Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Tuachage kuvilala vitoto jamani, vinaleta laana...loh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka kusababisha kifo hadi masuala ya leseni duuuuhAman iwe nanyi wapendwa
Niko hapa mahakaman nikifatilia kwa karibu hii kes ya lulu
Moja ya vitu vinavyoniacha hoi ni maswali ya majaji wa hapa mahakam
Jaji lumanyika anaonekana kumukazia sana lulu tofaut na majaji wengine nahis huyu jaji atakuwa msukuma
Kamtwanga swali lulu kuhusu lesen ya gar lulu kasema alikuwa na lesen kipindi hicho
Akamurudia tena ieleze mahakama kama lesen yako ilikuwa halal, lulu akajichanganya akasema sikuwa na lesen
Mtanange bado unaendelea
Kwa kes ninanyoiona lulu lazima ale miala si chin ya kumi na tano
Bado niko hapa makaman mazee
LONDON BABY
Ndo hivyo mkuu aache kujichanganya atakula miaka ya kutoshaHapo wanaka ku establish the premise that, alipataje leseni wakati alidai kipindi kile alikuwa under 18!?
Huyu jaji kamwandama sijawahi ona atakuwa ni mjomba wake na kanumbaAisee! Lakini naona kama hayo maswali yalipaswa yaulizwe na Wakili wa JAMHURI, badala ya judges!
Hapo sasa ndiyo patamuAliendeshaje gari? Alikua na leseni kwa umri huo?
Heee!2012 lulu alikuwa under 18?mbona anaonekana mkubwa yuleHapo wanaka ku establish the premise that, alipataje leseni wakati alidai kipindi kile alikuwa under 18!?
Kumbe alimuua yeye John komba? ? Rest in peaceHuyo bint afungwe tu, mana akivuka salama kesi hiyo bado ya familia ya komba nayo
baba hujaelewa..mushkeli upo kwenye kuwasha gari..Mushkeli uko wap, kumbuka alikua tayar kakimbilia kujificha chooni. Mtu kaanguka unaskia kishindo. Halafu unaambiwa mtu ghafla anaumwa ngoja aje daktari, hujui anaumwa nn kwa kiasi gan, na mnaugomvi. Ungekua ni ww umefanikiwa kuchoropoka chooni utabaki ndani unamsubir tena daktari na huna uhakika kama kwel anaumwa au atazinduka ghafla.
Issue ya kwamba alienda Coco sio issue hata. Coco kuna club na sehem za refreshment (sio alienda kukaa kwenye mchanga wa bahari au kuogelea). Wenyewe walitaka aende wap sasa?
In my case I honestly buy her statements. Ni logical kabisa.
alisema alikuwa hajatimiza miaka 18 wakati huo! lazima aulizwe aliendeshaje gari bila leseni! na kama alikuwa na leseni aliipataje wakati alikuwa hajatimiza 18.......Kutoka kusababisha kifo hadi masuala ya leseni duuuuh
Anhaaalisema alikuwa hajatimiza miaka 18 wakati huo! lazima aulizwe aliendeshaje gari bila leseni! na kama alikuwa na leseni aliipataje wakati alikuwa hajatimiza 18.......
Gari aliendesha mwenyewe, kuwa na leseni au kutokua nayo sio shtaka linalomkabiliAliendeshaje gari? Alikua na leseni kwa umri huo?
hukumu lini?Huyu jaji kamwandama sijawahi ona atakuwa ni mjomba wake na kanumba
Lipo kwenye hati ya mashtaka? Sio kila kitu ni kesi mdogoangu, kuna kitu kinaitwa hati ya mashtaka ambayo ndiyo inataja makosa anayoshtakiwa nayo mtuhumiwa.baba hujaelewa..mushkeli upo kwenye kuwasha gari..
ni gari la nani?
kama ni lake basi alikua anaendesha akiwa chini ya miaka 18?
alikua na leseni ya udereva?
Wanautafuta umri wake wakati "akimuua" Kanumba,sii unajua huko TZ huwezi pata Driving license mpaka uwe na 18+?ingawa hapa UK Ata ukiwa na 17 unapata "gamba" lako Tu.Ana na kesi ya 'kugonga' mtu nini?
Katikakesikamahii, kwa umri wa Lulu, upeo wake kielimu etc ningeshangaa sana asingejichanganya hata kidogo.Kutoka kusababisha kifo hadi masuala ya leseni duuuuh
Ipi hiyo mkuuSijui kwa nini hua nahisi kuna part fulani haisemwi
mahakaman wanatabia hata ya kuingiza matukio ambayo hayahusian na hio kesi ili kuprove point flanAna na kesi ya 'kugonga' mtu nini?