Mkuu acha kututukana.Mwanasiasa pekee ambaye sina mashaka naye kwa sasa ni Mbowe. Wengine ni takataka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha kututukana.Mwanasiasa pekee ambaye sina mashaka naye kwa sasa ni Mbowe. Wengine ni takataka tu
Sahihi kabisa. Watamwomba msamaha tu.Ifike mahali Taifa lisiishi kwenye unafiki.
Rais ndiye anayelazimika kutoka hadharani kumwomba msamaha Mbowe, Watanzania, familia ya Mbowe na Ulimwengu, na kusema kuwa ama alikengeuka au alikengeushwa kiasi kwamba akafanya uchafu wote huo dhidi ya Mbowe na makomandoo.
Na aseme walipimweka Lijenje.
Najua hatafanya, lakini tunaomba kabla ya hatma ya maisha yake ya Duniani kwisha, siku moja, kwa vile hakutaka kufanya kwa hiari, alazimishwe kufanya hivyo.
Acha utoto wa facebook hapa. Ufike wakati tuache kila mara kumjadili Rais hata kwa mambo ya kukoteza na yasiyo mhusu.Duu kweli wewe kiroboto. Hii kesi Samia 100%
Mwenzio anasota ndani wewe uko nje unaandika tuNdiyo ivi mkuu,mbowe hajaanza leo hii misukosuko,amekomaa kiimani ndani ya siasa na familia yake pia
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mfate basi kama unampendaMwenzio anasota ndani wewe uko nje unaandika tu
Bibi yupo uchi, woote wazi shombo la feri kama lote…!Ujinga wa kula visivyotafunika, matokeo sasa Chief mkuu ameharisha uku ameketi mbele ya hadhara kwenye meza kuu,harufu imeanza sikika kwa wahudhuriaji..
Anajiuliza atoke vipi sasa. Nani wa kumnusuru bi mkubwa asiaibike?
Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Wewe utakua wa Burundi , tz unapasikia tuChadema ni Taasisi sio Mtu lakin tangu 'Mtu' awekwe ndani harakati zote za Katiba mpya sijui mikutano ya ndani sijui mikutano ya hadhara imesimama …hata harakati za kuwaandama kina Halima Mdee zimesimama
Sasa wanasimama kidete kutaka 'Mama' asimsamehe 'Mtu' ili waendelee kula pesa za Wazungu kugharamia kesi yake
Mjini mipango
Tupo pamoja na MboweMasuala ya kupigiana magoti kipindi hicho wewe umekosewa huo ni upunguani
Kwa hilo nipo na MBOWE ,shikilia hapohapo
Upo sahihi snMandela aliwahi kukataa kuachiwa na kuwaacha Akina Sisulu gerezani,
Winnie aliwahi kumshawishi mzee akubali yaishe asije fia gerezani father akakataa,alijua siku akikubari ndio siku atakapo ubwaga utume wa waafrika kusini alipaswa kuwa beba waoga,mashujaa,wakubwa na watoto na haki za waafrika,sio nafsi na familia yake a sacrifice for the nation.
Tunawategemea wahuni na kina kiroboto ili wafanye sacrifice ya taifa hili?
Hiki ndio kipimo Cha ukomavu wa Mbowe kisiasa.
Akikubali tu ofa za kijinga amekwisha,itamgharimu ushawishi wake kisiasa utakwisha moja kwa moja na hili ndilo wanalolitaka kina kiroboto.
Mbowe siyo mali ya familia ni mali ya wananchi wa Tanzania(public figure)Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Hili jaribu alilipata Hata Ayubu. Shetani alipomtumia Mke wake amshawishi mme wake ili akane Mungu. Ayubu alisimama imara akailinda imani akawa mshindi. Ndivyo ilivyo kwa Mbowe anatakiwa awe imara na mwisho Watesi wake wataaibika na yeye kuibuka Mshindi na Shujaa wa Nchi.Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Mkuu kuna na yule mwingine aliyesema """Mbowe sio Malaika. Subirini mkathibitishiwe uhalifu/ugaidi wake kule Mahakamani. Tuna ushahidi wa kutosha"""". Huyo si mwingine Bali ni IGP SIRRO.Ifike mahali Taifa lisiishi kwenye unafiki.
Rais ndiye anayelazimika kutoka hadharani kumwomba msamaha Mbowe, Watanzania, familia ya Mbowe na Ulimwengu, na kusema kuwa ama alikengeuka au alikengeushwa kiasi kwamba akafanya uchafu wote huo dhidi ya Mbowe na makomandoo.
Na aseme walipimweka Lijenje.
Najua hatafanya, lakini tunaomba kabla ya hatma ya maisha yake ya Duniani kwisha, siku moja, kwa vile hakutaka kufanya kwa hiari, alazimishwe kufanya hivyo.
Na sisi tutamuuliza kwa hiyo kesi ilifunguliwa kwa maagizo yake?Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya"
Hujui unachoongea wewe, kazi inafanyika sana na kwa taarifa yako Mwenyekiti Mbowe anafarijika sana kuwa yale aliyosimamia yanafanyika kwa ustadi mkubwa mno, au kwa vile hayatangazwi ndiyo maana mnajiropokea tu.Chadema ni Taasisi sio Mtu lakin tangu 'Mtu' awekwe ndani harakati zote za Katiba mpya sijui mikutano ya ndani sijui mikutano ya hadhara imesimama …hata harakati za kuwaandama kina Halima Mdee zimesimama
Sasa wanasimama kidete kutaka 'Mama' asimsamehe 'Mtu' ili waendelee kula pesa za Wazungu kugharamia kesi yake
Mjini mipango
Kwani yeye ndo alitoa maagizo ya Mbowe kukamatwa? Plus Katiba hairuhusu maamuzi ya mahakama kuingiliwa kama ulimsikiliza jana Rais Samia Suluhu alisema wazi kwamba sheria iheshimiwe otherwise utawajibikeBy Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
NyiBy Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Yeeee babaa tujue panapovuja !!Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.