Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo uchungu imeishia? Hashtag ya #mbowesiyogaidi mmeizika rasmi?Hapa ilipofika hii kesi ni patamu sana !
Umesahau ya Ndugai?Inaonekana huyu Jaji ni mwoga-mwoga. Anasahau ukuu wa kiti chake na mamlaka yake kama mtoa haki.
Vv
Wapo waelevu zaidi ya mimi na wewe, watajua maana ya maswali yangu.Mimi nauliza swali na wewe unaniuliza swali sasa nani atajibu swali langu!!.
Alichaguliwa au aliuwa watu kwa kushirikiana na laanatullah magufi ili awe rais?Kwani bwana Hussein alikataliwa na wazanzibar
Hahahahaaa... Kwamba Jaji alishtuka kusikia Rais Mwinyi anatajwa!Jaji: Bwana Mallya, Unatoa wapi Maelezo hayo?
Malya: Kwa wateja wetu Jaji
[emoji23]
Dadake hatokubali. Ni aibu Kwa familia.Lazima aje kizimbani
Kidooooogo azimie, alijuta kuuliza Hilo swaliHahahahaaa... Kwamba Jaji alishtuka kusikia Rais Mwinyi anatajwa!
Loh
Aliyotuma mbowe ni kwaajili ya ugaidi Aliyotuma mwinyi ni kwaajili ya shughuli nyengine.?Unaona ulivyo pumba!! Unachotakiwa kujua pesa iliyotumwa na Mbowe ili kuwa kwa ajili gani na pia iliyotumwa na Mwinyi ilikuwa kwa ajili gani? Kweli Chadema ina nyumbu wengi sana!
Ulijujuaje?Mkuu uelewa wa hawa jamaa ni shida tupu! Wanasheria wao wanawaingiza mkenge kila siku! Wanaacha kufuatilia mambo ya muhimu kuhusu kesi hiyo. Sasa eti pesa ya Mwinyi imekuwa issue kwani huyo Gaidi Bwire hajawahi kutumiwa pesa na mtu mwingjne zaidi ya Mwinyi na Mbowe!! Issue hizo pesa alizotumiwa na Mbowe zilikuwa kwa ajili ya kusaidia ugaidi.
Aliyotuma mbowe ni kwaajili ya ugaidi Aliyotuma mwinyi ni kwaajili ya shughuli nyengine.?
Hivi hapo kuna kesi au maigizo ya kesi???Akili zenu ni pumba sana yaani kutajwa Mwinyi tu mmeshinda kesi siyo!!??
TutajuaHivi hapo kuna kesi au maigizo ya kesi???
Hivi zenji kuna Raisi au mkuu wa wilaya zenjiWacha tuone, CHADEMA wanataka kumuita kizimbani Mheshimiwa "Rahisi" wa Zenji
Aisee!Usinisahau mkuu utakapo weka.Kabisa yaani , alishirikiana na Tiss na Polisi , huyu Hangaya kaiendeleza tu tena kwa shinikizo la kitengo , ulikuwa mpango wa Jiwe kufuta Chadema ili atawale kwa amani maisha yote .
NAAHIDI KUANZISHA UZI MWANANA KUHUSU HILI MUDA SI MREFU , KUNA WATU NAENDELEA KUWAHOJI
usiondoke JF