Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,005
- 1,377
kumleta Lijenje mahakamani.
Je, Lijenje alikuwa ni subject of dispute in the courtroom? Je, defence counsels walikuwa wanamuhitaji mahakamani kwaajili ya kumtumia katika utetezi wa wateja wao?, defence counsels waliomba aletwe mahakamani na mahakama ikakataa ombi hilo!?
Hivi mimi nikikamatwa na polisi nabaki tu mahabusu bila kuchukuliwa maelezo wala kupelekwa mahakamani kwa muda uliowekwa kisheria hadi mtuhumiwa mwingine wanayemtafuta apatikane? Asipopatikana miaka 50 mbele nitabaki tu mikononi mwa polisi? Mbona hawa watafsiri wa sheria wanatuchanganya?Haki haijawahi kujificha.
Jaji Siyani kwa kujiridhisha kuwa:
1. Mshitakiwa wa pili alikamatwa akawasaidia polisi kumtafuta Mosses Lijenje Moshi, Boma Ng'ombe hadi Arusha,
2. Njiani wakapata mishikaki na Mo Energy,
3. Mshitakiwa wa pili akatoa maelezo kwa ridhaa yake ndani ya masaa 4 yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria,
4. Kwamba madai ya kuteswa kwa washitakiwa yalikuwa ni porojo tu,
Kama ilivyo kwa misahafu kuweza kutumika kufikia hitimisho lolote, ama kwa hakika Jaji Siyani hakubakia nyuma:
1. Jaji hakutaka kujishughulisha kujua walikuwa wapi wahanga wengine wa yaliyosemekana mateso Moses Lijenje au Luteni Urio,
2. Jaji hakutaka kujishughulisha wala kuhitaji uthibitisho wa madaktari kujiridhisha madai ya kuteswa ya washitakiwa.
"Kwa hukumu hii Sirro, Kingai, Mahita na polisi kwa ujumla mmepewa leseni ya kuuwa nzi. Kuwa uweni nzi wote popote mtakapowaona. Jaji Kiongozi mpya kawapa ruksa hiyo."
Haki kuonekana hadharani ikiporwa ni pigo kwa utawala wa sheria.
Kwa hakika leo imekuwa ni siku mbaya kabisa kwa mahakama na utawala wa sheria hapa nchini.
brazaj ndiyo maana mwanzoni niliuliza je, kuna any procedural law or substantive law inayompa Jaji discretionary power to investigate issue ya Lijenje au Kpt. Urio? Tunaweza kuwa tunamlaumu Jaji kumbe tunachokitaka hakimo ndani ya sheria yoyote. Na ieleweke kuwa Judges decide cases according to the law. Na ndiyo maana husemwa kwamba haki kwa mujibu wa sheria. Mnaweza kuwa na sheria mbaya, lakini hizo sheria mbaya ndiyo zinazotumika mahakamani. Jaji hawezi kujitungia sheria yake.Hudhani jaji kutojihusisha kujua ukweli ni upi hakuwa na jema kwa waliokuwa wanalalamika kuteswa?
Huoni jaji kutojihusisha kujua ukweli inaacha ukakasi wa wazi kuwa bila shaka jaji alikuwa amedhamiria kutafuta kisingizio chochote, na kwa hakika kisingekosekana?
Nasikia akiwa Arusha aliendelea kuhubiri uzuri wa CCM huku akiwatafuta wafuasi wengine wa kujiunga na chama chake na hiyo kazi haikuwa bure akampata Ally Bananga. Mbona wengine wananyimwa hiyo fursa ya kutafuta wanachama wengine?Amesikika Bashiru Ally akilalama huko BK kuwa Samia anavunja katiba kwa kuendelea na mikutano ya hadhara ya CCM huku akivizuia vyama vya upinzani.
Hiiiiii bagosha!
Huyo ni Bashiru. Hata Kabundi, Pole pole wenye njaa leo wanaona hivyo.
Muda wako huu dada, kula uvimbiwe kabisa!
Naogopa sana siku ikitokea maamuzi yakiwa yanatoka kwa kuangalia taswira hii. Yaani tukifikia hapa ni hatari sanaAu kwa vile Mama ni Hassan, polisi ni Ramadhani, na Hakimu naye majina hayohayo?
Ku-fail kwenye jambo moja hakuhalalishi ku fail kwa jambo la pili, na kama technicalities zingekuwa hazina maana zingeondolewa kwenye process za kusikiliza kesi, zaidi, matokeo ya kesi ndogo ya jana ilikuwa na uzito mkubwa kwenye kuamua hukumu ya mwisho, jaji anapokubali maelezo ya watuhumiwa yamechukuliwa bila kujali yamechukuliwa under what condition ni kuivunja sheria makusudi, sioni haja ya kutetea hili.Kuna moja wapo ya uzi niliwahi kuandika hizi miscellaneous applications na POs wanazozifanya wanaishia kuwaumiza tu wateja wao. Nilisema kuwa ile PO waliyoiweka kuhusu jurisdiction ya mahakama will never succeed. Wanaishia kuwatesa wateja wao kwa kufanya kesi ichukue muda mrefu. Wangekomaa tu na merit of the case badala ya hizi technicalities ambazo will never determine the case to its finality.
Tunakoelekea unakuonaje? Angalia jaji mkuu anaitwa nani? Katibu mkuu kiongozi Je? Waziri Mkuu je? Jaji aliyesikiliza kesi ya Mbowe je? Polisi aliyembambikia kesi Mbowe Je? Mkuu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Je? Jaji Kiongozi je? Mkurugenzi wa Mawasiliano magogoni/chamwino je? Tamisemi je? Angalia nafasi zote nyeti utagundua kitu kweupe!!!Naogopa sana siku ikitokea maamuzi yakiwa yanatoka kwa kuangalia taswira hii. Yaani tukifikia hapa ni hatari sana
Lijenje alikuwa sehemu ya watuhumiwa unauliza vipi kama alikuwa subject of dispute? huoni uhusika wake kwenye kesi hapo?Je, Lijenje alikuwa ni subject of dispute in the courtroom? Je, defence counsels walikuwa wanamuhitaji mahakamani kwaajili ya kumtumia katika utetezi wa wateja wao?, defence counsels waliomba aletwe mahakamani na mahakama ikakataa ombi hilo!?
Hapa litabaki kuwa ni swala mtizamo binafsi when looking at the ultimate end. Mimi binafsi huwa nikiona hizo technicalities will never put an end to the main suit huwa naachana nazo. I never delve onto them kwa kuwa naona zinaishia kupoteza muda na kumuumiza mteja wangu unnecessarily. Huwa ninafanya hivi kwa sababu najua I'll have room for appeal in case justice has not been properly served, na hizo technicalities ndiyo will be my limbs to stand onKu-fail kwenye jambo moja hakuhalalishi ku fail kwa jambo la pili, na kama technicalities zingekuwa hazina maana zingeondolewa kwenye process za kusikiliza kesi, zaidi, matokeo ya kesi ndogo ya jana ilikuwa na uzito mkubwa kwenye kuamua hukumu ya mwisho, jaji anapokubali maelezo ya watuhumiwa yamechukuliwa bila kujali yamechukuliwa under what condition ni kuivunja sheria makusudi, sioni haja ya kutetea hili.
Nakuelewa sana mkuu. Naelewa sana unachomaanisha. Ninakiona unachokisema. But let's give her benefit of doubtTunakoelekea unakuonaje? Angalia jaji mkuu anaitwa nani? Katibu mkuu kiongozi Je? Waziri Mkuu je? Jaji aliyesikiliza kesi ya Mbowe je? Polisi aliyembambikia kesi Mbowe Je? Mkuu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Je? Jaji Kiongozi je? Mkurugenzi wa Mawasiliano magogoni/chamwino je? Tamisemi je? Angalia nafasi zote nyeti utagundua kitu kweupe!!!
Zinaumiza vipi mteja wako kama haki ya mteja wako imewekwa njia panda na kuna uwezekano maamuzi ya mwisho yakaathiriwa na haki ya mteja wako kupindishwa toka mwanzo?Hapa litabaki kuwa ni swala mtizamo binafsi when looking at the ultimate end. Mimi binafsi huwa nikiona hizo technicalities will never put an end to the main suit huwa naachana nazo. I never delve onto them kwa kuwa naona zinaishia kupoteza muda na kumuumiza mteja wangu unnecessarily. Huwa ninafanya hivi kwa sababu najua I'll have room for appeal in case justice has not been properly served, na hizo technicalities ndiyo will be my limbs to stand on
Anaharibu kujiingiza katika kuwashughulikia Chadema. Adui wa maendeleo wa nchi hii siyo Mbowe wala Chadema wala Adamoo, ni CCMNakuelewa sana mkuu. Naelewa sana unachomaanisha. Ninakiona unachokisema. But let's give her benefit of doubt
Let's agree this to be our point of departure to alternatively reaching the same endZinaumiza vipi mteja wako kama haki ya mteja wako imewekwa njia panda na kuna uwezekano maamuzi ya mwisho yakaathiriwa na haki ya mteja wako kupindishwa toka mwanzo?
Zaidi, maamuzi ya shauri kama la jana bado yangeruhusu kesi ya msingi kuendelea kusikilizwa, hayakuwa ndio final, lakini maamuzi yale yalikuwa na direct impact kuu favour upande mmoja wapo siku ya hukumu ya mwisho, huwezi kudharau uwepo wa technicalities kwa hali hii.
You are very myopic. Tuseme mara ngapi? When did our position waiver? Kwenye red kuna husika. Hukuwahi kupasikia:
View attachment 1982024
Hii ni comment #34 ya kwenye uzi huu:
Kulingana na ushahidi wa kesi ndogo ndani ya kesi kubwa uliotolewa, Je unadhani maelezo ya Adamoo aliyoandikisha polisi yatapokelewa kama ushahidi..?
Au ni kujishaua shaua kuwa nawe una exist kwamba unaweza kuandika kama katoto ka chekechea tu?
Hiiiiii bagosha!
Mkuu ya kweli haya? Nataka nifunge mtaa kwa sherehe kama hili limetokea.Amesikika Bashiru Ally akilalama huko BK kuwa Samia anavunja katiba kwa kuendelea na mikutano ya hadhara ya CCM huku akivizuia vyama vya upinzani.
Hii hukumu inampa askari mamlaka kamili kupiga na kubambikia mlala hoi kesiHaki haijawahi kujificha.
Jaji Siyani kwa kujiridhisha kuwa:
1. Mshitakiwa wa pili alikamatwa akawasaidia polisi kumtafuta Mosses Lijenje Moshi, Boma Ng'ombe hadi Arusha,
2. Njiani wakapata mishikaki na Mo Energy,
3. Mshitakiwa wa pili akatoa maelezo kwa ridhaa yake ndani ya masaa 4 yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria,
4. Kwamba madai ya kuteswa kwa washitakiwa yalikuwa ni porojo tu,
Kama ilivyo kwa misahafu kuweza kutumika kufikia hitimisho lolote, ama kwa hakika Jaji Siyani hakubakia nyuma:
1. Jaji hakutaka kujishughulisha kujua walikuwa wapi wahanga wengine wa yaliyosemekana mateso Moses Lijenje au Luteni Urio,
2. Jaji hakutaka kujishughulisha wala kuhitaji uthibitisho wa madaktari kujiridhisha madai ya kuteswa ya washitakiwa.
"Kwa hukumu hii Sirro, Kingai, Mahita na polisi kwa ujumla mmepewa leseni ya kuuwa nzi. Kuwa uweni nzi wote popote mtakapowaona. Jaji Kiongozi mpya kawapa ruksa hiyo."
Haki kuonekana hadharani ikiporwa ni pigo kwa utawala wa sheria.
Kwa hakika leo imekuwa ni siku mbaya kabisa kwa mahakama na utawala wa sheria hapa nchini.
Mzito sana kuelewa, nimeandika jaji anatakiwa aangalie facts za case zinasemaje, then azihusianishe na sheria inayozihusu then aamue jambo kulingana na sheria husika, sio afuate maoni ya mtu (me, u, judge himself, or anyone else).
Case kuwa appealable or not sio sababu ya jaji kulipua kazi yake.
Myopic ni nyie mnaoshangilia na kuisifia mahakama kila mnaposhinda kesi!
Mkuu ya kweli haya? Nataka nifunge mtaa kwa sherehe kama hili limetokea.