Tukumbuke Lulu hajawahi kushtaki popote kupigwa na marehemu wala hapo nyuma marehemu hajawahi kushtakiwa au kuripotiwa popote kuwa ni ngumi mkononi.Atapigwa mvua kama tano hivi mitigation factors zitamsaidia,umri wake kuwa mdogo,tabia ya ukali ya marehemu,ni kosa la kwanza na atakavyojitetea
Swala la umri litakuja kuthibitishwa na Rita (vizazi na vifo), na kumbukumbu zangu wakt wa awamu ya kwanza ya kesi hili swala la umri lilijadiliwa sana mpaka tukaonyeshwa cheti cha kuzaliwa cha Lulu, ikafahamika kwel alikua 17yrs, abt ile birthday dogo mwenyewe alijipaisha umri tu kwasababu anazozifaham yeye, either kwa kujua or vice versaLina uhusianonwa karibu sana na umri wake.
Ndo maana mnaambiwaga muangalie cha kuzungumza mahakamaniKutoka kusababisha kifo hadi masuala ya leseni duuuuh
Nakumbuka vzr sana mpk alizima hoii kwa gambe then mwaka uliofuata one week before akaulizwa na salama akajibu nna 18!pia asizugeHee!kumbe mkubwa...basi kwenye hii kesi kazi anayo
1.Walitwangana chumbani kanumba akiwa amelewa...akasukumwa akapingisha kichwa vibaya... Lulu akatoka akakimbia.Ipi inayomake sense iseme?
Hujasikia wanawake wanaouwa na waume zao kwa mapanga, wa wapi wewe?Je mtu unayempenda unaweza kumkimbiza na panga?
We unaonaje?Kwani nyoka akikungonga huwa hana leseni?!
Hata kama aliua bila kukusudia,Marehem anapaswa atendewe haki.Wana kampeni ya justice for kanumba,
Ni kwel kwamba mnaamini lulu aliua kwa kukusudia ama ni hisia hasi kwa bi mdada !??coz so far hakuna anaejua nn kimetokea
Sana,Maelezo ya Lulu yamenyooka sana. Yuko vzuri. Kanumba katangulia, alale pema.
Uwezekano wa Kanumba kuanguka bila kuwa na body contact na mtu haupo.utetezi mzuri, ukisoma hakuna mahali anasema alishikana na kanumba, hivyo alijifia mwenyewe. She did not set in mmotion the actions that caused his death! Najaribu ku imagine ukiwa unanikimbiza ukaanguka ukafa, sheria iansemaje?
bahati nzuri hakuna wa kuyakanusha, mind! walikuwa wawili1.Walitwangana chumbani kanumba akiwa amelewa...akasukumwa akapingisha kichwa vibaya... Lulu akatoka akakimbia.
2. Lulu aliwaacha mabasha wake nje..ugomvi ulivyozuka yakaja yakamfanyia Kanumba yakatembea..
3. Taulo ni ujinga....panga ni ujinga....
Kila mtu mwanasheria humu duh
inawezekana sana! kuteleza? kuyumba kama alikuwa amelewa na daktari alithibitisha hili!Uwezekano wa Kanumba kuanguka bila kuwa na body contact na mtu haupo.
RITA pale miaka ya nyuma ulikuwa waweza tengeneza cheti kirahisi mnoooOK, hapo sasa waangalie records za vizazi na vifo, hospitali, traffic etc, huko prosecution inaweza kupata ushahidi tosha kwamba hizi rekodi za hospitali kazaliwa tarehe hii, hizi rekodi za vizazi na vifo kazaliwa siku hii, hizi rekodi za etc etc.
Ionekane habari ya ushahidi w akutosha kutoka vyanzo mbalimbali kwamba alizaliwa lini nasiku ya tukio alikuwa na umri gani.
Yeye kujibabatiza tu si ushahidi, kwa sababu inawezekana alikuwa na miaka 17 lakini kwa kupenda mambo ya kikubwa akadanganya ana miaka 18 ili apate leseni.
Kweli mkuuTuachage kuvilala vitoto jamani, vinaleta laana...loh!
Kesi ya kuendesha gari wakati ni under 18,haiwezi kuwepo.Pia nina uhakika,Lulu hakuendesha gari gari aliendesha mtu wa tatu.Kama kweli alikuwa under 18 mpaka hapo amehakuwaa na kesi nyingine ya kujibu(kuendesha gari na kuwa na leseni wakati umri hauruhusu) na kama anadanganya umri nayo ni kesi ya kuidanganya mahakama. Asipokuwa makini kesi hii inaeza kuzaa kesi nyingine. kama kweli alihusika katika kifo cha kanumba hata kama akiachwa huru damu ya mtu huwa haiendi tu hivi hivi...asali sana kuomba aombe Mungu wake amsamehe.
Kweli aisee naona kama wanampeleka kiubavu ubavu ili wamubinue freshHii ndio hasara ya Kupenda mambo makubwa kuliko umri wako, yaani hapo kashaonekana yy muongo na wanasheria wakishapataga point of your weakness umekwisha.
Umeoana eeh yaan huo utetezi Wa kupanga kabisa nenda kaseme hiv... Sisemi dogo anahatia Ila utetez wake unaweza mfunga wakati Ana uwezo Wa kushinda kesiKwa utetezi huu inaonyesha kiasi fulani ali plan kama self defence fulani.
wewe, kulewa na kuanguka vinawezekana sana inategemea umeangukaje na wapi! Sakafu, unapata brain concussion!Tukumbuke pia judge sio poyoyo,mtu akilewa tu akakimbia uwezokano wa kuanguka upo ila sio kuanguka kwa kishindo kikubwa kiasi cha kupata brain concussion ikiwa sakafu haikulowa.