Kesi ya Mbowe: Kama madai haya ni ya kweli, basi ni aibu sana kwa wahusika

Kesi ya Mbowe: Kama madai haya ni ya kweli, basi ni aibu sana kwa wahusika

Ifike mahali Taifa lisiishi kwenye unafiki.

Rais ndiye anayelazimika kutoka hadharani kumwomba msamaha Mbowe, Watanzania, familia ya Mbowe na Ulimwengu, na kusema kuwa ama alikengeuka au alikengeushwa kiasi kwamba akafanya uchafu wote huo dhidi ya Mbowe na makomandoo.

Na aseme walipimweka Lijenje.

Najua hatafanya, lakini tunaomba kabla ya hatma ya maisha yake ya Duniani kwisha, siku moja, kwa vile hakutaka kufanya kwa hiari, alazimishwe kufanya hivyo.
Sahihi kabisa. Watamwomba msamaha tu.

Ile mtego wa jana Chadema imebaunzi. Watoto wa mjini wajanja sana
 
Ujinga wa kula visivyotafunika, matokeo sasa Chief mkuu ameharisha uku ameketi mbele ya hadhara kwenye meza kuu,harufu imeanza sikika kwa wahudhuriaji..

Anajiuliza atoke vipi sasa. Nani wa kumnusuru bi mkubwa asiaibike?
Bibi yupo uchi, woote wazi shombo la feri kama lote…!
 
Chadema ni Taasisi sio Mtu lakin tangu 'Mtu' awekwe ndani harakati zote za Katiba mpya sijui mikutano ya ndani sijui mikutano ya hadhara imesimama …hata harakati za kuwaandama kina Halima Mdee zimesimama

Sasa wanasimama kidete kutaka 'Mama' asimsamehe 'Mtu' ili waendelee kula pesa za Wazungu kugharamia kesi yake

Mjini mipango
Wewe utakua wa Burundi , tz unapasikia tu
 
Mandela aliwahi kukataa kuachiwa na kuwaacha Akina Sisulu gerezani,
Winnie aliwahi kumshawishi mzee akubali yaishe asije fia gerezani father akakataa,alijua siku akikubari ndio siku atakapo ubwaga utume wa waafrika kusini alipaswa kuwa beba waoga,mashujaa,wakubwa na watoto na haki za waafrika,sio nafsi na familia yake a sacrifice for the nation.
Tunawategemea wahuni na kina kiroboto ili wafanye sacrifice ya taifa hili?
Hiki ndio kipimo Cha ukomavu wa Mbowe kisiasa.
Akikubali tu ofa za kijinga amekwisha,itamgharimu ushawishi wake kisiasa utakwisha moja kwa moja na hili ndilo wanalolitaka kina kiroboto.
Upo sahihi sn
 
Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.

Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Hili jaribu alilipata Hata Ayubu. Shetani alipomtumia Mke wake amshawishi mme wake ili akane Mungu. Ayubu alisimama imara akailinda imani akawa mshindi. Ndivyo ilivyo kwa Mbowe anatakiwa awe imara na mwisho Watesi wake wataaibika na yeye kuibuka Mshindi na Shujaa wa Nchi.
 
Ifike mahali Taifa lisiishi kwenye unafiki.

Rais ndiye anayelazimika kutoka hadharani kumwomba msamaha Mbowe, Watanzania, familia ya Mbowe na Ulimwengu, na kusema kuwa ama alikengeuka au alikengeushwa kiasi kwamba akafanya uchafu wote huo dhidi ya Mbowe na makomandoo.

Na aseme walipimweka Lijenje.

Najua hatafanya, lakini tunaomba kabla ya hatma ya maisha yake ya Duniani kwisha, siku moja, kwa vile hakutaka kufanya kwa hiari, alazimishwe kufanya hivyo.
Mkuu kuna na yule mwingine aliyesema """Mbowe sio Malaika. Subirini mkathibitishiwe uhalifu/ugaidi wake kule Mahakamani. Tuna ushahidi wa kutosha"""". Huyo si mwingine Bali ni IGP SIRRO.
 
Kwani DPP akiamua kufuta hii kesi nini kitaharibu?. Mbowe atadai fidia?
 
Chadema ni Taasisi sio Mtu lakin tangu 'Mtu' awekwe ndani harakati zote za Katiba mpya sijui mikutano ya ndani sijui mikutano ya hadhara imesimama …hata harakati za kuwaandama kina Halima Mdee zimesimama

Sasa wanasimama kidete kutaka 'Mama' asimsamehe 'Mtu' ili waendelee kula pesa za Wazungu kugharamia kesi yake

Mjini mipango
Hujui unachoongea wewe, kazi inafanyika sana na kwa taarifa yako Mwenyekiti Mbowe anafarijika sana kuwa yale aliyosimamia yanafanyika kwa ustadi mkubwa mno, au kwa vile hayatangazwi ndiyo maana mnajiropokea tu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Kwani yeye ndo alitoa maagizo ya Mbowe kukamatwa? Plus Katiba hairuhusu maamuzi ya mahakama kuingiliwa kama ulimsikiliza jana Rais Samia Suluhu alisema wazi kwamba sheria iheshimiwe otherwise utawajibike
 
Hivi yaweza kuwa maji yako shingoni eee Nyinyiem bwana , HIV kweli watu wa mifumo Akili hamna Si Bora ummpe hata Kesi ya kuandamana bila kibali ,Unampa Kesi ya ugaid ujinga mkubwa sana
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Nyi
 
Back
Top Bottom