka 18 wakati huo! lazima aulizwe aliendeshaje gari bila leseni! na kama alikuwa na leseni aliipataje wakati alikuwa hajatimiza 18.......
Marehemu huwa hashitakiwiHuyo marehemu ana kesi ya kujibu kwa kumlala mtoto mdogo
Hivi joanah wewe upo kwenye, namaanisha age ya Lulu au Maimartha wa jesse?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Au 18..mi tangu nianze kumuona lulu nilikuwa primary
Tangu primary hadi hivi muda huu ni miaka mingi
Haha,hiyo Uk ni Ukonga huwa tunapaita hivo bamutu ba Darisalaaamuhahahahhahahhaha we hujawajua vizur baadhi ya member wa jf !
Mods iv mimi shagawakosea kitu gan kwanini mumeungamisha uzi wangu wakati uzi umekuwepo toka janaAman iwe nanyi wapendwa
Niko hapa mahakaman nikifatilia kwa karibu hii kes ya lulu
Moja ya vitu vinavyoniacha hoi ni maswali ya majaji wa hapa mahakam
Jaji lumanyika anaonekana kumukazia sana lulu tofaut na majaji wengine nahis huyu jaji atakuwa msukuma
Kamtwanga swali lulu kuhusu lesen ya gar lulu kasema alikuwa na lesen kipindi hicho
Akamurudia tena ieleze mahakama kama lesen yako ilikuwa halal, lulu akajichanganya akasema sikuwa na lesen
Mtanange bado unaendelea
Kwa kes ninanyoiona lulu lazima ale miala si chin ya kumi na tano
Bado niko hapa makaman mazee
LONDON BABY
Hyo kesi ataenda kujibu mbele ya haki.Huyo marehemu ana kesi ya kujibu kwa kumlala mtoto mdogo
Haki iko mahakamani mkuu,marehemu atafika lini?Hyo kesi ataenda kujibu mbele ya haki.
Kabla ya janga, alikuwa anasema she's above 18 ili kuhalalisha aliyokuwa anafanya including suala la kupigwa chini kipindi cha Watoto Wetu (ITV) kwamba tayari alishakuwa mtu mzima!!! Alipokumbwa na janga, akabadili gia angani na kusema yupo Under 18 ili kukwepa kitanzi!!!
All in all, I feel sorry for her kwa sababu naamini ile ilikuwa ni ajali!! Kwa kuangalia umbo la Kanumba na Lulu wa wakati ule, it's obvious Lulu alikuwa anajitetea kwa kumsukuma Kanumba na hapo akaenda kujibamiza ukutani!!!
Na vile vile naamini ndugu zake walimchelewesha kumpeleka hospital kwa hofu ya kuogopa scandal... huenda hawakufahamu kwamba aliumia sana vinginevyo sioni busara iliyomfanya mdogo wake Kanumba kwenda kumfuata the so called daktari wa familia badala ya kumkimbiza Kanumba hospitali moja kwa moja!!!
Nenda kamshitaki huko alikoHuyo marehemu ana kesi ya kujibu kwa kumlala mtoto mdogo
Mkuu kwahiyo unataka kusema tangu 2012 hadi leo amerefuka cm ngapi? si yuko vile vile kama kuongezeka ni kidogo sana tena ni cm chache tu kama sio 3 ni 4we lulu alivo mfupi tu sa hiz mwaka 2012 alikuwa hata anafika kwenye pa kukanyaga mafuta kweli
Mkuu rekebisha hapo umeandika wanakuoaKwanini mods mnanionea sana jana nimetoa uz wa arusha nao pia mkaunganisha kama hamtak mimi niendelee kuwa jf si mnambie
kwanini mnanioa mods
Mahakamani hakuna haki, haki ipo akheraHaki iko mahakamani mkuu,marehemu atafika lini?
Kukumbuzi,ng'ombe nk tunaowala kila siku nao watapata haki ahera?Mahakamani hakuna haki, haki ipo akhera
Hao ni viumbe na waliumbwa ili tuwale sisi binadamu, tumeamrishwa kula wanyama, matunda na mimea. Na ndio maana kuna siku ya hukumu hiyo iko maalum kwa ajili ya viumbe kama binadamu lakini sio kwa viumbe kama hao kuku, mbuzi wala ng'ombeKukumbuzi,ng'ombe nk tunaowala kila siku nao watapata haki ahera?