KESI YA MAUAJI: Utetezi wa Elizabeth Michael (Lulu) ndani ya mahakama kuu

KESI YA MAUAJI: Utetezi wa Elizabeth Michael (Lulu) ndani ya mahakama kuu

Lina uhusianonwa karibu sana na umri wake.
Swala la umri litakuja kuthibitishwa na Rita (vizazi na vifo), na kumbukumbu zangu wakt wa awamu ya kwanza ya kesi hili swala la umri lilijadiliwa sana mpaka tukaonyeshwa cheti cha kuzaliwa cha Lulu, ikafahamika kwel alikua 17yrs, abt ile birthday dogo mwenyewe alijipaisha umri tu kwasababu anazozifaham yeye, either kwa kujua or vice versa
 
utetezi mzuri, ukisoma hakuna mahali anasema alishikana na kanumba, hivyo alijifia mwenyewe. She did not set in mmotion the actions that caused his death! Najaribu ku imagine ukiwa unanikimbiza ukaanguka ukafa, sheria iansemaje?
Uwezekano wa Kanumba kuanguka bila kuwa na body contact na mtu haupo.
 
1.Walitwangana chumbani kanumba akiwa amelewa...akasukumwa akapingisha kichwa vibaya... Lulu akatoka akakimbia.

2. Lulu aliwaacha mabasha wake nje..ugomvi ulivyozuka yakaja yakamfanyia Kanumba yakatembea..

3. Taulo ni ujinga....panga ni ujinga....
bahati nzuri hakuna wa kuyakanusha, mind! walikuwa wawili
 
OK, hapo sasa waangalie records za vizazi na vifo, hospitali, traffic etc, huko prosecution inaweza kupata ushahidi tosha kwamba hizi rekodi za hospitali kazaliwa tarehe hii, hizi rekodi za vizazi na vifo kazaliwa siku hii, hizi rekodi za etc etc.

Ionekane habari ya ushahidi w akutosha kutoka vyanzo mbalimbali kwamba alizaliwa lini nasiku ya tukio alikuwa na umri gani.

Yeye kujibabatiza tu si ushahidi, kwa sababu inawezekana alikuwa na miaka 17 lakini kwa kupenda mambo ya kikubwa akadanganya ana miaka 18 ili apate leseni.
RITA pale miaka ya nyuma ulikuwa waweza tengeneza cheti kirahisi mnooo
 
Kama kweli alikuwa under 18 mpaka hapo amehakuwaa na kesi nyingine ya kujibu(kuendesha gari na kuwa na leseni wakati umri hauruhusu) na kama anadanganya umri nayo ni kesi ya kuidanganya mahakama. Asipokuwa makini kesi hii inaeza kuzaa kesi nyingine. kama kweli alihusika katika kifo cha kanumba hata kama akiachwa huru damu ya mtu huwa haiendi tu hivi hivi...asali sana kuomba aombe Mungu wake amsamehe.
Kesi ya kuendesha gari wakati ni under 18,haiwezi kuwepo.Pia nina uhakika,Lulu hakuendesha gari gari aliendesha mtu wa tatu.
 
Hii ndio hasara ya Kupenda mambo makubwa kuliko umri wako, yaani hapo kashaonekana yy muongo na wanasheria wakishapataga point of your weakness umekwisha.
Kweli aisee naona kama wanampeleka kiubavu ubavu ili wamubinue fresh
 
Tukumbuke pia judge sio poyoyo,mtu akilewa tu akakimbia uwezokano wa kuanguka upo ila sio kuanguka kwa kishindo kikubwa kiasi cha kupata brain concussion ikiwa sakafu haikulowa.
wewe, kulewa na kuanguka vinawezekana sana inategemea umeangukaje na wapi! Sakafu, unapata brain concussion!
 
Back
Top Bottom