- Thread starter
- #21
Kweli biashara ya binadam hasa fikra ya binadam bado ipo. Hiki kipindi mahakama haina meno juu ya vipande vya fedha. Inauma lakn ndy hivyo!!
Hukumu hii ni aibu kwa mhimili wa mahakama na pigo kwa haki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli biashara ya binadam hasa fikra ya binadam bado ipo. Hiki kipindi mahakama haina meno juu ya vipande vya fedha. Inauma lakn ndy hivyo!!
wapuuzi kweli hawa watu.
vyombo vyote viwe macho sana na kauli za hawa wanafiki na wahuni.
kamwe wasitetereshwe na hawa majambazi wauza madawa ya kulevya.
Mkuu, basing on facts you have; unadhani ruling iliyotolewa kwenye hii trial withi a trial ilitakiwa kuwaje?
Tatizo nchi inaongozwa mama mwenye ndoa nyingiKwa Sabaya mnakenua meno haki imetendeka ,kwa mbowe haki haikutendeka.
Acheni kuingilia uhuru wa mahakama kenge nyinyi.
uzuri kesi ya Jinai haichachi.Madawa ya kulevya siku hizi sio kosa, "waliyakamata" kwa watuhumiwa wakaamua kunyamaza kimya.
baada ya kuona maji ya shingo, eti gaidi limeamua kumlilia Hayati JKN.
yaani kadata ile mbaya!!
mbona ngoma bado sana.
Tii Sheria Bila shuruti hamtaki,,marehemu maghufuri alipofariki mukaanza kujimwambafai mbona hamkuyafanya akiwepo ,,akinyeshewa 3o akiri itawakaa ....raisi ni raisi na Ni Tasisi ,mlivyo wapumbavu sijui mliimuchukuliaje .........binafsi mliniudhi sana
uzuri kesi ya Jinai haichachi.
ipo pale pale.
ngoja imalizike kwanza hii ya jaribio la kuvunja amani ya nchi.
Ningekuwa najuana na mama samia in persanal ningemshauri vyema sana.
Hayah majamaa ni vilaza Sana yalikuja matamko kila siku Sasa hivi yapo kimya ,,baada ya kuona maji ya shingo, eti gaidi limeamua kumlilia Hayati JKN.
yaani kadata ile mbaya!!
mbona ngoma bado sana.
Kumbe na nyinyi mmerejea mashimoni sasa mkuu!!Kwa SABAYA tumekenua meno kwa sababu haki ilionekana ikitendeka na ndiyo maana mapanya mliojawa na aibu mkarejea mashimoni:
View attachment 1980975
Na watamtoa akiendelea kuwasikiliza hao ningepoteza bila vifoHahitaji ushauri ana mijamaa imemshikia usukani
Na watamtoa akiendelea kuwasikiliza hao ningepoteza bila vifo