Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Inyeshe kote kunakovuja kuonekane na kutafutiwe dawa ya kuziba.By Mchokozi II kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha
Ndio hao waliokataa sasa!!Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Mzee Mtei kaonekana Dodoma bwashee!Ndio hao waliokataa sasa!!
Mandela aliwahi kukataa kuachiwa na kuwaacha Akina Sisulu gerezani,Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Familia ya shujaa ni mashujaa,kama unatetemeka ni wewe JohnWewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Hahahaaaa......!Familia ya shujaa ni mashujaa,kama unatetemeka ni wewe John
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ndiyo ivi mkuu,mbowe hajaanza leo hii misukosuko,amekomaa kiimani ndani ya siasa na familia yake piaHahahaaaa......!
MWAMBA..βπ½βπ½βπ½Najivunia kuwa mtiifu kwa Mheshimiwa Mbowe..na sitajutia katu.By Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Kwani familia ndiyo imeenda kuomba ili yaishe, au inaombwa?Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Tulionya mapema sana lakini tulipuuzwaBy Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Humjui Mwamba Mbowe wewe , Shut up !Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!