KESI YA MAUAJI: Utetezi wa Elizabeth Michael (Lulu) ndani ya mahakama kuu

KESI YA MAUAJI: Utetezi wa Elizabeth Michael (Lulu) ndani ya mahakama kuu

we nae mbon mbeaaaaaaaaaa!
ahahahahahhaha mwenzako anasemea tu tofauti ya huku na kule
ukoje lakin?
Hapana huyo jamaa kadai kwa kinywa chake kwamba yuko uk alaf jana alikuwa analalamika kupigwa na ffu ukonga mombasa
 
Maswali ya mahakamani yako very technical sana.

Unaweza kulidharau swali na kuliona halihusiani na kesi yako, kumbe linaprove mambo makubwa na linaweza kukutia ndani
 
alisema alikuwa hajatimiza miaka 18 wakati huo! lazima aulizwe aliendeshaje gari bila leseni! na kama alikuwa na leseni aliipataje wakati alikuwa hajatimiza 18.......
Si aseme alitengenezewa na marehemu mpenzi wake na akamwambia asiogope atapatw shida. A establish kuwa alikuwa na akili za kitoto
 
Au 18..mi tangu nianze kumuona lulu nilikuwa primary

Tangu primary hadi hivi muda huu ni miaka mingi
Hivi joanah wewe upo kwenye, namaanisha age ya Lulu au Maimartha wa jesse?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Niko hapa mahakaman nikifatilia kwa karibu hii kes ya lulu

Moja ya vitu vinavyoniacha hoi ni maswali ya majaji wa hapa mahakam

Jaji lumanyika anaonekana kumukazia sana lulu tofaut na majaji wengine nahis huyu jaji atakuwa msukuma

Kamtwanga swali lulu kuhusu lesen ya gar lulu kasema alikuwa na lesen kipindi hicho

Akamurudia tena ieleze mahakama kama lesen yako ilikuwa halal, lulu akajichanganya akasema sikuwa na lesen

Mtanange bado unaendelea

Kwa kes ninanyoiona lulu lazima ale miala si chin ya kumi na tano

Bado niko hapa makaman mazee

LONDON BABY
Mods iv mimi shagawakosea kitu gan kwanini mumeungamisha uzi wangu wakati uzi umekuwepo toka jana

Kwahiyo nyie kila uz unaohusiana na lulu mnaunganisha

Nishaga wakosea kitu gan?

Naomba mnambie kwanini mnaonekana kunandama sana pasipo sababu za maana

Ina maana huo uzi jana hamukuona had mnakuja kuunganisha leo ukiwa ushafikisha wachangiaji mitatu
 
Kabla ya janga, alikuwa anasema she's above 18 ili kuhalalisha aliyokuwa anafanya including suala la kupigwa chini kipindi cha Watoto Wetu (ITV) kwamba tayari alishakuwa mtu mzima!!! Alipokumbwa na janga, akabadili gia angani na kusema yupo Under 18 ili kukwepa kitanzi!!!

All in all, I feel sorry for her kwa sababu naamini ile ilikuwa ni ajali!! Kwa kuangalia umbo la Kanumba na Lulu wa wakati ule, it's obvious Lulu alikuwa anajitetea kwa kumsukuma Kanumba na hapo akaenda kujibamiza ukutani!!!

Na vile vile naamini ndugu zake walimchelewesha kumpeleka hospital kwa hofu ya kuogopa scandal... huenda hawakufahamu kwamba aliumia sana vinginevyo sioni busara iliyomfanya mdogo wake Kanumba kwenda kumfuata the so called daktari wa familia badala ya kumkimbiza Kanumba hospitali moja kwa moja!!!

Kama watasema walichanganyikiwa basi walivurugikiwa haswa...unaacha mgonjwa ndani unamkimbilia daktari umlete kwa mgonjwa?!...

Anyways, nami naamini ni msukumano or kuteleza ndio ulipelekea haya, na wala hakukua na malengo ya mauaji....acha tuone matokeo ya sheria mahakamani...
 
we lulu alivo mfupi tu sa hiz mwaka 2012 alikuwa hata anafika kwenye pa kukanyaga mafuta kweli
Mkuu kwahiyo unataka kusema tangu 2012 hadi leo amerefuka cm ngapi? si yuko vile vile kama kuongezeka ni kidogo sana tena ni cm chache tu kama sio 3 ni 4
 
Kukumbuzi,ng'ombe nk tunaowala kila siku nao watapata haki ahera?
Hao ni viumbe na waliumbwa ili tuwale sisi binadamu, tumeamrishwa kula wanyama, matunda na mimea. Na ndio maana kuna siku ya hukumu hiyo iko maalum kwa ajili ya viumbe kama binadamu lakini sio kwa viumbe kama hao kuku, mbuzi wala ng'ombe
 
Back
Top Bottom