Kesi ya Mbowe: Kama madai haya ni ya kweli, basi ni aibu sana kwa wahusika

Kesi ya Mbowe: Kama madai haya ni ya kweli, basi ni aibu sana kwa wahusika

Na bado watakomaa katiba mpya haina umuhimu kwa sasa.....
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Ujinga wa kula visivyotafunika, matokeo sasa Chief mkuu ameharisha uku ameketi mbele ya hadhara kwenye meza kuu,harufu imeanza sikika kwa wahudhuriaji..

Anajiuliza atoke vipi sasa. Nani wa kumnusuru bi mkubwa asiaibike?
 
Hivi kwa busara zako, hicho ulichosikia kinaingia akilini? Yani serikali iliyomfungulia kesi Mbowe iiombe familia yake akubali kesi iishe? [emoji849] Kama ingekuwa hivyo, kwanini serikali ipoteze mamilioni kila siku kuendesha kesi hiyo badala ya DPP kuamua "kuachana nayo"?

Kuna watu wananufaika na uwepo wa Mbowe gerezani ikiwa ni pamoja na hao "waliotafuna muchango ya kesi."
Kwamba serikali ndo Wana akiri
 
Hivi kwa busara zako, hicho ulichosikia kinaingia akilini? Yani serikali iliyomfungulia kesi Mbowe iiombe familia yake akubali kesi iishe? 🙄 Kama ingekuwa hivyo, kwanini serikali ipoteze mamilioni kila siku kuendesha kesi hiyo badala ya DPP kuamua "kuachana nayo"?

Kuna watu wananufaika na uwepo wa Mbowe gerezani ikiwa ni pamoja na hao "waliotafuna muchango ya kesi."

Mbona serikali imeendesha kesi nyingi tu kwa miaka mingi halafu baadae "kuachana nazo"?

Na hao unao watuhumu wananufaika vipi na kuendelea kwa hii kesi?

Amandla...
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Hebu acheni upumbavu hivi mnafikir rais ni taasisi ya kijinga jinga tu
 
Hangaya kajazwa na vibaraka wake wafungue kesi sasa inamtokea puani
Kesi inayoendelea kuchafua heshima ya Jaji na mfumo mzima wa kimahakama kwa rejea ya hukumu Mapolisi ndio wamechafuka na kunuka
Ifike mahali Taifa lisiishi kwenye unafiki.

Rais ndiye anayelazimika kutoka hadharani kumwomba msamaha Mbowe, Watanzania, familia ya Mbowe na Ulimwengu, na kusema kuwa ama alikengeuka au alikengeushwa kiasi kwamba akafanya uchafu wote huo dhidi ya Mbowe na makomandoo.

Na aseme walipimweka Lijenje.

Najua hatafanya, lakini tunaomba kabla ya hatma ya maisha yake ya Duniani kwisha, siku moja, kwa vile hakutaka kufanya kwa hiari, alazimishwe kufanya hivyo.
Mkapa kwenye kitabuchake alisema
Karume pia amesema hadharani

Mama tubu kabla
 
Ifike mahali Taifa lisiishi kwenye unafiki.

Rais ndiye anayelazimika kutoka hadharani kumwomba msamaha Mbowe, Watanzania, familia ya Mbowe na Ulimwengu, na kusema kuwa ama alikengeuka au alikengeushwa kiasi kwamba akafanya uchafu wote huo dhidi ya Mbowe na makomandoo.

Na aseme walipimweka Lijenje.

Najua hatafanya, lakini tunaomba kabla ya hatma ya maisha yake ya Duniani kwisha, siku moja, kwa vile hakutaka kufanya kwa hiari, alazimishwe kufanya hivyo.
Well Noted Mkuu
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Eem mambo yamefija huko?
hata wewe si mwanafamilia wa Mh. MBOWE ... Kwani huna uchungu
Familia ya Mbowe ndio imekuwa ofisi ya DPP?
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
DPP kagoma kuifuta hadi wanafamilia wakubali Pledge ya mabilioni??
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Rais anahusikaje ktk kesi? Msipende maneno madogo madogo kila uchao!
 
MWAMBA..✌🏽✌🏽✌🏽Najivunia kuwa mtiifu kwa Mheshimiwa Mbowe..na sitajutia katu.
Love you so much CHADEMA ✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽
kwa mabilionea tujifunze.

Mabilionea wana akili nyingi na hawakati tamaa. Kama wasingekuwa hivyo wasingekuwa mabilionea
 
Mandela aliwahi kukataa kuachiwa na kuwaacha Akina Sisulu gerezani,
Winnie aliwahi kumshawishi mzee akubali yaishe asije fia gerezani father akakataa,alijua siku akikubari ndio siku atakapo ubwaga utume wa waafrika kusini alipaswa kuwa beba waoga,mashujaa,wakubwa na watoto na haki za waafrika,sio nafsi na familia yake a sacrifice for the nation.
Tunawategemea wahuni na kina kiroboto ili wafanye sacrifice ya taifa hili?
Hiki ndio kipimo Cha ukomavu wa Mbowe kisiasa.
Akikubali tu ofa za kijinga amekwisha,itamgharimu ushawishi wake kisiasa utakwisha moja kwa moja na hili ndilo wanalolitaka kina kiroboto.
Mbowe na wapkwa mafuta wengine kama Ayoub.

Mafanikio hayaji kiwepesi. There must be a pain.
 
Back
Top Bottom