bluetooth
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 4,402
- 2,550
hata wewe si mwanafamilia wa Mh. MBOWE ... Kwani huna uchunguWewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata wewe si mwanafamilia wa Mh. MBOWE ... Kwani huna uchunguWewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Ujinga wa kula visivyotafunika, matokeo sasa Chief mkuu ameharisha uku ameketi mbele ya hadhara kwenye meza kuu,harufu imeanza sikika kwa wahudhuriaji..By Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Mngekuwa mnayajua hayo machungu msingempa kesi ya kubambika.Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Mwambie uyo kirobotoFamilia ya shujaa ni mashujaa,kama unatetemeka ni wewe John
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kwamba serikali ndo Wana akiriHivi kwa busara zako, hicho ulichosikia kinaingia akilini? Yani serikali iliyomfungulia kesi Mbowe iiombe familia yake akubali kesi iishe? [emoji849] Kama ingekuwa hivyo, kwanini serikali ipoteze mamilioni kila siku kuendesha kesi hiyo badala ya DPP kuamua "kuachana nayo"?
Kuna watu wananufaika na uwepo wa Mbowe gerezani ikiwa ni pamoja na hao "waliotafuna muchango ya kesi."
Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Hivi kwa busara zako, hicho ulichosikia kinaingia akilini? Yani serikali iliyomfungulia kesi Mbowe iiombe familia yake akubali kesi iishe? 🙄 Kama ingekuwa hivyo, kwanini serikali ipoteze mamilioni kila siku kuendesha kesi hiyo badala ya DPP kuamua "kuachana nayo"?
Kuna watu wananufaika na uwepo wa Mbowe gerezani ikiwa ni pamoja na hao "waliotafuna muchango ya kesi."
Hebu acheni upumbavu hivi mnafikir rais ni taasisi ya kijinga jinga tuBy Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Kesi inayoendelea kuchafua heshima ya Jaji na mfumo mzima wa kimahakama kwa rejea ya hukumu Mapolisi ndio wamechafuka na kunukaHangaya kajazwa na vibaraka wake wafungue kesi sasa inamtokea puani
Mkapa kwenye kitabuchake alisemaIfike mahali Taifa lisiishi kwenye unafiki.
Rais ndiye anayelazimika kutoka hadharani kumwomba msamaha Mbowe, Watanzania, familia ya Mbowe na Ulimwengu, na kusema kuwa ama alikengeuka au alikengeushwa kiasi kwamba akafanya uchafu wote huo dhidi ya Mbowe na makomandoo.
Na aseme walipimweka Lijenje.
Najua hatafanya, lakini tunaomba kabla ya hatma ya maisha yake ya Duniani kwisha, siku moja, kwa vile hakutaka kufanya kwa hiari, alazimishwe kufanya hivyo.
Well Noted MkuuIfike mahali Taifa lisiishi kwenye unafiki.
Rais ndiye anayelazimika kutoka hadharani kumwomba msamaha Mbowe, Watanzania, familia ya Mbowe na Ulimwengu, na kusema kuwa ama alikengeuka au alikengeushwa kiasi kwamba akafanya uchafu wote huo dhidi ya Mbowe na makomandoo.
Na aseme walipimweka Lijenje.
Najua hatafanya, lakini tunaomba kabla ya hatma ya maisha yake ya Duniani kwisha, siku moja, kwa vile hakutaka kufanya kwa hiari, alazimishwe kufanya hivyo.
Eem mambo yamefija huko?By Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Familia ya Mbowe ndio imekuwa ofisi ya DPP?hata wewe si mwanafamilia wa Mh. MBOWE ... Kwani huna uchungu
DPP kagoma kuifuta hadi wanafamilia wakubali Pledge ya mabilioni??By Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Kama Magufuli alivyofungwa pingu za kuzimu pamoja na ibilisi wakeAcha afungwe
Rais anahusikaje ktk kesi? Msipende maneno madogo madogo kila uchao!By Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
kwa mabilionea tujifunze.MWAMBA..✌🏽✌🏽✌🏽Najivunia kuwa mtiifu kwa Mheshimiwa Mbowe..na sitajutia katu.
Love you so much CHADEMA ✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽
Duu kweli wewe kiroboto. Hii kesi Samia 100%Rais anahusikaje ktk kesi? Msipende maneno madogo madogo kila uchao!
Very correctFamilia ya shujaa ni mashujaa,kama unatetemeka ni wewe John
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mbowe na wapkwa mafuta wengine kama Ayoub.Mandela aliwahi kukataa kuachiwa na kuwaacha Akina Sisulu gerezani,
Winnie aliwahi kumshawishi mzee akubali yaishe asije fia gerezani father akakataa,alijua siku akikubari ndio siku atakapo ubwaga utume wa waafrika kusini alipaswa kuwa beba waoga,mashujaa,wakubwa na watoto na haki za waafrika,sio nafsi na familia yake a sacrifice for the nation.
Tunawategemea wahuni na kina kiroboto ili wafanye sacrifice ya taifa hili?
Hiki ndio kipimo Cha ukomavu wa Mbowe kisiasa.
Akikubali tu ofa za kijinga amekwisha,itamgharimu ushawishi wake kisiasa utakwisha moja kwa moja na hili ndilo wanalolitaka kina kiroboto.